Pamba yazifuata mechi tatu Kenya
KIKOSI cha Pamba Jiji kinaondoka nchini leo Ijumaa kwenda Kenya kwa ajili ya kucheza mechi tatu za kirafiki za kujiweka sawa kabla ya kuanza kwa msimu mpya wa Ligi Kuu Bara 2025-26. Kwa mujibu wa ratiba ya klabu hiyo inayonolewa na kocha Mkenya, Francis Baraza ni kwamba kesho Jumamosi itaanza kutesti mitambo dhidi ya Mara…