PUMZI YA MOTO: Maandamano ya Kenya na somo zito Yanga

JIRANI zetu Kenya wamekumbwa na maandamano makubwa yanayoongozwa na makundi ya vijana wanaopinga muswada wa sheria ya fedha uliowasilishwa bungeni na serikali inayoongozwa na Rais William Ruto. Ukichambua kwa kina kinachoendelea nchini humo utaona pande zote mbili ziko sahihi kwa wanachofanya. Wanaoandamana wanapinga muswada huo kwa sababu utakwenda kuathiri maisha moja kwa moja kwa kupandisha…

Read More

HADITHI: Zindiko (sehemu ya 3)

DIWANI akatabasamu kidogo, kisha akafuta tabasamu lake alipoanza kuzungumza. Bwana Zimataa. Unaikumbuka ahadi yangu wakati wa kampeni za uchaguzi wa hapa kwetu? Alikumbuka kila alichokuwa akikizungumza wakati wa kampeni kinachoendana na ndoto zake kuhusu eneo hilo. Alipokuwa akinadi sera zake, alikuwa haadhi kuzungumzia jengo la Zindiko. Na alikuwa akiongea mambo ambayo hayajui. Lakini aliongea kwa…

Read More

Mayele Misri kama Yanga tu

STRAIKA wa zamani wa Yanga, Fiston Mayele ambaye kwa sasa anaichezea Pyramids yupo katika nafasi nzuri ya kuwania kiatu cha dhahabu baada ya kushika namba mbili kwenye msimamo wa wafungaji bora katika Ligi Kuu Masri. Hii ni baada ya jana Jumapili kufunga mabao mawili dhidi ya Arab Contractors, timu yake ikishinda 3-1, ambapo Mayele amefikisha…

Read More

Dar City inavyorejea BDL | Mwanaspoti

WAKATI baadhi ya timu za kikapu za Mkoa wa Dar es Salaam zikiwa kwenye mapumziko ya Ligi ya Kikapu mkoani humo (BDL) ili kupisha mashindano ya Kombe la taifa, timu ya Dar City inaendelea na mazoezi katika uwanja  wa Osterbay kujifua kwa ajili ya mzunguko wa pili. Dar City ambayo ni bingwa mtetezi wa Ligi…

Read More

Cheki ‘SUB’ ya kadi nyekundu kikapu

KATIKA kila mchezo kuna raha yake kwa mashabiki na hata wachezaji. Lakini, linapokuja suala la wachezaji kuingia mchezoni kutokea benchi (sub), kwenye kikapu kuna maajabu zaidi kwani mchezo yeyote anaweza kuingia uwanjani ili mradi tu awe katika benchi la nyota wa akiba. Kwenye soka na michezo mingine mingi, mchezaji anapopewa kadi nyekundu sheria za michezo…

Read More

Luis, Chama kama muvi Simba

KLABU ya Simba imeachana rasmi na aliyekuwa kiungo mshambuliaji wa timu hiyo raia wa Msumbiji, Luis Jose Miquissone baada ya kutoridhishwa na kiwango chake tangu aliporejea ndani ya kikosi hicho cha Msimbazi akitokea Al Ahly ya Misri. Kwa mara ya kwanza Luis alijiunga na Simba Januari mwaka 2020 akitokea UD Songo ya Msumbiji kwa mkopo…

Read More

Kocha: Kuna balaa Taifa Cup

BAADA ya timu ya kikapu ya Mkoa wa Kigoma kuifunga Morogoro kwa pointi 106-54 katika mashindano ya kombe la taifa, kocha wa timu hiyo, Qassim Anasi amesema licha ya kushinda amekiri ushindani ni mkubwa mwaka huu. Mashindano hayo mwaka huu yanafanyika katika viwanja Chinangali mkoani Dodoma. Katika mazungumzo na Mwanaspoti kwa simu, Anasi alisema ushindani…

Read More

Mara inavyotisha Taifa Cup | Mwanaspoti

TIMU ya kikapu ya wanawake ya Mkoa wa Mara inaendelea kutisha katika mashindano ya Kombe la Taifa baada ya kuifunga Arusha jana jioni kwa pointi 63-59 katika Uwanja wa Chinangali mjini Dodoma. Ushindi wa timu hiyo ni wanne mfululizo kwani katika mchezo wa kwanza iliifunga Iringa kwa pointi 69-43, Dodoma 49-42, Mbeya 64-39 na Arusha…

Read More

NJE YA UWANJA: Yanga, Simba zinabebwa na haya

Soka la Tanzania kwa upande wa klabu limetawaliwa zaidi na timu za Simba na Yanga. Hilo lipo wazi kwani hata ukiangalia listi ya mabingwa wa Ligi Kuu utapata jibu lisilokuwa na shaka ndani yake. Tangu mwaka 1965 ilipoanza ligi hiyo, Yanga na Simba ndiyo timu zinazoongoza kwa kubeba ubingwa mara nyingi Zaidi. Yanga ikiwa kinara…

Read More