Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Category: Michezo

  • Home
  • Michezo
  • Page 653
Burudani Michezo

Pembe: Simba wasipofunga mlango, zile 5 zinarudi

April 18, 2024 Admin

MSANII wa vichekesho nchini, Yusuph Kaimu ‘Pembe’ amesema pamoja na matumaini waliyonayo mashabiki wa Yanga kushinda, lakini mastaa wanapaswa kuiheshimu Simba kwani mechi ya watani

Read More
Michezo

Machupa atoa neno Kariakoo Dabi

April 18, 2024 Admin

Mshambuliaji wa zamani wa Simba, Athuman Machupa, ameizungumzia Kariakoo Dabi ya Aprili 20, anaiona itaamuliwa na ukomavu na mbinu za mastaa na makocha wa klabu

Read More
Michezo

Arajiga wa 5-1 apewa tena Kariakoo Dabi

April 18, 2024 Admin

BODI ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB), imemtangaza Ahmed Arajiga kutoka mkoani Manyara kuwa mwamuzi wa kati wa mchezo wa Simba na Yanga utakaopigwa, Jumamosi hii

Read More
Michezo

Jangwani kumekucha, Wazee, Mashabiki Yanga wakoleza mzuka ‘Kariakoo Derby’

April 18, 2024 Admin

KATIKA Makao Makuu ya Klabu ya Yanga SC, unaweza kusema hakuna kulala kwani mashabiki na wanachama wa klabu hiyo wameendelea kufanya amsha-amsha kama hamasa ya

Read More
Michezo

Pingamizi Mwakinyo latupiliwa mbali | Mwanaspoti

April 18, 2024 Admin

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jana Alhamisi imefanya uamuzi mdogo wa kutupilia mbali pingamizi lililoweka na bondia wa ngumi za kulipwa nchini, Hassan Mwakinyo katika

Read More
Michezo

Mapacha Singida Black Stars, Singida FG sare kila kitu

April 18, 2024 Admin

LIGI Kuu Bara imeendelea tena leo kwa mchezo mmoja kupigwa ambapo wenyeji Ihefu (Singida Black Stars) wameshindwa katamba kwenye Uwanja wa Liti mjini Singida baada

Read More
Michezo

angwani kumekucha, Wazee, Mashabiki Yanga wakoleza mzuka ‘Kariakoo Derby’

April 18, 2024 Admin

KATIKA Makao Makuu ya Klabu ya Yanga SC, unaweza kusema hakuna kulala kwani mashabiki na wanachama wa klabu hiyo wameendelea kufanya amsha-amsha kama hamasa ya

Read More
Michezo

Tiketi ya Pamba kurejea Ligi Kuu iko Arusha

April 18, 2024 Admin

Pamba Jiji FC inakabiliwa na mechi mbili za Ligi ya Championship ugenini mkoani Arusha ambazo ni lazima kushinda zote ili kurejea tena Ligi Kuu Bara

Read More
Michezo

Baba Sure Boy auweka mpira kati Kariakoo Dabi

April 18, 2024 Admin

Abubakar Salum ‘Sure Boy Sr’ ambaye ni baba mzazi wa kiungo wa Yanga, Salum Abubakar ‘Sure Boy’, amesema Kariakoo Dabi haijawahi kutabirika, haijalishi ni timu

Read More
Michezo

Kipa wa Simba SC mama’ke ni Yanga

April 18, 2024 Admin

MAMA mzazi wa kipa wa Simba, Hussein Abel, Mwaija Husein Fadhir amekiri kuwa yeye ni Yanga damu lakini hilo halihusiani na kazin ya mwanae. Amesema

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 652 653 654 655 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.