Ligi ya Kikapu Dar vita yaanza upya

ILE vita ya Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL) imeanza upya wakati mechi za mzunguko wa pili zikitarajiwa kupigwa kwa watetetezi Dar City kuliamsha mbele ya Ukonga Kings. Mchezo huo wa kibabe, utapigwa kwenye Uwanja wa Don Bosco Oysterbay keshokutwa Jumapili, utafuatiwa na michezo mingine mitano itakayowapa burudani mashabiki wa mchezo wa…

Read More

Ishu ya Beno tatizo ni msimamo

ALIYEKUWA kipa wa Singida BS, Beno Kakolanya amemaliza utata, akisema misimamo yake imekuwa ikimponza kwa watu wakimchukulia kama mtovu wa nidhamu. Beno aliyeondoka Singida kiutata dakika za lala salama za Ligi Kuu Bara, kwa kilichoelezwa ni utovu wa nidhamu wakati chama hilo likiwa na mechi ngumu dhidi ya Yanga, aliliambia Mwanaspoti kuwa, yeye ni mchezaji…

Read More

Mwanza sasa kuwa na Uwanja wa Gofu

WAZIRI wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk Damas Ndumbaro amethibitisha kwamba Serikali imeanza mchakato wa kuwezesha ujenzi wa uwanja wa gofu katika jiji la Mwanza ili liendane na hadhi ya majiji mengine duniani kwani mchezo huo huvutia utalii wa michezo. Akizungumza jana  jijini hapa, Dk Ndumbaro alisema ameshafanya mazungumzo na wataalam kutoka PGA Legend Golf…

Read More

Taifa Stars yapewa DR Congo kufuzu Afcon 2025

Timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’, imepangwa Kundi H na DR Congo, Ethiopia na Guinea katika kinyang’anyiro cha kuwania nafasi ya kushiriki fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika ‘Afcon’ 2025 ambazo zitafanyika Morocco. Mchujo wa kuwania kufuzu michuano hiyo ulianzia hatua ya awali Machi 21 hadi 26 mwaka huu na sasa inakwenda hatua…

Read More

Geita Gold mambo yametiki | Mwanaspoti

HOFU kubwa ya mashabiki wa soka mkoani Geita ilikuwa ni hatma ya Geita Gold baada ya kushuka daraja kutoka Ligi Kuu kama Halmashauri ya mji huo itaendelea kuimiliki na kushiriki Championship, lakini wameshushwa presha kwani uongozi umekubali na sasa mipango imeanza kusukwa. Timu hiyo ilishuka daraja msimu ulioisha na sasa inajiandaa kushiriki Ligi ya Championship…

Read More

Kagera SUGAR kushusha mashine mpya 12

KIKOSI cha Kagera Sugar kitaanza maandalizi ya kujifua na msimu mpya Jumatatu Julai 8, mwaka huu mjini Bukoba huku kikitarajiwa kushusha mashine mpya 12 na kuweka kambi yake mkoani Shinyanga kusaka utulivu. Mastaa wa timu hiyo walipaswa kuwasili mjini Bukoba kuanzia juzi (Jumatano) na kambi kuanza Alhamisi lakini kutokana na changamoto mbalimbali maandalizi hayo yamesogezwa…

Read More

Theresa, Gaguti waula soka la wanawake Mwanza

WIKI chache baada ya kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti mpya wa Chama cha Soka la Wanawake (TWFA) Mkoa wa Mwanza, Sophia Tigalyoma amefanya uteuzi wa nafasi tano kikatiba na kukamilisha safu yake ya uongozi atakayofanya nayo kazi kusimamia soka hilo mkoani hapa. Tigalyoma alichaguliwa katika uchaguzi mkuu uliofanyika Juni 8, mwaka huu jijini hapa, akishinda pamoja na…

Read More

NIONAVYO: Usajili wa ‘galacticos’, kibiashara bado si poa

TANZANIA ni moja ya nchi za Kiafrika zinazosifika kwa kununua magari yaliyotumika hasa yale ya Kijapani na zaidi ya kampuni ya Toyota. Unaweza kutembea siku nzima usipate gari la Kijapani lililonunuliwa likiwa jipya. Pamoja na kwamba magari hayo yametumika, kwa mtu wa kawaida kama mimi atapata mtihani kuyatofautisha na yale yaliyonunuliwa yakiwa ‘zero kilometer’ kwani…

Read More

Simba SC yamtambulisha Abdulrazack kutoka Super Sport

Klabu ya Simba imemsajili Abdulrazack Mohamed Hamza kutoka Super Sport ya Afrika Kusini kwa mkataba wa miaka miwili. Simba imemtambulisha mchezaji huyo mchana huu, ikiwa ni muendelezo wa hatua ya kuwatambulisha wachezaji wapya waliosajiliwa na klabu hiyo kwa ajili ya msimu mpya wa Ligi Kuu Bara na Michuano ya Kimataifa. Taarifa ya Simba iliyochapishwa kwenye…

Read More