Tembo Warriors kupaa  kuifuata CECAAF

KOCHA wa timu ya taifa ya Walemavu, Tembo Warriors, Ivo Mapunda amesema timu hiyo itaondoka nchini kesho kwenda Bujumbura, Burundi kushiriki mashindano ya Afrika Mashariki na Kati ya Soka kwa Watu wenye Ulemavu (CECAAF). Mashindano hayo yatakayofanyika kwa siku saba kuanzia Septemba 8-14, yamegawanywa katika makundi mawili. Tembo Warriors ikipangwa Kundi B pamoja na Kenya…

Read More

ICC T20 Tanzania yafanya kweli Windhoek

TANZANIA imeshinda mechi yake ya pili ya michuano ya kufuzu fainali za Kombe la Dunia kwa Kriketi ya mizunguko 20 (T20) baada ya kuifunga Kenya kwa mikimbio 30 katika mchezo uliopigwa mwanzoni mwa juma mjini Windhoek, Namibia. Tanzania ndio walioanza kubeti na kufanikiwa kutengeneza mikimbio 125 ikiwa imepoteza wiketi 8 baada ya kumaliza mizunguko yote…

Read More

Warundi kunogesha Mashujaa Day Jumapili

KIKOSI cha Mashujaa FC kinatarajia kucheza mechi ya kirafiki ya kimataifa dhidi ya Vital’O FC Septemba 7 mwaka huu maalum kwa ajili ya kutambulisha kikosi chao cha msimu wa 2025/26. Kocha Mkuu wa Mashujaa, Salum Mayanga ameupongeza uongozi wa timu hiyo kuandaa mchezo huo ambao amesema kuwa ni kipimo sahihi kwao kabla ya kuanza kwa…

Read More

Mido ya boli APR yaanza na moto

KIUNGO mpya wa APR ya Rwanda, Dao Rouaf Memel ameanza na moto kwenye mashindano ya Kombe la Cecafa Kagame baada ya kuibuka mchezaji bora wa mechi dhidi ya Bumamuru wakati timu yake ikiibuka na ushindi wa mabao 2-0, juzi, Jumatano kwenye Uwanja wa KMC. Licha ya mabao ya APR kufungwa na Ouattara Dj dakika ya…

Read More

Ushindi wampa jeuri Maximo | Mwanaspoti

KOCHA wa KMC, Márcio Máximo amesema ushindi wa mabao 3-2 walioupata dhidi ya Mlandege katika mechi yao ya kwanza wa mashindano ya Cecafa Kagame ni sehemu ya mchakato wa kukijenga zaidi kikosi hicho. Máximo alieleza alifurahishwa na nidhamu ya wachezaji wake kwa dakika 80 za mwanzo, lakini alikiri dakika 10 za mwisho walipoteza umakini na…

Read More

Mtoko wa Simba, Yanga 2025-26 uko hivi

POINTI 82 ilizovuna katika mechi 30 ilizocheza kwenye Ligi Kuu Tanzania Bara msimu wa 2024/25 zilitosha kuwafanya Yanga kunyakua ubingwa wa nchi kwa msimu wa nne mfululizo. Katika mechi hizo 30, Yanga iliibuka na ushindi mara 27, ilitoka sare mara moja na kupoteza mbili, huku ikifunga mabao 83 na kufungwa 10, hivyo ilikuwa na chanya…

Read More

Mkali wa mabao aipa Pamba jeuri

ALIYEKUWA kinara wa mabao wa Kagera Sugar msimu uliopita katika Ligi Kuu Bara, Peter Lwasa amejiunga na kikosi cha Pamba Jiji ya Mwanza kuongeza nguvu katika eneo la ushambuliaji ambalo lilionekana kuwa butu. Lwasa raia wa Uganda alimaliza msimu uliopita akiwa na mabaio manane akishika nafasi ya 11 katika orodha ya wafungaji wa Ligi Kuu…

Read More

Bado Watatu – 18

Jioni ya siku ile nikakutana na Hamisa katika hoteli ya Mtendele. Nilimpigia simu na kumjulisha kuwa tukutane hapo saa moja usiku. Kutoka siku hiyo ndopo tukawa mapenzini na Hamisa. Hamisa alifanikiwa kuharibu akili yangu nikawa kama zezeta. Kwa kuona nilikuwa polisi alinieleza mkasa wake ambao ninataka kukuhadithia kwa vile una fundisho ndani yake.

Read More

Tabora Utd yaitaka nafasi ya Singida BS

ZIKIWA zimesalia takribani wiki mbili kabla ya kuanza kwa Ligi Kuu Bara msimu wa 2025-26, uongozi wa Tabora United umesema inataka timu kufanya vizuri zaidi ili kumaliza ligi ndani ya nafasi nne za juu kwenye msimamo tofauti na ilivyokuwa msimu uliopita. Timu hiyo msimu uliopita ilimaliza katika nafasi ya tano kwenye msimamo wa Ligi Kuu…

Read More

Mkongwe agusia bato jipya Simba

UWEPO wa Moussa Camara kama kipa namba moja ndani ya Simba unaelezwa ni changamoto kubwa anayokwenda kukabiliana nayo, kipa mpya wa kikosi hicho, Yakoub Suleiman aliyetua hivi karibuni akitokea kwa maafande wa JKT Tanzania. Yakoub ambaye ni kipa namba moja wa timu ya taifa, Taifa Stars kwa sasa, ametua Msimbazi sambamba na beki wa kati,…

Read More