Pamba Jiji yaonywa mapema Ligi Kuu Bara

MAANDALIZI ya Pamba Jiji kwa ajili ya Ligi Kuu msimu ujao wa mwaka 2024/2025 yanazidi kushika kasi, huku mastaa wa zamani na makocha wakiionya kufanya usajili wa kukurupuka utakaoisababisha kushuka daraja msimu wake wa kwanza. Timu hiyo ya jijini hapa tayari imeachana na benchi la ufundi chini ya Mbwana Makatta na Renatus Shija walioipandisha daraja…

Read More

Wanyeche avunjwa ukimya, aitaja Lugalo

MSHINDI wa mashindano ya Gofu ya Alliance, yaliyofanyika wikiendi iliyopita mjini Morogoro, Enoshi Wanyeche ameweka wazi yeye ni mchezaji wa klabu ya Gofu ya Lugalo na sio Kili Golf ya Arusha kama alivyoripotiwa katika matoleo mawili ya gazeti hili. Akizungumza na Mwanaspoti jana asubuhi, nyota huyo alisema ni kweli amekuwa akifanya mazoezi na kuwepo mara…

Read More

Rais Samia kunogesha tamasha la Utamaduni

RAIS wa Tanzania, Dk Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi wa Tamasha la Utamaduni litakalofanyika mkoani Ruvuma katika viwanja vya Maji Maji kuanzia Julai 20-27 mwaka huu. Hayo yamewekwa wazi na Naibu waziri wa Sanaa, Utamaduni na Michezo, Hamis Mwinjuma ‘Mwana FA’, katika uzinduzi rasmi wa tamasha hilo uliofanyika juzi jijini Dar es Salaam….

Read More

Zenji ni JKU au Zimamoto ligi ikifikia tamati

LIGI Kuu Zanzibar kwa msimu wa 2023-2024 inafikia tamati jioni ya leo wakati zitakapopigwa mechi saba za kukamilisha raundi ya 30, ambapo bingwa mpya wa ligi hiyo anatarajiwa kufahamika rasmi, huku JKU ikijiweka pazuri mbele ya Zimamoto zikiwa timu pekee zenye nafasi ya kubeba taji. Awali, ligi hiyo ilitarajiwa kumalizika Juni 17, lakini kutokana na…

Read More

AKILI ZA KIJIWENI: Azam FC iwekeze soka la wanawake

JUNI 15 mwaka huu, Azam FC ilitoa taarifa ya kufikia makubaliano ya ushirikiano wa mwaka mmoja na timu ya wanawake ya Fountain Gate Princess inayoshiriki Ligi Kuu ya wanawake Tanzania. Lengo la kufikia makubaliano hayo ni kutimiza kanuni za mashindano ya Ligi ya Mabingwa Afrika zinazolazimisha klabu shiriki kuwa na timu za wanawake ili zipate…

Read More

AKILI ZA KIJIWENI: Kopunovic yuko kwenye kipimo Pamba

DIRISHA la usajili linazidi kuchangamka na jamaa zetu wa Pamba FC wao wameanza kwa utambulisho wa kocha mkuu Goran Kopunovic kutoka Serbia. Kocha huyo anachukua nafasi ya Mbwana Makata ambaye pamoja na kuipandisha daraja timu hiyo, imeamua kutoendelea naye na kuamua kumchukua kocha huyo wa zamani wa Simba. Kabla ya kujiunga na Pamba FC, timu…

Read More

Makocha 10 wamkubali Mtunguja | Mwanaspoti

BAADA ya Stanley Mtunguja kuonyesha kiwango cha juu katika mashindano ya kanda ya tano ya Afrika umri wa miaka 18 nchini Uganda, makocha zaidi ya 10 wamevutiwa naye.  Kamishina wa makocha wa Shirikisho la mpira wa kikapu nchini (TBF), Robert Manyerere, alisema taarifa walizozipata kutoka Uganda makocha hao walianza kumshawishi mchezaji huyo ajiunge na  timu…

Read More

TETESI ZA USAJILI BONGO: Makang’a, Lanso wanukia Singida BS, Ngalema agombewa kanda ya ziwa

UONGOZI wa Singida Black Stars umeanza kufuatilia kwa karibu saini ya beki wa kulia wa KMC, Abdallah Said Ali ‘Lanso’. Lanso alitua KMC katika dirisha dogo la msimu uliopita akitokea Mlandege Zanzibar na kusaini mkataba wa miaka miwili wenye kipengele kinachomruhusu kuondoka akipata timu na Singida inataka kukitumia. NYOTA wa Dodoma Jiji, Abubakar Ngalema ameanza…

Read More