Dube amaliza utata Azam FC, ishu na Yanga iko hivi

HABARI mpya ni kwamba Prince Dube ameilipa Azam FC Sh500Mil na sasa yuko huru kujiunga na Yanga ambayo imekuwa ikihusishwa nae tangu asuse na kuondoka Chamanzi. Mwanaspoti awali liliripoti kwamba Prince Dube ameukana mkataba wake na Azam FC unaoisha 2026 na akaondoka Chamanzi. Staa huyo alikwenda kushtaki kwenye Shirikisho la soka la Tanzania(TFF) na kesi…

Read More

Watasumbua sana soko la usajili WPL  

LIGI Kuu ya Wanawake (WPL) imemalizika mapema wiki hii kwa Simba Queens kubeba taji la nne tangu kuasisiwa kwa michuano hiyo mwaka 2016, kuashiria kufungwa kwa msimu wa 2023-2024 na klabu kwenda mapumziko kujiandaa na msimu ujao wa 2024-2025. Ligi hiyo imeisha ikiacha gumzo kutokana na ushindani mkubwa uliokuwapo kwa klabu 10 shiriki na Simba…

Read More

JKU yabeba ubingwa Ligi Kuu ya Zanzibar

MAAFANDE wa JKU imemaliza ubishi kwa kutwaa taji la Ligi Kuu Zanzibar (ZPL), jana Ijumaa baada ya kutoka sare ya 1-1 na Kipanga, huku Zimamoto ikicharazwa mabao 2-0 na New City wakati ligi hiyo msimu wa 2023-2024 ikifikia tamati. JKU na Zimamoto ndizo zilizokuwa zikichuana kuwania ubingwa huo uliokuwa wazi baada ya waliokuwa wakishikilia taji…

Read More

Musonda ashindwa kuvumilia, afichua siri nzito Yanga

MSHAMBULIAJI aliyemaliza mkataba na Yanga, Keneddy Musonda ameweka bayana sababu ziliyomfanya ashindwe kufanya vizuri ndani ya kikosi hicho, akidai ni presha kubwa iliyokuwa juu yake baada ya kuondoka kwa Fiston Mayele, kisha akatoa msimamo kwa ajili ya msimu ujao wa Ligi. Musonda alibaki Yanga akiwa mshambuliaji tegemeo baada ya kuondoka kwa Mayele aliyetimkia Pyramids ya…

Read More

Kitendawili cha usajili wa Lawi kinabana, kinaachia

SIMBA na Coastal Union wameingia kwenye mzozo. Msimbazi wamemtangaza Beki Lameck Lawi kama mchezaji wao mpya juzi usiku. Muda mfupi badae wenzao wakajibu kwamba siyo kweli, hawatambui usajili huo kwa madai kwamba kuna makubaliano walikubaliana wakati anasaini mkataba wa awali na hayajatekelezwa. Coastal Union wamesisitiza kusitisha  biashara hiyo na wekundu hao, kwa kile ilichoeleza kukiukwa…

Read More

Chama, Aziz Ki kuna jambo linaendelea Simba, Yanga

KUNA kitu kinaendelea ndani ya Simba na Yanga kuhusu usajili wa Clatous Chama. Chama amemaliza mkataba na Simba mwisho wa msimu uliopita, huku mazungumzo ya kumwongezea muda zaidi ndani ya Wekundu hao yakiwa hayana mwafaka zaidi ya kuzua makundi. Lakini huko Yanga, Mwanaspoti limeambiwa mabosi wa timu hiyo wanapigwa presha na mastaa wakiongozwa na Stephanie…

Read More

JIWE LA SIKU: Mzimu wa Baleke, Saido unavyoipa presha Simba

SIMBA iko kwenye mchakato wa kutengeneza upya kikosi chake bora kitakachobeba matumaini ya kurudisha heshima ya klabu iliyolega kwa miaka mitatu sasa lakini ndani ya hilo itapambana kuzima presha ya mastaa wao wawili wa zamani walioacha rekodi ngumu. Hesabu za Simba ni kama itatema mastaa wengi wa kigeni wasiopungua saba lakini eneo ambalo litawapa presha…

Read More

HADITHI: Zindiko (sehemu ya 2)

LAKINI ukweli ni kwamba kijiji kilikuwa salama kwa sababu kila ambaye hakufika hapo alikuwa anaendelea na maisha yake. Lakini wapo watu wachache ambao kwa sababu zao walijaribu kuruka uzio kwa lengo la kulifikia jumba kwa malengo mbalimbali, waliishia kwenye kinywa cha joka hilo lililokuwa na kasi na nguvu za ajabu sana. Zamani wakati tukio hili…

Read More