
MKUU WA SOKO KUU LA ARUSHA AONGOZA ZOEZI LA UCHANGIAJI DAMU
** Katika viwanja vya soko kuu Arusha siku ya Juni 28, 2024 kumeendeshwa zoezi la uchangiaji Damu salama kwa hiari. Zoezi hilo limeongozwa na mkuu wa soko kuu la Arusha ndg. John Francis Haule kwa kushirikiana na watumishi wa jiji la Arusha na wafanya biashara. Dhumuni na shabaha kuu ya zoezi hili ni kuunga mkono kampeni ya…