CCM yakusanya zaidi ya Sh86 bilioni chini ya saa 24

Dar es Salaam. Ndani ya saa 24, Chama cha Mapinduzi (CCM), kimekusanya zaidi ya Sh86 bilioni katika harambee iliyoanzishwa ya kuchangia shughuli za kampeni za urais na ujenzi wa chama hicho. Kati ya fedha hizo, zaidi ya Sh56.3 bilioni zimelipwa papohapo, huku zaidi ya Sh30.2 bilioni ni ahadi zinazotarajiwa kulipwa na wadau, makada na washabiki…

Read More

Senegal yakomaa kileleni kundi D

MABINGWA watetezi, Senegal wameendelea kuongoza kundi D la mashindano ya Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji wa Ndani (CHAN 2024), licha ya kutoka sare ya bao 1-1 na Congo katika mechi ya pili  uliopigwa leo, Agosti 12, 2025, kwenye Uwanja wa New Amaan, Zanzibar.  Sare hiyo imeipa pointi moja na kuimarisha nafasi yake ya kufuzu hatua…

Read More

Waarabu wa Mzize, waibomoa RS Berkane

ILE klabu inayomtaka mshambuliaji wa Yanga, Clement Mzize haitanii inakusanya mastaa hasa na sasa imepepelea kilio RS Berkane, ikiondoka na nahodha wa timu hiyo. Umm Salal ya Qatar imemng’oa nahodha huyo wa Berkane, Issoufou Dayo aliyekuwa staa mkubwa wa mabingwa hao wa Morocco. Dayo (34) anayecheza beki wa kati, ndiye aliyeiongoza Berkane kuchukua ubingwa wa…

Read More

Lomalisa atabiri jambo flani Yanga

UNAJUA nini kinaendelea Jangwani? Kwa mashabiki wa kikosi cha Yanga wanaambiwa kwamba watarajia vitu vingi vitakavyowapa vaibu la kutosha msimu ujao, huku kukiwa na vyuma vya maana tu ambavyo vimeshaanza kujifua ili kutetea ubingwa wa mashindano mbalimbali. Ni katikati ya vaibu la tizi linaloendelea hapo ndipo ilipo siri nyingine ambayo ya mafanikio ya chama hilo…

Read More

Winga Simba aongeza mmoja | Mwanaspoti

SIMBA Queens inaendelea kushusha nyota wa kimataifa na wale wa ndani, lakini inaelezwa imemuongezea mkataba wa mwaka mmoja winga wa timu hiyo, Elizabeth Wambui. Msimu uliopita Mkenya huyo alimaliza na mabao saba na asisti tatu kwenye mechi 16 alizocheza, nyuma ya Asha Djafar aliyefunga manane na Jentrix Shikangwa aliyeweka kambani mabao 24. Mmoja wa watu…

Read More

Namungo yarejesha majeshi kwa Mgunda

KUNA taarifa za uhakika kutoka kwa uongozi wa Namungo kuwa umerejesha majeshi kwa kocha Juma Mgunda, ambaye ilidaiwa wameachana naye pamoja na msaidizi wake Shadrack Nsajigwa, lakini baada ya kufanya tathimini wameona bado anawafaa. Chanzo cha ndani kutoka Namungo, kilisema kuna asilimia kubwa ya kuendelea na Mgunda msimu ujao ambapo atakuwa anasaidiana na Ngawina Ngawina,…

Read More

Kiungo Msauzi matumaini kibao | Mwanaspoti

BAADA ya Afrika Kusini kuondoka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Guinea, kiungo wa Bafana Bafana, Thabiso Kutumela, amesema matokeo hayo yameibua matumaini makubwa baada ya mchezo wa kwanza kupata sare. Katika mechi hiyo iliyopigwa Uwanja wa Mandela, Kampala, Uganda, Afrika Kusini walimiliki mpira hadi dakika ya saba walipopata bao kupitia kwa Neo Maema,…

Read More