
Alliance, Harab Motors tishio Ligi ya Caravans
LIGI ya Kriketi ya Caravans T20 ilikuwa njema kwa timu za Alliance Caravans na Harab Motors baada ya timu hizo kupata matokeo mazuri katika michezo iliyochezwa kwenye viwanja vya Dar Gymkhana na Anadil Burhan jijini Dar es Salaam mwishoni mwa juma. Mechi ya kusisimua sana ya mwishoni mwa juma iliwakutanisha Alliance Caravans na Generics Gymkhana…