
Dodoma Jiji yafikia pazuri kwa Buswita, KMC yatua Uganda
DODOMA Jiji imeanza mazungumzo ya kupata saini ya kiungo wa Namungo, Pius Buswita baada ya kuridhishwa na uwezo wake. Nyota huyo wa zamani wa Mbao, Yanga, Ruvu JKT na Polisi, msimu uliopita alionyesha kiwango bora na kufunga mabao saba na kuasisti moja katika Ligi Kuu Bara, inadaiwa hayupo katika mipango ya Namungo. KLABU ya Pamba…