Maafande wa jeshi kuonyeshana kazi Dar

Mashindano ya Kombe la Mkuu wa Majeshi, (CDF 2024) yanatarajiwa kuanza Julai 20 na kutamatika Julai 30, 2024 ambapo mechi ya ufunguzi itachezwa kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa. Akizungumza na waaandishi wa habari Mwenyekiti wa Mashindano, Brigedia Jenerali, Said Hamis Said amesema wamejiandaa vyema na kwamba mashindano hayo yatakuwa ya kuvutia, huku akitaja lengo la…

Read More

Coastal Union yamtambulisha winga wa Harambee Stars

Kiungo mshambuliaji kutoka Mombasa – Kenya, Abdallah Hassan Abdallah, ametua rasmi katika klabu ya Coastal Union inayoendelea kujiimarisha katika kipindi hiki cha kuelekea msimu mpya 2024/25. Coastal Union imemtambulisha Abdallah leo Ijumaa Julai 05, 2025 ikiamini mchezaji huyo atafanikisha mipango ya klabu hiyo katika kusaka mafanikio kwenye michuano ya Ligi Kuu Bara na Kombe la…

Read More

Hersi aongoza dua maalum ya Manji

RAIS wa Yanga, Injinia Hersi Said ameongoza dua maalumu ya kumuombea aliyekuwa mwenyekiti na mfadhili wa klabu hiyo, Yusuf Manji. Dua hiyo imefanyika leo, makao makuu ya klabu hiyo yaliyopo mitaa ya Twiga na Jangwani na kuhudhuriwa pia na ofisa Mtendaji Mkuu wa Yanga, Andre Mtine na viongozi wengine wa klabu hiyo. Walikuwapo pia wazee…

Read More

MAKAMBO: Mbrazili alininyima ulaji Dubai

JINA la Athuman Masumbuko ‘Makambo’ lilianza kujulikana na kutambulika kwenye michuano ya Ligi ya Vijana U-20 ambayo ipo chini ya Shirikisho la Soka nchini (TFF). Wakati huo, Makambo alikuwa Mtibwa Sugar ya vijana ambayo iliweka rekodi ya kipekee kwa miaka ya hivi karibuni ikibeba ubingwa mara tano mfululizo kuanzia 2018. Msimu uliopita alifanya vizuri kwenye…

Read More

VALENTINO MASHAKA NI MNYAMA – MWANAHARAKATI MZALENDO

Klabu ya Simba SC imefanikiwa kuinasa saini ya mshambuliaji mzawa na kijana, Valentino Mashaka kutoka Geita Gold kwa mkataba wa miaka miwili. Valentino mwenye umri wa miaka 18 ni kijana mwenye kipaji na uwezo mkubwa wa kufunga na kutengeneza nafasi hivyo klabu imemuona kama mtu sahihi katika uundaji wa kikosi chake kipya. Msimu uliopita Valentino…

Read More

Nyoni, Kagere bado wapo sana Namungo

WAKATI baadhi ya nyota walioitumikia msimu uliopita wakianza kuondoka klabuni, mabosi wa Namungo wameamua kuuma jongoo kwa meno kwa kuwazuia wachezaji wakongwe Erasto Nyoni na Meddie Kagere kwa lengo la kuwafanya kama viongozi wa wenzao ndani ya kikosi hicho. Chanzo cha ndani kutoka Namungo, kinasema awali nyota hao wa zamani wa Simba walikuwa wafyekwe hasa…

Read More

AKILI ZA KIJIWENI: Mzize akaze buti haswa msimu ujao

MDOGO wangu Clement Mzize hajamaliza msimu wa 2023/2024 kinyonge, kwani amekuwa mfungaji bora wa Kombe la Shirikisho la CRDB akipachika mabao matano huku akiiwezesha Yanga kutwaa ubingwa. Hakuwa na takwimu nzuri katika Ligi Kuu kwa vile alifunga mabao matano na hii haikuwa kwake pekee bali hata kwa washambuliaji wengine wa Yanga, Kennedy Musonda na Joseph…

Read More