Norris shubiri mpya kwa Verstappen

MBIO zilizopita za nchini Austria zilisisimua vilivyo wapenzi wa mashindano ya magari duniani (Formula 1) kutokana na kilichotokea kati ya madereva Max Verstappen na Lando Norris. Wakiwa wanafukuzana kwenye mbio sita za nyuma, wawili hao waliiingia kwenye vita ya kuwania ushindi wa mbio za Austria, na vita baina yao ilikwenda hadi mwishoni kabisa ilipobaki mizunguko…

Read More

YANGA DAY KUFANYIKA AGOSTI 4 – MWANAHARAKATI MZALENDO

Afisa Habari na Mawasiliano wa Young Africans SC, Ally Kamwe ameujuza umma kuwa Kilele cha Siku ya Mwananchi itakuwa ni Agosti, 4 Mwaka huu. “Tarehe 4 Agosti 2024 ndio kilele cha siku ya mwananchi katika uwanja wa Benjamin Mkapa. Tutakwenda kutangaza tunafungulia wapi na kampeni zetu zitagusa maeneo gani” Ally Kamwe Powered by; @acbtanzania_ @kobemotor @betpawatanzania @wearekerry#koncepttvupdates    

Read More

Wababe walioacha simulizi Dodoma | Mwanaspoti

BAADA ya fainali ya mashindano ya kikapu taifa kumalizika na Kigoma kuibuka mabingwa upande wa wanaume, huku Mara ikibeba kwa wanawake, gumzo lililobaki ni namna mastaa wa mchezo huo walivyooyesha ubabe. Mashindano hayo yalifanyika kuanzia Juni 19 katika viwanja vya Chinangali, Dodoma yalishirikisha nyota na mikoa 18, lakini ni wakali kadhaa walioonyesha mambo makubwa na…

Read More

Yanga kung’oa kocha Mamelodi | Mwanaspoti

Kiwango  kibovu ilichokionyesha Mamelodi Sundowns msimu uliopita ikiwemo kushindwa kufurukuta mbele ya Yanga katika mechi mbili timu hizo zilipokutana kwenye robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika vimepelekea mabosi wa Mamelodi kusitisha mkataba wa kocha wake Rulani Mokwena. Ikumbukwe Mamelodi ilikutana na Yanga kwa mara ya kwanza Machi 30 mwaka huu uwanja wa Benjamin Mkapa…

Read More

Aussems atuma salamu Ligi Kuu 2024/25

KOCHA mpya wa Singida Black Stars, Patrick Aussems amejipa wiki tatu hadi nne za kuwasoma wachezaji wake kabla ya kutoa dozi ya mbinu zake katika maandalizi ya msimu ujao ambao anaamini wanaweza kutoa ushindani mbele ya Yanga, Azam, Simba na Coastal Union ambazo zilimaliza msimu uliopita katika nafasi nne za juu. Mbelgiji huyo ambaye aliwahi…

Read More

STRAIKA MUKWALA ATUA SIMBA – MWANAHARAKATI MZALENDO

Klabu ya Simba SC imemtambulisha Mshambuliaji Steven Mukwala raia wa Uganda baada ya kusaini mkataba wa miaka mitatu kutoka Asante Kotoko ya Ghana.Mukwala mwenye umri wa miaka 24 ni mshambuliaji kinara mwenye uwezo wa kufunga hivyo Simba SC inategemea atakuwa msaada mkubwa kwa timu.Mukwala amefunga mabao 14 na kuisaidia kupatikana kwa mengine mawili katika michezo…

Read More

MZEE WA KALIUA: Ni muda wa Gamondi kufukuzwa?

KILA unapovuta picha ya uwepo wa Clatous Chama, Maxi Nzengeli, Stephen Aziz KI, Prince Dube na Pacôme Zouzoua unachoona ni ushindi tu. Unachoona kingine ni mtu kupigwa tano kila siku. Unachoona ni safari ya Yanga kwenda kushinda kila mechi. Unachoona ni Yanga kwenda fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika. Unachoona ni Yanga kushinda mechi zote…

Read More

Straika wa Okwi rasmi atua Msimbazi

Klabu ya Simba imemtambulisha mshambulia Steven Mukwala, raia wa Uganda. kwa mkataba wa miaka mitatu akitokea Asante Kotoko ya Ghana. Huo ni utambulisho wa tatu kwa Simba kuelekea msimu mpya wa mashindano wa 2024/25 baada ya wekundu hao kumtambulisha winga Joshua Mutale kutoka Power Dynamos ya Zambia na Lameck Lawi kutoka Coastal Union, ambaye hata…

Read More

Serikali ya Awamu ya tano ilivyofuta ufalme wa Manji

Dar es Salaam. Mfanyabiashara maarufu Tanzania, Yusuf Manji (49) amezikwa jana Florida nchini Marekani, akiacha historia ya kuwa miongoni mwa wawekezaji wakubwa waliowahi kutokea nchini. Heshima na jina lake, lisingekuwa kitu kipya katika masikio ya Watanzania wengi nyakati hizo, hiyo ilitokana na utajiri wake, kadhalika kujihusisha kwake na uwekezaji katika mpira wa maguu. Manji aliyefariki…

Read More