JIWE LA SIKU: Mambo manne kuibeba Simba msimu ujao

VIONGOZI wa Simba wameanza mchakato wa kukisuka upya kikosi hicho kwa ajili ya msimu ujao baada ya kukosa taji la Ligi Kuu Bara kwa misimu mitatu mfululizo na kushuhudia likienda kwa watani wao Yanga ambao nao wameanza kujiimarisha zaidi. Katika kuthibitisha hilo, tayari Simba imeshatangaza kuachana na wachezaji sita, akiwamo aliyekuwa nahodha wa timu hiyo,…

Read More

Okwi achagiza mpango wa straika mpya Simba

STAA wa zamani wa Simba na Yanga, Emmanuel Okwi amehusika kwa kiasi kikubwa kumshawishi, Straika Mganda Steven Dese Mukwala (24) asaini Msimbazi, Mwanaspoti linajua. Mukwala huenda akatambulishwa muda wowote kuanzia sasa kwani tayari yupo Jijini ametulia kwenye hoteli moja iliyoko kwenye ufukwe wa Bahari ya Hindi. Okwi ambaye kwa sasa anaichezea Erbil SC ya Ligi…

Read More

TETESI ZA USAJILI BONGO: Anwary aziingiza vitani Tanzania Prisons, Coastal Union

MAAFANDE wa Tanzania Prisons na Coastal Union wameingia vitani kuiwania saini ya mshambuliaji nyota wa Dodoma Jiji, Anuary Jabir. Straika huyo wa zamani wa Kagera Sugar aliyewahi kuichezea KAA Gent ya Ubelgiji kwa majaribio, ameziingiza vitani timu hizo, huku ikielezwa mabosi wa Dodoma Jiji wako tayari kumuongezea mkataba mpya. MASHUJAA imeanza mazungumzo ya kumpa mkataba…

Read More

Simba yambakiza Mwamnyeto Yanga | Mwanaspoti

KUNA sababu tano za msingi zilizowafanya mabosi wa Yanga kukaa mezani na nahodha wa timu hiyo, Bakari Mwamnyeto kujadili dili jipya na mwisho wa siku kumpa mkataba wa miaka miwili kuendelea kukipiga Jangwani. Mwamnyeto aliyetua Yanga Agosti 2020 akitokea Coastal Union, mkataba wake na Yanga ulikuwa unamalizika Juni 30, mwaka huu, hivyo alibakisha takribani siku…

Read More

Kocha achelewesha kambi Simba, msala mzima upo hivi!

AWALI ilielezwa kambi ya Simba ingeanza rasmi leo Alhamisi kwa wachezaji wa zamani na wapya wangeanza kukutana Dar kabla ya kesho Ijumaa kufanya mkutano na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya klabu hiyo, Mohamed ‘Mo’ Dewji, mambo yamebadilika huku kocha mkuu akitajwa kuhusika. Habari kutoka ndani ya Simba zinasema, kambi ya Simba ya kulikusanya jeshi…

Read More

Straika la mabao latua Mashujaa

KLABU ya Mashujaa ya mkoani Kigoma imekamilisha usajili wa aliyekuwa mshambuliaji wa Mtibwa Sugar, Seif Rashid Karihe kwa mkataba wa mwaka mmoja huku kukiwa na kipengele cha kuongeza mwingine endapo watavutiwa na uwezo wake. Msimu uliopita, licha ya Mtibwa kushuka daraja baada ya mwenendo mbaya, nyota huyo alionyesha uwezo mkubwa na kufunga mabao saba na…

Read More

Babu Seya afunguka usajili wa Chama Jangwani

MWANAMUZIKI mkongwe wa muziki wa dansi nchini, Nguza Viking ‘Babu Seya’ amefurahishwa na tetesi za usajili kwamba huenda kiungo wa Simba, Clatous Chama akajiunga na timu ya Yanga, akisema jambo hilo likitokea timu hiyo ya wananchi itakuwa haishikiki msimu ujao. Babu Seya, mzaliwa wa DR Congo, ambaye ameishi Tanzania kwa miaka mingi, anasema yeye ni…

Read More

Kanoute awatikisa mabosi Simba | Mwanaspoti

KIUNGO wa Simba, Sadio Kanouté ‘Putin’ yupo mguu ndani, mguu nje kuwepo katika kikosi hicho kwa msimu ujao baada ya kuwatikisa mabosi wa klabu hiyo kiasi kwamba mazungumzo baina yao ili kusalia kikosini kushindwa kupata muafaka. Kanoute tangu ajiunge na Simba mwaka 2021 akitokea klabu ya Al-Ahli Benghazi ya Libya iliyokuwa imemnunua kutoka Stade Malien…

Read More