
Sababu saba mtifuano wa Simba, Coastal
Dar es Salaam. Klabu mbili kongwe hapa nchini, Simba SC ya Dar es Salaam na Coastal Union ya Tanga, zimeingia kwenye mgogoro mkubwa juu ya uhamisho wa beki kisiki chipukizi, Lameck Lawi. Simba iliitaka huduma ya beki huyo wa Coastal Union na kufuata taratibu zote, wakakubaliwa. Ikatakiwa ilipe kiasi fulani cha fedha kama ada ya…