JKT Queens, JKU kazi inaanza

BAADA ya jana kufunguliwa kwa michuano ya CECAFA ya wanawake kwa kuchezwa mechi mbili za makundi, CBE dhidi ya Rayon Sports na wenyeji Police Bullets dhidi ya Kampala Queens, leo saa 7:00 mchana JKT Queens itaikaribisha JKU Queens Zanzibar kwenye Uwanja wa Nyayo, Kenya.

Read More

Job ameshasema huko! Sasa kazi kwenu

YANGA jana ilikuwa uwanjani kupima ubavu na timu moja ya jeshi, lakini kabla ya hapo, juzi kati ilivaana na Tabora United na kupata ushindi wa mabao 4-0, huku mmoja wa manahodha wa timu hiyo akiishuhudia akiwa nje ya uwanja, kisha akawaambia wenzake kwamba kikosi hicho kina watu. …

Read More

Barbara arudi Simba, Mo akijivua uenyekiti wa bodi

Simba imefanya mabadiliko makubwa ya Bodi ya Wakurugenzi baada ya mwekezaji Mohammed Dewji ‘MO’ akijiweka kando, huku akimteua Crescentius Magori kuchukua nafasi hiyo, ilihali CEO wa zamani wa klabu hiyo, Barbara Gonzalez akirejea klabuni. Mabadiliko hayo ambayo yametangazwa dakika chache zilizopita, MO mbali na Magori aliyewahi kuwa, Mtendaji Mkuu wa klabu hiyo na mshauri wa…

Read More

Straika Zambia afariki dunia | Mwanaspoti

STRAIKA wa zamani wa timu ya taifa ya Zambia, Tapson Kaseba amefariki dunia leo mchana katika Hospitali ya Mafunzo ya Chuo Kikuu (UTH), baada ya kuugua kwa muda mfupi. Rais wa Shirikisho la soka Zambia, (FAZ) Keith Mweemba ametangaza kifo cha straika huyo akiandika; “Tumesikitishwa na kifo cha Tapson Kaseba tuliyemfahamu kama mchezaji wa zamani…

Read More

Muacheni Yakoub akapambane na Camara

UKIONA mchezaji anasajiliwa na hizi timu zetu mbili kubwa za Kariakoo, yaani Simba na Yanga ukute ana kitu ambacho zimekitathimini na kuona kama kinaweza kusaidia kuimarisha vikosi vyao. Sasa mchezaji kusajiliwa huwa ni jambo moja na kwenda kuipa timu iliyomsajili matunda chanya hubakia kuwa jambo lingine ambalo linaweza kutokea au lisitokee. Kijiweni hapa huwa tunashangaa…

Read More

Henry Joseph ala shavu Fountain Gate

SIKU chache baada ya kocha Denis Kitambi kutua Fountain Gate, amemuongeza kwenye benchi lake la ufundi kiungo wa zamani wa Simba, Henry Joseph. Joseph ambaye msimu uliopita alikuwa akiinoa Moro Kids inayoshiriki First League, ametua Fountain Gate kwa kazi mbili. Taarifa kutoka ndani ya timu hiyo zinabainisha kuwa kazi ya kwanza, Joseph amekabidhiwa majukumu ya…

Read More

Dharau yaiponza Tausi Royals Ligi ya Kikapu Dar

KUJIAMINI  kulikofanywa na timu ya Tausi Royals, katika Ligi ya Kikapu mkoa wa Dar es Salaam (WBDL) ndiko kulikoifanya timu hiyo ishindwe kucheza nusu fainali ya Ligi hiyo. Timu ya Tausi Royals ilifungwa na DB Troncatti katika  michezo 2-1.  Sababu iliyofanya ijiamini hivyo, ilionyesha  ni kutokana na uwezo wa wachezaji walionao, na huku timu ya…

Read More

Semina ya TAKUKURU ifanyiwe kazi na marefa, wadau

KUNA pongezi nyingi ambazo kijiwe kimeamua kutoa kwa TFF na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) kwa kuandaa semina elekezi kwa marefa wa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu ujao ya namna ya kupambana na vitendo vya rushwa. Ni jambo zuri ndiyo maana tunalipongeza kwa vile marefa ni watu muhimu sana katika kuendeleza au…

Read More

Pazi yaonyesha ukubwa wake BDL

Timu kongwe ya Pazi ilidhihirisha ubora wake katika Ligi ya Kikapu mkoa wa Dar es Salaam (BDL), ni baada ya kuifunga timu ngumu ya ABC  katika michezo 2-1. Kwa ushindi huo, timu hiyo itacheza na JKT katika mchezo wa nusu fainali, na mchezo huo utatangazwa   baada ya mashindano ya Majeshi (BAMATA) kumalizika. JKT katika mchezo…

Read More