Kiungo Msauzi matumaini kibao | Mwanaspoti

BAADA ya Afrika Kusini kuondoka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Guinea, kiungo wa Bafana Bafana, Thabiso Kutumela, amesema matokeo hayo yameibua matumaini makubwa baada ya mchezo wa kwanza kupata sare. Katika mechi hiyo iliyopigwa Uwanja wa Mandela, Kampala, Uganda, Afrika Kusini walimiliki mpira hadi dakika ya saba walipopata bao kupitia kwa Neo Maema,…

Read More

Badru amvulia kofia Kocha Taifa Stars

KOCHA wa zamani wa timu za vijana za Azam FC, Mohamed Badru amepongeza kazi kubwa inayofanywa na kocha wa Taifa Stars, Hemed Suleiman ‘Morocco’, pamoja na benchi lake la ufundi katika michuano ya CHAN 2024 yanayoendelea ukanda wa Afrika Mashariki. Akizungumza na Mwanaspoti, Badru alisema kiwango kilichooneshwa na Stars hadi kutinga robo fainali ni cha…

Read More

McCarthy amtaja Jose Mourinho Kenya

KOCHA wa Kenya, Benni McCarthy amesema ushindi wao wa kihistoria dhidi ya Morocco kwenye CHAN 2024 umetokana na mbinu alizojifunza kutoka kwa Jose Mourinho, akisisitiza kucheza pungufu ya mchezaji mmoja si kisingizio cha kupoteza kama timu ina nidhamu na mipango sahihi. Ushindi wa Kenya dhidi ya Morocco, uliifanya timu hiyo kuendelea kujikita kileleni mwa msimamo…

Read More

Rogath Akhwari atoa ahadi nzito RT

SIKU chache kabla ya kufanyika kwa Uchaguzi Mkuu wa Shirikisho la Riadha nchini (RT), mgombea wa nafasi ua Urais, Rogath Akhwari ametoa ahadi nzito kwa kusema moja ya sababu zilizomfanya awanie nafasi hiyo ni kutaka kupunguza changamoto ya kifedha inayoikumba shirikisho hilo. Rogath, mtoto wa gwiji wa zamani wa riadha nchini John Stephen Akhwari, ni…

Read More

Ukiukaji wa usalama wa uwanja unaumiza kichwa waandaaji CHAN 2024, KENYA

Shirikisho la Soka barani Afrika (CAF) limeitaka Kenya kuchukua hatua zinazoonekanakushughulikia ukiukaji wa usalama wa uwanja unaofanywa na mashabiki wakati wa mechi za Harambee Stars kwenye Michuano ya Mataifa ya Afrika CHAN 2024. Kabla ya mpambano wa Kundi ‘A’ uliowahusisha Kenya dhidi ya Morocco Jumapili, mashabiki wengi waliojitokeza waliokosa subira na kuwalemea maafisa wa usalama…

Read More

Watatu Stars wakwepa mtego | Mwanaspoti

NYOTA watatu wa kikosi cha kwanza cha Taifa Stars, wamekwepa mtego wa adhabu ya kukosa mechi ijayo ya hatua ya makundi ya michuano ya CHAN 2024 dhidi ya Jamhuri ya Afrika ya Kati, Jumamosi kwenye Uwanja wa Benjamini Mkapa jijijini Dar es Salaam. Licha ya kuwa Stars ina uhakika wa kucheza robo fainali ya michuano…

Read More

Senegal, Congo Brazaville mechi ya mtego

TOFAUTI na makundi mengine yenye timu tano, hesabu za kundi D katika michuano ya CHAN 2024 zinaonekana kuwa ngumu zaidi kutokana na idadi ya timu ambazo leo Jumanne zitacheza mechi ya pili kila mmoja kusaka nafasi ya kutinga robo fainali. Kundi D linaongozwa na Senegal iliyoibuka na ushindi wa bao 1-0 katika mechi ya kwanza…

Read More

CAF yaiadhibu Kenya, yapunguza mashabiki Moi Kasarani

Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) limetoa adhabu ya kupunguzwa kwa idadi ya mashabiki katika Uwanja wa Moi Kasarani uliopo Nairobi, Kenya kutokana na kujirudia kwa matukio ya vurugu yanayovunja kanuni za ulinzi na usalama viwanjani katika fainali za CHAN 2024 zinazoendelea. Barua ambayo CAF imeandika kwa mwenyekiti wa Kamati ya Ndani ya maandalizi…

Read More