Makipa janga timu ya taifa

Simba, Yanga na Azam, ni timu ambazo zimekuwa zikitawala soka la Tanzania kwa muda mrefu. Kuanzia mwaka 2008 ambapo Azam FC ilianza kushiriki Ligi Kuu Bara, timu hizi tatu pekee ndizo zimefanikiwa kubeba ubingwa wa ligi hiyo. Katika kipindi hicho cha misimu 16, Azam imebeba mara moja 2013-2014, huku misimu 15 wakigawana Simba na Yanga….

Read More

Vicky aipania Zambia baada ya kung’ara Moro

BAADA ya ushindi mnono  katika mashindano ya gofu ya Alliance One, nyota wa timu ya taifa ya gofu ya wanawake,  Vicky Elias ameanza mchakato wa kushinda mashindano ya wazi ya wanawake ya Zambia yanayoyatarajiwa kufanyika mjini Lusaka mwishoni mwa mwezi huu. Vicky, ambaye alishinda kitengo cha wanawake wa daraja la juu kwa kupiga mikwaju 161…

Read More

Mkosa: Ubora wa wachezaji umetubeba

TIMU ya kikapu ya Mkoa wa Kigoma ilianza vyema mashindano ya Kombe la Taifa kwa kuifunga Mkoa wa Dodoma kwa pointi 49-42, katika pambano kali lililopigwa kwenye viwanja vya Chinangali, mjini Dodoma, huku nyota wa timu hiyo Amin Mkosa akitamba ubora na uzoefu vimewabeba. Mashindano hayo ya Kombe la Taifa yanashirikisha timu 13 za wanaume…

Read More

Moro yatakata, Wanyeche moto gofu ya Alliance 

ILIKUSANYA zaidi ya wacheza gofu 150 kutoka vilabu vyote nchini, michuano ya mwaka huu ya Alliance iliyotamatika katika viwanja vya Gymkhana mjini Morogoro mwishoni mwa juma itabaki kuwa na historia nzuri ya ubora wa matokeo kwa msimu huu. Kwa mujibu wa Seif Mcharo, ambaye ni nahodha wa klabu ya gofu ya Morogoro Gymkhana, uitikio wa…

Read More

Tamil, Titans watoa visago kriketi ya T20

ILIKUWA ni  sikukuu ya Eid  njema kwa timu za Tamil Nadu na Patel Titans baada ya timu hizo kuwapa wapenzi wake zawadi njema ya ushindi mnono. Wakicheza katika uwanja wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam,  Tamil Nadu  waliweza kuwabamiza Dar Tigers kwa wiketi 5 katika mchezo wa kricket wa ova 20 uliochezwa siku yakatika …

Read More

JIWE LA SIKU: VAR sawa ije lakini kwenye viwanja vipi?

KWA mujibu wa Shirikisho la Kimataifa la Historia na Takwimu za Mpira wa Miguu (IFFHS), Ligi Kuu Tanzania Bara inashika namba sita kwa ubora barani Afrika nyuma ya vinara Misri, Morocco, Algeria, Tunisia na Afrika Kusini. Takwimu hizo zilitolewa Januari 2024. Ukiangalia orodha hiyo katika nne bora unazikuta nchi za Ukanda wa Kaskazini mwa Afrika…

Read More

Jesca, Egine watimkia Afrika Kusini kuzichapa

MABONDIA wa Ngumi za Kulipwa Tanzania, Jesca Mfinanga na Egine Kayange, wameondoka asubuhi ya leo kuelekea Afrika Kusini. Wakiwa Afrika Kusini, Jesca anatarajia kucheza pambano kuu la kuwania Mkanda wa Ubingwa wa Afrika dhidi ya Simangele Hadebe raia wa nchi hiyo. Kwa upande wa Egine, atapanda ulingoni katika pambano la utangulizi dhidi ya Monica Mukandla…

Read More

Luis Miquissone atoa neno ‘Thank You’ ya Simba

Baada ya Simba SC kutangaza uamuzi wa kutoendelea na winga, Luis Miquissone, mchezaji huyo amevunja ukimya na kusema kitu juu ya uamuzi huo wa Msimbazi. Akiwa mubashara kupitia ukurasa wa mtandao wa kijamii wa Instagram, Miquissone amekiri kufikia maamuzi hayo na Wekundu hao, huku akiwatuliza mashabiki wa Simba SCwaliokuwa wanahuzunishwa na hilo akisema ndio maisha…

Read More

Dili la Mganda wa Azam lipo, Medo sasa ni Kagera Sugar

HUENDA Azam ikaachana na mpango wa kumsajili nyota wa Vipers ya Uganda, Yunus Sentamu kwa ajili ya msimu ujao. Sentamu alikuwa katika mipango ya Azam msimu ujao, ingawa inaelezwa Kocha Mkuu, Youssouph Dabo amekuwa na imani kubwa na mshambuliaji mpya raia wa Colombia, Jhonier Blanco aliyefunga mabao 13, msimu uliopita akiwa na Fortaleza CEIF.  KLABU…

Read More

Samatta afunguka kinachomstaafisha Stars | Mwanaspoti

SIKU chache baada ya Mwanaspoti kuripoti nahodha wa Taifa Stars, Mbwana Samatta kuomba kustaafu mwenyewe ameibuka na kutaja sababu zilizomfanya afanye hivyo kuwa ni umri. Akizungumza na Mwanaspoti, Samatta amesema ni kweli ameliandikia barua Shirikisho la Soka Tanzania(TFF) kuomba kupumzika kuitumikia timu hiyo kutokana na kuona umri wake umeenda. “Ni kweli nimefanya hivyo umri unaenda…

Read More