Bocco aisapraizi Simba Dar | Mwanaspoti

SIKU chache tu baada ya kupewa ‘Thank You’ na Simba, aliyekuwa nahodha wa timu hiyo, John Bocco amewasapraizi Wekundu wa Msimbazi hao baada ya kupata timu mpya wakati wenyewe wakijiandaa kumuaga rasmi. Bocco anayeshikilia rekodi ya kuwa mfungaji bora wa muda wote wa Ligi Kuu Bara akifunga mabao 154 katika misimu 16 akiipiku rekodi iliyokuwa…

Read More

Kwenye Masumbwi umri ni namba tu

CALIFORNIA, MAREKAN: KWENYE mchezo wa ngumi, ubingwa wa uzito juu (Heavy Weight Champion), ndiyo unaopewa heshima kubwa zaidi. Wengi wameupata lakini wakiwa vijana kwani inahitaji nguvu na akili nyingi kuweza kufanikisha hilo. Lakini sio tu vijana wanaofanikisha hilo, historia inaonyesha hata mabondia wenye umri mkubwa nao wamewahi kushinda ubingwa huu, tena mbele ya vijana. Hawa…

Read More

TETESI ZA USAJILI BONGO: Ibrahim Abraham awindwa Pamba Jiji

BAADA ya kutangaza kuachana na mastaa wao walioipandisha timu hiyo, uongozi wa Pamba Jiji FC unawinda saini ya Ibrahim Abraham. Beki huyo wa kushoto wa Tanzania Prisons ambaye anamudu kucheza nafasi tatu uwanjani yupo kwenye hatua nzuri za kukamilisha dili hilo kwa mkataba wa miaka miwili.Charity James BEKI wa kati, Ismail Mgunda aliyemaliza mkataba na…

Read More

Siri imevuja usajili wa Simba 2024/25, Mutale atua Dar

SIMBA inaendelea kusuka kikosi chake kimyakimya huku ikielezwa kwamba kati ya mastaa 12 wa kigeni waliomaliza na kikosi hicho msimu wa 2023-2024, ni nyota watatu tu wanaobaki kwa ajili ya msimu ujao. “Je wanaokuja wataweza kweli!” Hilo ndilo swali unaloweza kujiuliza kuhusiana na timu hiyo kwa msimu ujao. Katika wachezaji hao watatu wa kigeni wanaobaki…

Read More

Yanga yashusha kiungo kutoka Wakiso Giants

KUNA kifaa kipya kinashushwa na Yanga leo Jumatano kutoka nchini Uganda kwa ajili ya mchakato wa kujiunga na timu hiyo msimu ujao. Huyu si mwingine bali ni Hassan Ssenyonjo. Uamuzi huo ni katika kuimarisha kikosi cha mabingwa wa Ligi Kuu Bara ambao wamepanga kuanza kukutana Julai Mosi, mwaka huu kwa ajili ya kuanza kambi. Kifaa…

Read More

Mambo manne yaliyowakuta Jesca, Egina Afrika Kusini

WIKIENDI iliyopita mabondia Jesca Mfinanga na Egine  Kayange walikuwa na vibarua vya mapambano ya kimataifa nchini Afrika Kusini ambayo yalifanyika katika jiji la Johannesburg. Katika mapambano hayo, Jesca alikuwa na kibarua  cha kuwania mkanda wa Ubingwa wa Afrika ‘ABU’ katika uzani wa fly dhidi ya Simangele Hadebe wa Afrika Kusini, pambano la raundi kumi wakati…

Read More

Kapombe apewa mwaka mmoja Simba

SIMBA imemuongezea mkataba wa mwaka mmoja beki wake wa kulia, Shomari Kapombe ambao ndani yake una kipengele cha akifanya vizuri ataongezewa mwingine. Mwanaspoti limepata taarifa za ndani kuhusiana na Simba kumsainisha Kapombe, hivyo wakati wowote kuanzia sasa klabu hiyo itatangaza kuendelea naye msimu ujao wa 2024-2025. “Tumemalizana na Kapombe, hivyo bado ni mchezaji halali wa…

Read More

TETESI ZA USAJILI BONGO: Zahera atua kwa Lomalisa Mutambala

BAADA ya kuitumikia Yanga kwa misimu miwili, beki Mkongomani, Joyce Lomalisa anatajwa kutua Namungo FC kwa ajili ya kuongeza nguvu kwenye kikosi hicho msimu ujao. Lomalisa awali alikuwa anatajwa kujiunga Simba lakini mambo yakaenda tofauti na sasa inaelezwa Namungo inayonolewa na Kocha Mkongomani, Mwinyi Zahera ina mpango wa kumpa mkataba wa miaka miwili staa huyo…

Read More

Ukishangaa ya Bocco, utayaona ya Chama

KATIKA maisha omba sana bahati. Kuna vitu huwezi kuvipata hadi uwe na bahati tu. Wakati mshambuliaji John Bocco akitangazwa Kustaafu soka, Clatous Chota Chama bado anagombewa na Simba na Yanga huku, Saido Ntibanzokinza hakuna anayemtaka. Inafurahisha kuona Bocco anastaafu wakati Chama akigombewa. Inasikitisha kuona mfungaji bora wa Simba kwa msimu wa pili mfululizo, Ntibazonkiza anaachwa…

Read More

Kule NBA… Wembanyama ni mrefu, halafu kiatu chake balaa

NEW YORK, MAREKANI : LIGI ya Kikapu Marekani (NBA) ni maarufu na ndiyo mchezo wenye wachezaji wengi mabilionea duniani kuliko yote. Hii ni ligi ya watu wenye pesa zao. Kipato cha chini kwa mchezaji kwa mwaka ni takriban Dola 10 milioni ambacho anavuta supastaa Victor Wembanyama ‘Wemby’ anayeichezea San Antonio Spurs. Hata hivyo, Wembanyama ambaye…

Read More