‘Thank You’ Fountain zinasubiri kocha mpya

WAKATI timu nyingine za Ligi Kuu Bara zikianza heka heka za usajili na kuboresha vikosi vyao kuelekea msimu ujoa, uongozi wa Fountain Gate FC ya Mwanza inasubiri kutambulishwa kwa kocha mpya ambaye ndiye atatoa maoni ya mwisho kwa wachezaji watakaochwa na usajili mpya. Timu hiyo ambayo awali ilijulikana kwa jila la Singida Fountain Gate Juni…

Read More

Sharti la mkataba lamwondoa straika Geita

Geita Gold inaendelea kupoteza wachezaji wake baada ya kushuka daraja, ambapo safari hii ni mshambuliaji wake, Ramadhan Kapera ambaye ameachana na timu hiyo kutokana na sharti la mkataba aliousaini dirisha dogo. Kapera aliyesajiliwa dirisha dogo na timu hiyo akitokea Mbeya Kwanza akiwa na mabao tisa Championship, na kusaini mkataba wa mwaka mmoja ambao ulikuwa na…

Read More

JIWE LA SIKU: Kibu na mkataba wa mtego Simba

ZAMANI ilikuwa ngumu kumuona mchezaji kutoka Bongo anakwenda mapumziko nchi kama Marekani, Ufaransa, Dubai na nyingine ila kwa sasa linawezekana kwani Ligi ya Tanzania imeanza kulipa vizuri na wachezaji wanapata mikwanja ya kwenda huko kula bata katika kipindi cha mapumziko kama ilivyo kwa mastaa tofauti ulimwenguni. Unavyosoma hapa, staa wa Simba, Kibu Denis yupo zake…

Read More

Kipre Jr wa Azam huyooo USM Alger

BAADA ya kung’ara katika msimu wa pili wa kucheza katika Ligi Kuu Bara akihusika na mabao 18 akiwa na Azam FC, kiungo mshambuliaji wa timu hiyo, Kipre Jr hatakuwa sehemu ya kikosi msimu ujao baada ya uongozi wa timu hiyo kumuuza USM Alger kwa dau nono. Kiungo huyo aliyefunga mabao tisa na kuasisti tisa vile…

Read More

Lina PG Tour: Vita ya fimbo yahamia Arusha

WAKALI 38 wanatarajiwa kuchuana katika mashindano maalumu ya kumuenzi Lina Nkya ya Lina PG Tour, kwenye viwanja vya Gymkhana, jijini Arusha, Julai 11 hadi 14, mwaka huu. Mashindano haya yanayoingia raundi ya tatu kati ya tano, yanamuenzi nyota huyo ambaye enzi za uhai wake alifanya kazi kubwa ya kuilea gofu ya wanawake kwa mafanikio hadi…

Read More

Moto Ligi U-17 kuwaka Leaders, Dar Gymkhana

Viwanja mduara vya Leaders na Dar es Salaam Gymkhana ndivyo vitaamua timu ipi ni bora katika Ligi ya Vijana chini ya umri wa miaka 17, jijini Dar esa Salaam wikiendi hii. Kwa mujibu wa msemaji mkuu wa chama cha kriketi nchini (TCA), Ateef Salim, ligi hii ina upinzani mkali kwani inajumuisha vijana wenye damu changa…

Read More

Malejendi watangaza kurudi mbio za magari

MADEREVA na waongozaji (navigators) wa timu Stado wametangaza kurudi mchezoni baada ya miaka saba ya ukimya na kutojihusha na mchezo huu pendwa. Samir Nahdi Shanto, mmoja wa madereva wa timu hiyo, akiongea na Mwanaspoti kutoka mjini Morogoro, alisema wanarudi tena mchezoni na safari hii wanakuja na mashine ya kisasa iitwao Ford Proto. “Stado Team wote…

Read More

IDD MOSHI: Chama anajua, ila Pacome anajua zaidi

MASHABIKI wa soka nchini kwa sasa wamekuwa na mjadala juu ya uwepo wa viungo washambuliaji, Clatous Chama wa Simba na Pacome Zouzoua wa Yanga. Wapo wanaosema Chama ni mkali zaidi kwa kazi kubwa aliyoifanya akiwa na Simba kwa zaidi ya misimu minne, kulingana na Pacome aliyecheza Ligi Kuu Bara kwa msimu wa kwanza. Kuna kila…

Read More

Simba mpya hii hapa, mastaa wapya wafichwa Dar

MWANASPOTI linajua Simba imekamilisha usajili wa winga matata Joshua Mutale (22) kutoka Power Dynamos ya Zambia kwa mkataba wa miaka mitatu na tayari imemshusha nchini, huku ikimficha kwenye moja ya hoteli za kifahari jijini Dar es Salaam. Unavyosoma hapa, vigogo wa usajili wa Simba chini ya Cresentius Magori wamemshusha pia kiungo, Debora Fernandes Mavumbo kutoka…

Read More

Gamondi awaita Chama, Dube fasta

KUNA ujumbe ambao Kocha wa Yanga, Miguel Gamondi ameutuma kwa viongozi na wachezaji bila kujali wale wapya ambao wanatajwa kusajiliwa Prince Dube, kiungo Clatous Chama kila mmoja anatakiwa kufanya hivyo. Ujumbe ambao Gamondi ameutuma kisha fasta mabosi wa Yanga kuufikisha kwa mastaa hao ni kila mchezaji anatakiwa ahakikishe ikifika Julai Mosi awe hapa nchini kuanza…

Read More