Alliance, Harab Motors tishio Ligi ya Caravans

LIGI ya Kriketi ya Caravans T20 ilikuwa njema kwa timu za Alliance Caravans na Harab Motors baada ya timu hizo kupata matokeo mazuri katika michezo iliyochezwa kwenye viwanja vya Dar Gymkhana na Anadil Burhan jijini Dar es Salaam mwishoni mwa juma. Mechi ya kusisimua sana ya mwishoni mwa juma iliwakutanisha Alliance Caravans na Generics Gymkhana…

Read More

Simba yasajili viungo wa Yanga

HATIMAYE Simba Queens imekamilisha usajili wa viungo wawili wa Yanga raia wa Nigeria, Precious Christopher na Saiki Atinuke kwa mkataba wa mwaka mmoja. Wachezaji hao wawili wamecheza Yanga kwa misimu miwili wakisajiliwa Septemba 2022, Precious ambaye ni kiungo mshambuliaji na Saiki anayemudu kucheza kiungo mkabaji. Viungo hao wako huru kwa sasa baada ya kumaliza mikataba…

Read More

Xavi: Msihofu, kina Mkude, Bocco wapya wanakuja!

KATIKA safari ya kutafuta mafanikio kuna nyakati nyingi binadamu hupitia na kukumbana nazo kati ya zile za furaha na huzuni. Hakuna wakati mbaya kama kukata tamaa. Haijalishi umejaribu mara ngapi, umeshinda mangapi, cha msingi ni kuendelea kupambana na kujifunza zaidi na zaidi. Mfano mzuri ni kocha wa timu ya vijana ya Simba, Mohamed Mrishona Mohamed…

Read More

TETESI ZA USAJILI: Duke Abuya katika rada za Wagosi, simba…

WAGOSI wa Kaya wapo bize na maandalizi ya msimu ujao wa mashindano, hususani Kombe la Shirikisho Afrika na kwa sasa imeanza mazungumzo na kiungo mshambuliaji Mkenya, Duke Abuya anayekipiga Singida Black Stars (zamani Ihefu). Nyota huyo inaelezwa huenda akaondoka kikosini humo baada ya mkataba aliokuwa nao Ihefu kumalizika, huku kukiwa hakuna mazungumzo mapya ya kumuongezea,…

Read More

Kocha mpya Simba mambo freshi ni suala la muda tu

HUKO Msimbazi mambo ni moto, kwani baada ya kuanza kutambulisha vifaa vipya ikianza na Lameck Lawi kutoka Coastal Union, kwa sasa inajiandaa kumtangaza kocha mpya na mashine nyingine mpya zitakazoingia kambini kuanzia kesho Jumatatu. Simba inataka kutambulisha benchi la ufundi ili kuanza kambi ikiwa kamili kwa ajili ya msimu ujao, huku Msauzi, Steve Khompela akitajwa….

Read More

Usajili mpya…Gamondi atoa neno Yanga SC

WAKATI mabosi wa Yanga wakiendelea na mchakato wa kuboresha kikosi hicho kwa ajili ya msimu ujao wa mashindano, kocha mkuu wa timu hiyo, Miguel Gamondi amechekelea na kutoa neno kwa mambo yanavyokwenda klabuni hadi sasa katika ishu za usajili mpya. Yanga ambayo inafanya mambo yake kimya kimya na kesho Jumatatu itaanza kuweka hadharani wachezaji ilioachana…

Read More

Mrithi wa Inonga Simba huyu hapa

MASTAA wa Simba wanaanza kujumuika pamoja kuanzia kesho Jumatatu, lakini utamu zaidi ni dili la mrithi wa beki wa kati aliyetimkia FAR Rabat ya Morocco, Henock Inonga limefikia pazuri baada ya menejimenti ya mchezaji huyo kutua Dar es Salaam ili kukutana na Mohamed ‘Mo’ Dewji kumaliza kazi. Simba inampigia hesabu Nathan Fasika Idumba anayechezea kwa…

Read More

Pamba Jiji yaanza kujipanga, yatangaza bodi yake

Zikiwa zimepita siku 10 tangu Klabu ya Pamba Jiji itangaze kumalizika kwa mikataba ya benchi la ufundi na wachezaji walioipandisha Ligi Kuu, klabu hiyo imetangaza bodi mpya itakayoiongoza kwa kipindi cha miaka mitano. Taarifa hiyo imetolewa leo Jumamosi Juni 29, 2024, na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Mwanza, Kiomoni Kibamba ambaye ni Katibu wa…

Read More

Dabo hataki kurudia makosa msimu ujao

KOCHA Mkuu wa Azam FC, Youssouph Dabo amefunguka hataki kurudia makosa ya msimu uliopita katika michuano ya kimataifa na kusema ndio sababu iliyomfanya awaite mapema kambini mastaa wa timu hiyo ili kutengeneza muunganiko baada ya sajili mpya na kuiweka timu freshi kabla ya kuliamsha 2024-2025. Msimu uliopita Azam licha ya kumaliza nafasi ya pili katika…

Read More

Manula kuondoka Simba, Azam FC yatajwa

ALIYEKUWA kipa namba moja wa Simba, Aishi Manula hatakuwa sehemu ya kikosi cha timu hiyo msimu ujao baada ya kurudi timu ya zamani ya Azam FC. Kusajiliwa kwa Manula ni wazi kuwa ofa ya kipa namba mbili wa Yanga Abuutwalib Mshery aliyekuwa anatajwa kujiunga na timu hiyo limekufa. Manula aliyeichezea Simba kwa mafanikio, amedumu kwa…

Read More