Father: Bocco karusha taulo mapema!

SIKU chache baada ya Simba kutangaza kumtema aliyekuwa nahodha wa timu hiyo, John Bocco ambaye kwa sasa ameteuliwa kuwa kocha mkuu wa timu ya vijana ya klabu hiyo U17, makocha kadhaa akiwamo Idd Pazi ‘Father’ amedai kushangazwa na nyota huyo kutupa taulo mapema. Pazi, nyota wa kimataifa wa Tanzania aliyewahi kuwika na Majimaji, Simba na…

Read More

Mchenga Stars yaona mwezi | Mwanaspoti

TIMU ya mpira ya kikapu ya Mchenga Stars iliifunga UDSM Outsiders kwa pointi 70-60, katika mchezo wa kirafiki uliofanyika kwenye Uwanja wa Spide. Mchezo huo uliandaliwa na timu hizo kwa lengo la kuandaa timu zao katika mzunguko wa pili wa ligi ya kikapu mkoa wa Dar es Salaam (BDL) Julai 6. Baada ya mchezo kumalizika…

Read More

Lameck Lawi atambulishwa Unyamani | Mwanaspoti

Beki mzawa Lameck Lawi amekuwa mchezaji wa kwanza kutambulishwa Simba SC katika kipindi hiki cha usajili wa kuelekea msimu mpya 2024/25. Lawi ametambulishwa Msimbazi akitokea Coastal Union aliyoitumikia kwa juhudi kubwa msimu uliopita na kufanikiwa kuwa sehemu ya wachezaji walioipeleka klabu hiyo kombe la Shirikisho Barani Afrika. Taarifa iliyoandikwa kupitia SimbaAPP ambayo imeambatana na utambulisho…

Read More

TETESI ZA USAJILI BONGO: Luhende awaniwa Dodoma Jiji  

KAMA ulikuwa unadhani beki mkongwe wa Kagera Sugar, David Luhende anajiandaa kutundika daluga pole yako, kwani kwa sasa jamaa ameingia kwenye anga la Dodoma Jiji inayomtaka kumsajili. Uongozi wa Dodoma Jiji, umedaiwa kuanza mazungumzo na beki huyo wa zamani wa Yanga ili aitumikie kwa msimu ujao. Luhende aliyewahi kukipiga Mwadui, Mtibwa Sugar na Yanga, amemaliza…

Read More

Hawa ndio wakali wa kutupia pointi 3

UKITAKA kuwabana mafundi wa kufunga mitupo ya pointi tatu (three pointer) ili wasifunge, inakupasa ucheze nao kwa karibu muda wote wa mchezo. Kucheza naye kwa karibu kutawafanya wachezaji hao washindwe kurusha mpira katika maeneo yao ya mitupo ya pointi tatu-tatu. Kitakachotokea baada ya kubanwa, watupiaji hao wataishia kulalamika kuwa wanatendewa madhambi. Tukio hilo la kubanwa…

Read More

Kundemba yaishusha rasmi Ngome ZPL

USHINDI wa mabao 4-2 iliyopata Kundemba jana katika mfululizo wa mechi za Ligi Kuu Zanzibar (ZPL) umeishusha rasmi Ngome iliyokuwa ikicheza ligi hiyo kwa mara ya kwanza ambayo sasa inazifuata Maendeleo na Jamhuri za Pemba zilizoshuka mapema. Kundemba ambayo nayo haina uhakika wa kusalia kwenye ligi hiyo iwapo itachemsha katika mechi ya kufungia msimu, ilipata…

Read More

CAG kutimua mbio kuikarabati Shycom

WAHITIMU waliosoma Chuo cha Ualimu Shinyanga (SHYCOM) akiwemo Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Serikali (CAG), Charles Kichere wanatarajiwa kukimbia katika mbio za hisani maalumu kwa ajili ya kuchangia ukarabati wa miundombinu ya chuo hicho. Mbio hizo zinazojulikana kama Shycom Alumni Marathon zitafanyika Septemba 21, mkoani Shinyanga na CAG akaweka bayana kwamba atakimbia mbio za Kilomita…

Read More

Euro 2024 ni darasa kwa AFCON

ULAYA na dunia kwa sasa inashuhudia fainali za Kombe la Mataifa ya Ulaya ‘Uefa Euro 2024’ zinazoendelea Ujerumani zikishirikisha nchi 24 na sasa zimeingia raundi ya p[ili hatua ya makundi. Fainali hizi au European Championship Cup ni moja ya fainali kubwa duniani baada ya zile za Kombe la Dunia na zilianzishwa mwaka 1958, zikishirikisha mataifa…

Read More