‘Sumu’ ya Dube ilipoondoka na Kipre

WIKI iliyopita ilikuwa ya moto kwenye harakati za uhamisho kwa wachezaji kwa upande wa klabu ya Azam ya Chamazi Dar es Salaam. Sakata la muda mrefu la Prince Dube lilikamilika baada ya mchezaji huyo raia wa Zinbabwe kutii amri na kulipa ‘pesa za watu’ kama walivyokubaliana kwenye mkataba. Lakini wiki hiyo hiyo Azam FC tena…

Read More

Tanzania yapokonywa tonge Arusha | Mwanaspoti

TIMU ya Taifa ya Uganda imetwaa ubingwa wa kwanza wa kombe la mpira wa miguu kwa wanawake wasio na makazi Afrika (Afrika Homeless Women’s Cup 2024), baada ya kuichapa Tanzania mabao 6-1 katika mchezo wa fainali. Ubingwa huo unaipa moja kwa moja nafasi Uganda kushiriki mashindano ya dunia ya wanawake (Homeless World Cup) yatakayofanyika Korea…

Read More

Simba SC Mpya inakuja, Mpanzu aikataa AS Vita

SIMBA inaendelea kusuka upya kikosi chake na sasa imeonyesha jeuri ya pesa katika kuwania saini ya winga wa kulia Elie Mpanzu (22), kutoka AS Vita ya DR Congo. Mwanaspoti lilikuwa la kwanza kutoa taarifa ya Simba kuwa kwenye mazungumzo na Mpanzu kutaka saini yake na huu ni mwendelezo wa dili hilo lilipofikia. Jana mastaa wa…

Read More

Sura mbili za Mchungaji Msigwa katika siasa

Dar es Salaam. Uamuzi wa mbunge wa zamani wa Iringa Mjini (Chadema), Peter Msigwa kujiunga na CCM, umeonyesha sura mbili za mwanasiasa huyo, aliyekuwa mwiba kwa chama hicho tawala kutokana na maneno yake ya ukosoaji. Jana, Juni 30, 2024, Msigwa alitambulishwa na Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM, Amos Makalla kama mwanachama mpya…

Read More

Simba yatambulisha chuma kipya kutoka Zambia

Simba imemtambulisha rasmi Joshua Mutale raia wa Zambia anayecheza nafasi ya kiungo mshambuliaji kuwa mchezaji wao kwa miaka mitatu. Kiungo huyo aliyekuwa akikipiga Power Dynamos msimu wa 2023/2024 amefunga mabao matano na asisti tatu kwenye mechi 26 alizocheza. Mutale mwenye miaka 22 anamudu kucheza nafasi nyingi uwanjani tena kwa ufanisi kwani anaweza kucheza kama winga…

Read More