ANITHA; Fundi Bomba anayezitamani Simba, Yanga

LICHA ya Alliance Girls kufanya vibaya katika Ligi Kuu ya Wanawake (WPL) iliyomalizika hivi karibuni kwa kushika nafasi ya tatu kutoka mkiani, ikinusurika kushuka daraja, lakini kuna baadhi ya nyota wa timu hiyo wameonyesha viwango bora kiasi cha kuanza kuwindwa na klabu kubwa za ligi hiyo. Klabu za Simba Queens, JKT Queens na Yanga Princess…

Read More

Chilo: Safari ya Ulaya inanukia

BEKI wa kati wa Tanzania Prisons, Chilo Mkama amethibitisha kuwa katika mazungumzo na timu ya Ulinzi Stars ya nchini Kenya huku akieleza kuwa dili hilo likitiki inaweza kuwa safari yake ya kulisaka soka la kulipwa Ulaya. Nyota huyo aliwahi kuzichezea timu kadhaa kwa mafanikio ikiwamo Toto Africans, Mbao, Polisi Tanzania na msimu uliopita alikuwa beki…

Read More

Siri yafichuka, Chama apewa mkataba mnono Yanga

SAGA la usajili wa fundi wa  aliyemaliza mkataba wake Simba, Clatous Chama limechukua sura mpya, baada ya bosi mmoja wa Zambia kuvujisha siri kiungo huyo tayari amesaini mkataba wa mwaka moja Yanga. Ingawa sio Chama wala Yanga waliothibitisha juu ya dili hili, lakini taarifa za ndani kutoka Yanga ni kiungo huyo atakuwa mali ya kikosi…

Read More

Simba yafuata kiungo Mashujaa | Mwanaspoti

WAKATI fagio likiendelea kutembezwa Simba, mabosi wa klabu hiyo wapo bize kuingiza majembe mapya, kwani baada ya beki Lameck Lawi, tayari imemvuta kiungo mwingine fundi kutoka Mashujaa. Simba imemsajili kiungo huyo, Omary Omary ikielezwa kashapewa mkataba wa miaka miwili na kilichobaki ni kutangazwa kama ilivyokuwa kwa Lawi aliyenyakuliwa kutoka Coastal Union iliyoamua kuikataa biashara hiyo…

Read More

MTU WA MPIRA: Kuna Bocco mmoja tu, halafu eti anaondoka!

KILA mwanadamu huzaliwa mara moja, huishi mara moja na kufariki mara moja. Iko hivyo. Ila katika kila eneo kuna mwanadamu wa kipekee. Leo nimzungumzie John Bocco ‘Adebayor’. Straika halisi wa mpira. Straika Bora wa muda wote wa Ligi yetu. Nyakati zimekwenda wapi? Majuzi Simba imetangaza kuwa Bocco hatakuwa sehemu ya kikosi chao kwa msimu ujao….

Read More

MTU WA MPIRA: Hili la Lawi ni kituko kingine

KUNA vitu Tanzania vinachekesha sana. Ni kama hili sakata la mchezaji Lameck Lawi, Simba na Coastal Union. Ni kichekesho. Kwa mara ya kwanza nimeona duniani timu inatangaza kuwa imemnunua mchezaji fulani halafu wale waliomuuza wanakataa. Yaani, Simba inasema imemnunua Lawi kutoka Coastal Union ya Tanga. Saa chache baadaye Wagosi wa Kaya wanasema hawajamalizana na Simba….

Read More

JKU kupewa ndoo ya ubingwa kecho New Amaan Complex

MAAFANDE wa JKU imemaliza ubishi kwa kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Zanzibar (ZPL) baada ya kutoka sare ya 1-1 na Kipanga, na kesho jumapili itakabidhiwa taji hilo katika sherehe zitakazoenda sambamba na mechi maalumu itakayopigwa Uwanja wa New Amaan, Unguja. JKU iliyokuwa ikiongoza msimamo wa Ligi hiyo kwa muda mrefu ilikuwa inahitaji pointi moja tu kabla…

Read More

Luvanga apata dili za Marekani

NYOTA wa kimataifa, Clara Luvanga anayekipiga Al Nassr ya Saudia huenda msimu ujao akaibukia Marekani baada ya kuanza mazungumzo na moja ya timu za nchini humo. Ikumbukwe Clara msimu uliopita, Nassr inayomiliki pia timu ya Ligi Kuu ya Saudia kwa wanaume anayoichezea Cristiano Ronaldo ilivunja mkataba wa straika huyo na Dux Lugrono ya Hispania ikiwa…

Read More