Diarra, Yanga wakaa mezani, Mwamnyeto njia panda

YANGA sasa iko mezani na menejimenti ya kipa Djigui Diarra, ili kumuongeza mkataba wa mwaka mmoja ili aendelee kuitumikia, licha ya kuwa amebakiza msimu mmoja kabla ya mkataba wa sasa kumalizika. Kipa huyo raia wa Mali alisaini mkataba wa miaka mitatu na Yanga unaomalizika mwishoni mwa msimu ujao akiwa na rekodi ya kufanya vizuri katika…

Read More

JIWE LA SIKU: Coastal haina sababu ya kumganda Lawi

USHAWAHI kusikia ule mkasa wa wanandoa kupeana talaka na kuachana huku wakiwa bado wanapendana. Kila mmoja humfuatilia mwenzake kimyakimya katika maisha mapya ya useja. KIu kubwa ni kutaka kujua anafanya nini na yupo na nani? Wale wanaume wenye mioyo midogo, akisikia zilipendwa wake ametua kwa jamaa kwingine, wakati mwingine huleta za kuleta na kujizima data,…

Read More

Fedha za Mo Dewji zimeanza kazi, Kumshusha mido Mnigeria

ILIANZA kama tetesi vile, lakini taarifa zikufikie kwa sasa kwamba Mnyama amemalizana na kiungo mkabaji, Augustine Okejepha aliyekuwa akikiichezea Rivers United ya Nigeria. Mwanaspoti liliripoti hivi karibuni juu ya dili hili la Simba na Mnigeria huyo anayetajwa kuja kuchukua nafasi ya Babacar Sarr anayetarajiwa kupewa ‘thank you’ muda wowote kuanzia sasa ili kupisha majembe mengine…

Read More

Mwinzani: Mtashangaa NCBA, Lugalo Open

CHIPUKIZI wa mchezo wa gofu, Julius Mwinzani wa klabu ya Dar es Salaam Gymkhana, anasema atakuja kuwashangaza wengi katika mashindano ya mchezo huo ya NCBA, Lugalo Open na Lina Tour kwa jinsi alivyopania kama alivyokuwa amejipanga kwa Morogoro. Mchezaji huyo anayechezea timu ya taifa ya vijana U18, alisema hayo baada ya kushika nafasi ya tatu…

Read More

Simba yavunja ukimya hatma ya Chama

Wakati taarifa zikizidi kuenea kwamba kiungo mkongwe wa Simba, Clatous Chama amesaini Yanga, uongozi wa Simba umetoa kauli juu ya Mzambia huyo. Msemaji wa Simba, Ahmed Ally amesema Chama amemaliza mkataba na klabu hiyo na kwamba kinachoendelea sasa ni mazungumzo ya kutafuta namna ya kumuongezea mpya. Ahmed amesema, kama haitafanikiwa kumuongezea Simba itatafuta namna ya…

Read More

Salvatory Edward kumsaidia Kopunovic Pamba Jiji

Mchezaji wa zamani wa Yanga na timu ya Taifa Salvatory Edward ametangazwa kuwa Kocha Msaidizi wa Pamba Jiji FC, ambapo anatarajiwa kuwa msaidizi wa Kocha Goran Kopunovic ambaye alitangazwa kuwa Kocha Mkuu wa timu hiyo mapema wiki hii. Kupitia Ukurasa wa Instagramu wa Pamba Jiji wamemtangaza Kocha Salvatory Edward Kuwa Kocha Msaidizi wa timu hiyo,…

Read More

TETESI ZA USAJILI BONGO: Mwanuke aingia anga za Mashujaa

NYOTA wa Simba aliyekuwa akikipiga kwa mkopo Mtibwa Sugar, iliyoshuka daraja, Jimmyson Mwanuke amedaiwa kuanza mazungumzo na Mashujaa kwa ajili ya kuitumikia kwa msimu mpya. Mwanuke aliyekuwa akitumika Simba kama kiraka, akimudu zaidi kucheza kiungo mshambuliaji, lakini wakati mwingine akitumikishwa kama beki ameshamaliza mkataba aliokuwa nao na Simba iliyomtoa kwa mkopo kwa Mtibwa katika dirisha…

Read More

Prisons Queens matumaini kibao Ligi ya Mabingwa

TANZANIA Prisons Queens imesema mechi mbili zilizobaki katika ligi ya mabingwa wa Mikoa kwa soka la Wanawake wanahitaji ushindi tu ili kujihakikishia kupanda daraja. Ligi hiyo ambayo inafanyika jijini Dodoma, Maafande hao katika mechi mbili walizocheza wameshinda mmoja dhidi ya Zabibu Queens 2-1 na kupoteza 3-1 kwa Katoro Queens na kuwa nafasi ya pili. “Mechi…

Read More