Lebron, Mwanawe watakavyokipiga NBA | Mwanaspoti

REKODI mpya imewekwa kwenye mchezo wa mpira wa kikapu duniani, na hii imetokea kwenye Ligi ya NBA, baada ya jana Ijumaa, Los Angeles Lakers kumtambulisha kikosini mtoto wa nyota wa timu hiyo, LeBron James aitwaye, Bronny James kama mchezaji mpya wa timu hiyo msimu ujao. Bronny alizua gumzo baada ya kuchaguliwa kutoka katika drafti namba…

Read More

Bocco kukabidhiwa unahodha JKT, Ilanfya ndani

MSHAMBULIAJI John Bocco anatarajiwa kutangazwa wakati wowote kuanzia sasa na JKT Tanzania na tayari amepiga picha za utambulisho na kaingiziwa pesa zake za usajili. Mwanaspoti imepata taarifa za ndani kutoka kwa uongozi wa timu hiyo zikieleza kwamba Bocco ndiye atakayekuwa nahodha mpya wa kikosi hicho. Bocco amesajiliwa na JKT Tanzania kwa mkataba wa mwaka mmoja…

Read More

Simba Day Agosti 3 | Mwanaspoti

TAMASHA la ‘Simba Day’ mwaka huu litafanyika Agosti 3  kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam badala ya Agosti 8 kama ambavyo imezoeleka kila msimu. Tamasha hilo ambalo limekuwa maarufu nchini limepangwa kufanyika Agosti 3 kutokana na ratiba ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) inayohusiana na mechi za Ngao ya Jamii itakayopigwa kati…

Read More

Simu ya Popat ilivyomrudisha Adam Adam Azam FC

STRAIKA Adam Adam tayari ametua Azam FC kwa ajili ya msimu ujao wa mashindano mbalimbali ya Ligi Kuu Bara, Ligi ya Mabingwa Afrika, Kombe la Shirikisho la FA na mengine itakayoshiriki klabu hiyo tajiri zaidi Tanzania. Kama kuna mambo ambayo alitamani yatokee na sasa anachekelea, ni kurudi Azam baada ya kuishia timu ya vijana ya…

Read More

Simba yatema wawili wa kigeni

KATIKA kusuka kikosi kipya cha msimu ujao wa Ligi Kuu ya Wanawake (WPL), Simba Queens imeachana na nyota wawili wa kigeni. Joanitha Ainembabazi Mabingwa hao mara wa nne wa WPL wameachana na Danai Bhobho raia wa Mzibabwe na Mganda Joanitha Ainembabazi. Habari kutoka ndani ya Simba zinaeleza kuwa wachezaji hao hawatakuwa sehemu ya kikosi cha…

Read More

Yanga yatimba Azam FC kumng’oa Mtasingwa

KUNA kila dalili kiungo mkabaji wa Azam FC, Adolf Mtasingwa atasaini mkataba wa miaka miwili kuitumikia Yanga wikiendi hii. Mtasingwa ameonyesha kiwango bora miezi sita aliyocheza Ligi Kuu Bara akiitumikia Azam FC. Chanzo cha kuaminika kutoka Yanga kimeliambia Mwanaspoti kuwa wako kwenye mchakato wa kusaka kiungo mkabaji mwenye uwezo wa kuwapa changamoto waliopo. Mmoja wa…

Read More

Guede kumpisha Sowah Yanga | Mwanaspoti

YANGA ipo kwenye mazungumzo ya kumpata mshambuliaji raia wa Ghana, Jonathan Sowah kwa mkopo wa mwaka mmoja kutoka Al-Nasr Benghazi ya Libya aliyojiunga nayo Januari mwaka huu kwa mkataba wa miaka miwili akitoka Medeama. Inaelezwa endapo dili lake litakamilika, kuna uwezekano mkubwa wa Yanga kutemana na raia wa Ivory Coast, Joseph Guede aliyejiunga na Yanga…

Read More