JKT yaipiga bao Simba | Mwanaspoti

JKT Tanzania imeendelea kuimarisha kikosi hicho kwa ajili ya msimu ujao wa mashindano ambapo inaelezwa imemalizana na beki wa kati, Abdulrahim Seif Bausi aliyekuwa Uhamiaji ya Zanzibar aliyewahi kutakiwa na Simba kabla ya maafande hao kuwapiga bao Wekundu waliombeba Abdulrazak Hamza na kumtambulisha juzi. Beki huyo, ambaye ni mtoto wa nyota wa zamani wa kimataifa…

Read More

Morocco: Stars haina kazi rahisi Afcon 2025

SAA chache baada ya timu ya taifa, Taifa Stars kupangwa kundi moja na DR Congo, Guinea na Ethiopia katika kuwania kufuzu ushiriki wa fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika 2025 zitakazofanyikia Morocco, kocha mkuu wa timu hiyo, Hemed Suleiman ‘Morocco’ amekiri hilo sio kundi jepesi na kwamba Tanzania ni lazima ikaze kwelikweli ili iende…

Read More

Coastal UNION yamkomalia Lawi | Mwanaspoti

WAGOSI wa Kaya, Coastal Union imeendelea kuikazia Simba kwa kumng’ang’ania beki wa kati Lameck Lawi, ambaye hapo awali walikubaliana kumuuza kwa Wekundu hao kabla ya kubadili gia hewani. Lawi, mwenye mkataba wa mwaka mmoja na Coastal, alishatambulishwa na Simba baada ya kudaiwa kukubaliana na Wagosi pamoja na mchezaji mwenyewe, lakini kitendo cha mabosi wa Msimbazi…

Read More

Kramo sasa apelekwa kwa Wasudan

BAADA ya vuta nikuvute kuhusiana na mkataba wa winga wa Simba, Aubin Kramo kuwa mgumu kuvunjwa, kwa sasa mchezaji huyo msimu ujao atacheza kwa mkopo katika kikosi cha Al Hilal ya Sudan. Kramo tangu ajiunge na Simba msimu uliopita akitokea ASEC Mimosas ya kwao Ivory Coast hakuwahi kuitumikia kwenye mechi za mashindano kutokana na kukabiliwa…

Read More

Maajabu ya mrithi wa Chama Simba

ALFAJIRI ya jana Ijumaa, Simba iliupokea ugeni mzito kutoka Afrika Kusini, wakati kocha mkuu mpya anayetarajiwa kutambulishwa, Fedluraghman ‘Fadlu’ Davids na wasaidizi wake walipotua, lakini kiungo mshambuliaji kutoka Ivory Coast, Jean Charles Ahoua akikabiliwa na mtihani mzito wa Clatous Chama. MVP huyo wa Ligi Kuu ya Ivory Coast, ametua Simba akitokea klabu ya Stella akipewa…

Read More

Leo ndio leo mastaa wote Yanga kufahamika 

YANGA imetoa taarifa mpya juu ya kambi  ya maandalizi ya msimu mpya wa mashindano na kwamba sasa itaanza tena palepale ilipojiandaa kuchukua mataji nane ndani ya misimu mitatu ambapo mastaa wote wapya waliosajiliwa na wale walioongezewa mikataba watakuwa hadharani kuanzia keshokutwa Jumatatu. Taarifa mpya kutoka Yanga inasema kikosi hicho sasa kitarudi rasmi kambini kuanza mazoezi,…

Read More

Awesu, Simba ni suala la muda tu

Simba inadaiwa kuwa mbioni kukamilisha usajili wa kiungo mshambuliaji Awesu Awesu kutoka KMC kwa mkataba wa miaka miwili. Mchezaji huyo anakaribia kujiunga na Simba baada ya kumaliza mkataba wake na KMC. Awesu ana uwezo mkubwa wa kucheza nafasi ya kiungo mshambuliaji na pia winga, ingawa kuna nyakati amewahi kutumika kama kiungo wa ulinzi. Awesu anaachana…

Read More

Sakata la Mashaka, Geita na Simba liko hivi

Wakati Geita Gold ikiijia juu Simba kumtambulisha mchezaji Valentino Mashaka ikidai hawakufuata utaratibu kwa madai bado ni mali yao, nyota huyo ameiruka timu hiyo akieleza mkataba wake ulikuwa umeisha. Simba imemtambulisha Mashaka leo Julai 5 akiwa ni mchezaji wa tano kusaini kandarasi kwa wachezaji wapya, jambo ambalo limeonekana kuwashtua Geita Gold wakidai kuwa bado nyota…

Read More

Fadlu Davids arithi mikoba ya Benchikha Simba SC

Kocha Fadlu Davids ametangazwa kuwa kocha mkuu wa Simba SC, baada ya kufikia makubaliano na uongozi wa klabu hiyo. Kocha huyo raia wa Afrika Kusini mwenye umri wa miaka 43 amesaini mkataba wa miaka miwili kukinoa kikosi cha Simba SC. Kabla ya kujiunga na Simba SC, Fadlu alikuwa kocha Msaidizi wa mabingwa wa soka nchini…

Read More

Hiki ndicho anachokipeleka Baleke Yanga

HII sasa sifa. Hizi huenda zikawa taarifa za kushtukiza kwa mashabiki wa soka nchini, kwamba baada ya Yanga kumbeba Clatous Chama kutoka Simba na Prince Dube aliyekuwa Azam, sasa imemshusha kikosini, Jean Baleke aliyewahi kuwika na Wekundu wa Msimbazi miezi sita tu iliyopita,  lakini hiki ndicho anachokwenda nacho Jangwani. Ndio, hivi unavyosoma Mwanaspoti ni kwamba…

Read More