Giniki, Angelina wafunika Lake Victoria Marathon 2024

WANARIADHA Shing’ade Giniki na Angelina John wameibuka washindi wa mbio za Lake Victoria Marathon 2024 zilizofanyika leo Jumapili Julai 7, 2024 kwenye Uwanja wa Nyamagana, jijini hapa zikishirikisha wanariadha kutoka mikoa mbalimbali nchini. Giniki ambaye msimu uliopita alimaliza wa pili, amekuwa mshindi wa kwanza kwa wavulana Kilometa 21 katika mbio hizo zilizoanza saa 12 asubuhi…

Read More

Makambo kutua Tabora United, Lyanga atajwa KenGold

NYOTA wa zamani wa Yanga aliyekuwa akikipiga Al Murooj ya Libya, Heritier Makambo anatajwa kuanza mazungumzo na Tabora United ili ajiunge na timu hiyo iliyonusurika kushuka daraja msimu uliopita. Inadaiwa kuwa mazungumzo ya pande hizo mbili yanaendelea vyema na huenda akatua nchini. WINGA wa zamani wa Azam FC, Ayoub Lyanga anatajwa kuwindwa na KenGold baada…

Read More

Dili la Madeleke, Pamba limetiki

KLABU ya Pamba Jiji imekamilisha uhamisho wa aliyekuwa beki wa kulia wa Mashujaa, Samson Madeleke kwa mkataba wa mwaka mmoja. Taarifa kutoka ndani ya kikosi hicho zimeliambia Mwanaspoti kuwa Madeleke amekamilisha uhamisho baada ya kutofikia makubaliano ya kuongeza mkataba mpya na Mashujaa kufuatia ule wa miezi sita aliousaini kuisha msimu uliopita. “Ni kweli nyota huyo…

Read More

Yanga yashusha beki usiku mnene, Wakongo waleta kauzibe,

SAA chache kabla ya kambi mpya ya Yanga kwa ajili ya msimu ujao wa mashindano kuanza kesho Jumatatu, mabosi wa klabu hiyo wakimpokea beki wa kushoto mpya, Chadrack Boka usiku mnene wa juzi, huku ikikwepa kiunzi kilichowekwa na FC Lupopo aliyokuwa akiichezea msimu uliomalizika hivi karibuni. Beki huyo aliyetua sambamba na meneja wake akiyokea jiji…

Read More

Aliyeitibulia Simba atua | Mwanaspoti

SIMBA inaendelea kutambulisha mastaa ambapo jana ilikuwa ni zamu ya kiungo Mnigeria Augustine Okajepha akiwa mchezaji wa saba mpya, saa chache baada ya kuliweka hadharani benchi jipya la ufundi lenye sura mpya tano akiwamo kocha wa makipa aliyewahi kuwatibulia Wekundu katika michuano ya CAF. Kocha huyo anayeshtua ni Wayne Sandilands aliyetua nchini kuwanoa kipa Ayoub…

Read More

Sunzu amuonya Mutale mapema | Mwanaspoti

HAPA wamelamba dume. Ndivyo anavyosema straika wa zamani wa Simba, Felix Sunzu akizungumzia usajili wa kiungo mshambuliaji mpya wa timu hiyo, Joshua Mutale kutoka Zambia, huku akimuonya asimezwe na presha ya mashabiki ambayo itampoteza na kuangusha matumaini ya timu hiyo. Mutale ambaye ni miongoni mwa nyota wapya waliotambulishwa na Simba, akisajiliwa kutoka Power Dynamos ya…

Read More

Simba yashusha mashine nyingine kutoka Congo

KLABU ya Simba imethibitisha kumsajili kiungo mkabaji Debora Fernandes kwa mkataba wa miaka mitatu. Mchezaji huyo aliyesajiliwa na Wekundu hao wa Msimbazi akitokea Klabu ya Mutondo Stars ya Zambia, anamudu kucheza kiungo mkabaji na  kiungo mshambuliaji yaani namba nane. Taarifa iliyotolewa na klabu hiyo imesemw: Kiungo Debora Fernandes, 24, mwenye uraia pacha wa Congo Brazzaville…

Read More

Guede huyoo Singida BS, mchongo mzima uko hivi!

MSHAMBULIAJI aliyemaliza na mabao sita katika Ligi Kuu Bara na matatu ya Kombe la FA na moja la Ligi ya Mabingwa Afrika msimu uliopita akiwa na kikosi cha Yanga, Joseph Guede huenda akaendelea kusalia nchini licha ya kudaiwa kupewa ‘thank you’ Jangwani, baada ya kudaiwa anajiandaa kutua Singida Black Stars. Guede alijiunga na Yanga katika…

Read More