Simba yatesti mitambo Misri, mastaa wapya waanza vizuri

Wachezaji wapya wa Simba, Mohamed Bajaber na Jonathan Sowah wameanza kuonyesha makali yao baada ya kutikisa nyavu katika mchezo wa kirafiki uliochezwa jana dhidi ya Kahraba Ismailia. Katika mechi hiyo ya maandalizi ya msimu ujao wa 2025/2026 Simba iliandika bao la kwanza lililofungwa na Mohamed Bajaber katika kipindi cha kwanza. Bao la pili lilipatikana kipindi…

Read More

Simba yamvizia kiungo wa Stars

KAMA ulidhania Simba imefumba jicho la usajili basi umekosea, licha ya kwenda Misri kujiandaa kwa msimu mpya wa mashindano ya msimu ujao wa 2025-26, lakini mabosi wa klabu hiyo wanaendelea kusaka vyuma na sasa inadaiwa wametua KMC wakitaka kiungo mkabaji aliyepo Taifa Stars. Simba imeweka kambi katika jijini la Ismailia ikiwa inaingia wiki ya pili…

Read More

Yanga yawabakiza mabeki | Mwanaspoti

KATIKA kuhakikisha inajiandaa na msimu mpya wa Ligi ya Wanawake, inaelezwa Yanga Princess imewaongezea mikataba wachezaji wawili kuendelea nao msimu ujao. Mabeki hao ni Diana Mnally na rafiki yake wa karibu Protasia Mbunda, waliokuwa wamejiunga na Yanga Princess msimu uliopita wakitokea Gets Program. Inaelezwa nyota hao walionyesha kiwango bora msimu uliopita, hali iliyowashawishi viongozi wa…

Read More

Uganda yaendelea kugawa dozi, ikiizima Niger

TIMU  ya taifa ya Uganda The Cranes, imeendelea kung’ara katika michuano ya CHAN 2024 baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Niger ikiwa ni mechi yao ya tatu ya Kundi C iliyopigwa kwenye Uwanja wa Nelson Mandela, jijini Kampala. Uganda ilianza michuano hiyo kwa kipigo cha mabao 3-0 kutoka Algeria, lakini imezinduka…

Read More

SportPesa kuipa Yanga 21.7 bilioni

Kama unadhani ndoa ya Yanga na kampuni ya michezo ya kubashiri ya SportPesa itaishia njiani unakosea. Pande hizo mbili zimesaini mkataba mpya wenye thamani ya Sh21.7 bilioni. Ilikuwa Julai 27, 2022 ambapo pande hizo ziliingia mkataba wa miaka mitatu  uliokuwa na thamani ya Sh12.3 bilioni uliomalizika mwisho wa msimu uliopita. Mkataba mpya ambao umesainiwa leo…

Read More

Kipa Pamba awapiga mkwara Diarra, Moussa Camara

KIPA wa Pamba Jiji, Yona Amos aliyemaliza nafasi ya nne kwa makipa waliokuwa na ‘clean sheets’ nyingi baada ya Moussa Camara wa Simba, Diarra Djigui na Patrick Munthari amesema msimu wa 2025-26 ataendelea alipoishia mipango ni kuongeza namba. Kipa huyo aliyeshika namba mbili ya makipa wazawa waliofanya vizuri msimu uliopita akiwa na clean sheet 11,…

Read More

Gamondi aona ugumu kwa Rayon CAFCC

SAA chache tangu kufanyika kwa droo ya mechi za raundi za awali za michuano ya kimataifa kwa ngazi ya klabu ikiwamo Ligi ya Mabingwa na Kombe la Shirikisho Afrika kwa msimu wa 2025-2026, kocha mkuu wa Singida Black Stars, Miguel Gamondi amekiri kuna ugumu kuwakabili Rayon Sports. Singida itavaana na Rayon ya Rwanda katika mechi…

Read More

Mkenya Pamba Jiji awashtukia wachezaji

KOCHA Mkuu wa Pamba Jiji, Francis Baraza amewashtukia wachezaji wa timu hiyo akisema namba yao imekuwa ndogo katika wiki ya kwanza ya maandalizi ya msimu ujao wa mashindano, huku akiweka wazi hiyo inatokana na wengi wao kukimbia mazoezi magumu. Pamba Jiji imeingia wiki ya pili ya maandalizi tangu imeanza kujifua, huku Baraza akiliambia Mwanaspoti, hajaridhishwa…

Read More