Siku 14 nzito za Simba

KUNA kipindi kizito cha takribani siku 14 walichonacho Simba SC chini ya Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ambaye pia ni Rais wa Heshima wa klabu hiyo, Mohamed Dewji ‘Mo’. Simba SC ambayo hivi karibuni ilipata mtikisiko kidogo wa baadhi ya viongozi wake wa Bodi ya Wakurugenzi upande wa Mwekezaji kujiuzulu wote akiwemo Salim Abdallah ‘Tyr…

Read More

Huu hapa umuhimu wa kufanya mazoezi

JUMANNE jioni kulikuwa na mjadala wakuvutia kwenye jukwaa la Jamii forum kuhusu umuhimu wa mazoezi ili kukabiliana na magonjwa yasiyoambukiza. Chini ya mwamvuli wa Wizara ya Afya, mtu ni Afya, mambo lukuki yalizungumzwa na wataalam wa afya. Mwanaspoti Dokta inaungana na wataalamu hao kwa kutoa ufahamu wa umuhimu wa mazoezi. Mazoezi ni njia rahisi na…

Read More

Huu hapa umuhimu qwa kufanya mazoezi

JUMANNE jioni kulikuwa na mjadala wakuvutia kwenye jukwaa la Jamii forum kuhusu umuhimu wa mazoezi ili kukabiliana na magonjwa yasiyoambukiza. Chini ya mwamvuli wa Wizara ya Afya, mtu ni Afya, mambo lukuki yalizungumzwa na wataalam wa afya. Mwanaspoti Dokta inaungana na wataalamu hao kwa kutoa ufahamu wa umuhimu wa mazoezi. Mazoezi ni njia rahisi na…

Read More

Donesia Minja: Mkongwe anayekimbiza WPL

UKITAJA wakongwe 10 wanaokiwasha katika Ligi Kuu ya Wanawake (WPL) basi huwezi kuacha kutaja jina la kiungo mkabaji Donisia Minja ambaye amekuwa bora tangu ligi hiyo ianzishwe mwaka 2017. Kiungo huyo tangu ajiunge na JKT Queens msimu wa 2017/18 amekuwa chaguo la kwanza la makocha wanaofundisha timu hiyo na kuweka ufalme kwenye eneo hilo. Mwanaspoti…

Read More

JKU yashikilia ubingwa wa Zanzibar mkono mmoja

USHINDI wa bao 1-0 iliyopata JKU mbele la waliokuwa watetezi wa Ligi Kuu Zanzibar (ZPL), KMKM imewafanya vinara hao wa ligi hiyo kulishikilia taji kwa mkono mmoja na hii ni baada ya Zimamoto kulazimishwa sare ya 1-1 na Mlandege mechi zilizopigwa jana mjini Unguja. JKU iliyotemeshwa taji la michuano ya Kombe la Shirikisho (FA) kutokana…

Read More

Wilder, Fury waporomoka WBC | Mwanaspoti

BONDIA wa ngumi za uzito duniani (Heavy Weight), Deontay Wilder ameporomoka kwenye viwango vya ubora kwenye mchezo huo, huku Tyson Fury akimpisha Oleksandr Usyk namba moja. Wilder ambaye anasubiriwa kutoa kauli juu ya hatma yake kwenye mchezo huo baada ya kuchapwa kwa Knockout ‘KO’ mara mbili mfululizo na mambondia Joseph Parker na Zhilei Zhang, ametupwa…

Read More