Mastaa kibao Tabora United kuchapa lapa

LICHA ya Tabora United kubaki Ligi Kuu Bara kwa msimu ujao, lakini inaelezwa mastaa wengi wa kikosi hicho huenda wakaondoka na kutafuta changamoto sehemu nyingine, huku sababu kubwa ikielezwa kuwa ni ukata unaoikumba timu hiyo. Habari za kuaminika kutoka ndani ya timu hiyo zimeiambia Mwanaspoti kwamba baadhi ya nyota ambao wataondoka ni kipa raia wa…

Read More

Chama, Dube na mifumo minne Yanga

Dar es Salaam. Vuta picha hapa kuna Clatous Chama kule Prince Dube katika kikosi cha Yanga chenye nyota wengine kama vile, Stephane Aziz KI, Pacome Zouzoua, Maxi Nzengeli na Mudathir Yahya ambao waliwafanya Wananchi kutembea kifua mbele msimu uliopita na kusherehekea ubingwa wa Ligi Kuu Bara na Kombe la Shirikisho (FA). Chama ambaye mkataba wake…

Read More

HISIA ZANGU: ‘Thank you’ nyingine ya Kariakoo kwa Saido  

HATIMAYE na mchezaji anayeitwa Sadio Ntibazokinza naye amepewa ‘Thank You’ katika ukurasa wa Instagram wa Simba. Mashabiki wa Simba walisubiri kwa hamu habari hii. Na kweli, mkataba wake ulipomalizika Simba wakafanya hivyo kwa haraka. Safari ya Saido katika soka la Tanzania imetatanisha kidogo. Wakati anatua nchini kucheza Yanga kuna mashabiki hasa wa watani wa Yanga,…

Read More

Prince Dube afunguka anavyojifua kwa 2024/25

MSHAMBULIAJI wa zamani wa Azam FC ambaye kwa sasa anatajwa kujiunga na Yanga msimu ujao, Prince Dube amesema yupo fiti kwa ajili ya mapambano baada ya kukaa nje kwa muda mrefu. Dube ambaye alionyesha ubora kwenye mchezo wa Wape Tabasamu uliochezwa mjini Morogoro ukizikutanisha timu Job na Kibwana akitupia bao katika ushindi wa mabao 6-2…

Read More

Ngalema apewa miaka miwili Prisons

TIMU ya Tanzania Prisons imeanza usajili na tayari imemalizana na  beki wa kushoto Aboubakar Ngelema, ambaye msimu ulioisha alikuwa na Dodoma Jiji. Mwanaspoti imepata taarifa za uhakika za Ngalema kusaini miaka miwili katika kikosi hicho na muda wowote wanaweza wakamtangaza. Chanzo cha taarifa kutoka ndani ya Prisons kimesema: “Ngelema ni mchezaji halali wa Prisons, kwani…

Read More

Hivi ndivyo Simba, Chama walivyomalizana

TAARIFA zinabainisha kwamba, ile filamu ya Clatous Chama na Simba imefikia mwisho baada ya mchezaji huyo mkataba wake kumalizika na ishu ya kuongezewa muda wa kusalia Msimbazi ikishindikana, huku ishu mpya ikiwa namna pande hizo zilivyomalizana. Kiungo huyo raia wa Zambia, alikuwa kwenye majadiliano marefu na viongozi wa Simba akiwemo Mwenyekiti wa Bodi na rais…

Read More

Mnigeria afunguka dili la Simba

KIUNGO mkabaji wa Rivers United, Mnigeria Augustine Okejepha ameeleza dili lake la kujiunga na Simba, huku akisisitiza shauku yake kubwa ni kucheza soka la Tanzania licha ya kuwa na ofa kutoka klabu zingine nje ya nchi hiyo. Akizungumza na Mwanaspoti kutoka Nigeria, Okejepha amesema ni kweli wako katika mazungumzo na viongozi wa Simba, lakini bado…

Read More

TETESI ZA USAJILI BONGO: Simba yatua kwa Pedro Miguel

KLABU ya Simba imeanza kumfuatilia kiungo wa Petro Luanda ya Angola, Pedro Pessoa Miguel ili kuiongezea nguvu timu hiyo msimu ujao. Nyota huyo anayecheza kiungo mkabaji na ushambuliaji, inaelezwa Simba itakutana na ushindani kwani timu za Saudi Arabia na Ureno zinamuhitaji pia baada ya kudumu Petro kwa miaka mitano tangu 2019. KLABU ya Singida Black…

Read More

Zigo la fedha lamng’oa Inonga Simba

BEKI wa Simba, Henock Inonga amebakiza hatua chache kujiunga na FAR Rabat ya Morocco baada ya timu hiyo kufuata saini yake. FAR Rabat imezungumza na Simba ikitaka huduma ya beki huyo Mkongomani ambapo zimejadilianakufanya biashara na dau la zaidi ya Sh500 milioni linatajwa kufikiwa. Inonga ambaye ana mkataba wa mwaka mmoja kuendelea kuitumikia Simba uamuzi…

Read More