Moloko, Namungo kuna jambo linakuja

UNAMKUMBUKA yule winga teleza wa zamani wa Yanga, Jesus Moloko? Unaambiwa jamaa baada ya kumaliza mkataba aliokuwa nao na klabu ya Al Sadaqa SC ya Libya, kwa sasa anajiandaa kurudi tena Bongo. Inadaiwa kuwa winga huyo aliyeachwa msimu uliopita na Yanga anajiandaa kutua Namungo ambayo imekuwa ikiwasiliana na kufanya naye mazungumzo na Moloko. Mchezaji huyo…

Read More

Uhamiaji yapewa nafasi ya Chipukizi CAF

KLABU ya Uhamiaji imepata nafasi ya kuiwakilisha Zanzibar katika michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika msimu ujao 2024-2025. Hiyo ni baada ya mabingwa wa Kombe la FA Zanzibar, Chipukizi FC kujiondoa katika uwakilishi huo ikidaiwa sababu kubwa ni ukata ilionao. Taarifa iliyotolewa na Klabu ya Uhamiaji, imebainisha kwamba nafasi hiyo wameipata baada ya ZFF kufuata…

Read More

19 zachuana kuwania ubingwa Gymkhana

TIMU 19 za soka zitachuana kuwania ubingwa wa Kombe la TBA katika fainali zitakazofika kilele, Julai 19 katika viwanja vya Gymkhana, Dar es Salaam. Mikikimikiki ilianza Julai Mosi kwenye viwanja hivyo vya Gymkhana, huku lengo kubwa likiwa kuboresha afya kwa timu shiriki ambazo zinamilikiwa na taasisi za mabenki hapa nchini. Mkurugenzi Mtendaji wa Umoja wa…

Read More

Stars ikijipanga inaenda tena Afcon

TANZANIA imepangwa katika kundi H la mashindano ya kuwania kufuzu fainali za Mataifa ya Afrika (Afcon) 2025 zitakazofanyika Morocco. Mechi hizo za makundi zitaanza kupigwa kati ya Septemba 2 hadi Novemba 19, 2024 kabla ya fainali kupigwa mapema mwakani. Katika kundi hilo ililopangwa Taifa Stars sambamba na timu za taifa za DR Congo, Guinea na…

Read More

Nape awaita wadhamini kwenye gofu

WAZIRI wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amewaita wadhamini mbalimbali kudhamini mashindano ya kwenye mchezo wa gofu ambao umeanza kukua kwa kasi hapa nchini. Nnauye ameyasema hayo kwenye mashindano ya Vodacom Golf Tour yanayoendelea kwenye viwanja vya Lugalo Golf Club jijini Dar es Salaam. Waziri huyo alisema kwa sasa mchezo wa gofu…

Read More

MTU WA MPIRA: Hivi mapro wa kigeni wamewakosea nini?

NIMEONA sehemu mjadala kuhusu idadi ya wachezaji wa kigeni nchini. Kuna watu bado wanaamini kuwa idadi ya wachezaji 12 wa kigeni katika ligi yetu ni kubwa. Inashangaza sana. Hoja ya hawa wasioamini wanataka idadi ya wachezaji wa kigeni ipunguzwe. Wanadai wingi wa wageni unaziba nafasi za wachezaji wazawa. Inachekesha kidogo. Kuna vitu vinafikirisha kuhusu mjadala…

Read More

Simba yatambulisha kitasa kipya kutoka Nigeria

KLABU ya Simba imekamilisha usajili wa kiungo mkabaji, Augustine Okajepha, 20, akitokea Rivers United ya Nigeria. Kiungo huyo raia wa Nigeria, anajiunga na Simba kipindi hiki cha usajili wa dirisha kubwa kwenda kuongeza nguvu katika kikosi cha Wekundu wa Msimbazi. Taarifa iliyotolewa na Klabu ya Simba imebainisha kumsajili kiungo kwa mkataba wa miaka mitatu. “Ni…

Read More

Aliyetakiwa Simba atambulishwa Mamelodi | Mwanaspoti

BAADA ya kukwama kujiunga na Klabu ya Simba, Kocha Steve Komphela ametua Mamelodi Sundowns ya Afrika Kusini. Komphela ataungana na Monqoba Mngqithi kukikonoa kikosi hicho kuchukua mikoba ya Rhulani Mokwena aliyefutwa kazi siku chache zilizopita. Ikutakumbukwa kwamba Komphela amerejea Mamelodi alikowahi kufanya kazi kuanzia 2020 hadi 2023 akisaidiana na Mokwena. Kabla ya kutambulishwa Mamelodi, Komphela…

Read More

NYUMA YA PAZIA: Wazungu walituachia Inaki wakamchukua Nico wao

RAFIKI zetu Wachina sio watu wanafiki sana. Wana bidhaa zao huwa wanatengeneza kwa ajili ya Afrika, halafu wana bidhaa wanatengeneza kwa ajili ya Wazungu wa mataifa yaliyoendelea. Bidhaa zenye ubora zaidi. Watoto wetu wanaozaliwa Ulaya wakati mwingine wanajikuta kama bidhaa tu. Kuna bidhaa zenye ubora zinabaki kwao, halafu kuna bidhaa ambazo wanaleta Afrika. Mara chache…

Read More

TETESI ZA USAJILI BONGO: Duke Abuya kuihama Singida Black Stars

KIUNGO aliyekuwa akikipiga Ihefu (sasa Singida Black Stars), Duke Abuya inaelezwa yupo katika mazungumzo ya kujiunga na Coastal Union itakayoshiriki Kombe la Shirikisho Afrika. Inadaiwa Abuya aliyemaliza mkataba na Singida ni pendekezo la kocha David Ouma akitaka kuibeba timu katika michuno ya CAF kwa uzoefu alionao. SINGIDA Black Stars, unadaiwa kuridhia kutomuongezea mkataba mpya aliyekuwa…

Read More