
Beki la Ivory Coast lakubali miwili Simba
HATIMAYE Wekundu wa Msimbazi, Simba wamefikia makubaliano na Racing Club Abidjan ya Ivory Coast kwa ajili ya kupata huduma ya beki wa kati, Chamou Karaboue, 24, huku Ahoua Jean Charles akitajwa kuwa nyuma ya dili hilo. Kwa mujibu wa taarifa inaelezwa Karaboue amekubali ofa ya kusaini Simba mkataba wa miaka miwili wenye kipengele cha kuongeza…