Miaka 130 ya Olimpiki Morogoro

Wanamichezo mbalimbali nchini watashiriki mbio za kilomita 2.5 na kilomita 5 zitakazoanzia kwenye uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro kuadhimisha miaka 130 ya Olimpiki. Kamati ya Olimpiki ya Kimataifa (IOC) ilianzishwa mwaka 1894 na mwaka huu nchi mwanachama zinaadhimisha miaka 130, ambapo Tanzania katika siku hiyoya Olimpiki Jumapili ijayo itaadhimishwa kwa mbio hizo. Akizungumza wakati wa…

Read More

UBISHI WA MZEE WA KALIUWA: Usiingilie ugomvi wa Mo na Simba!

HUU ni ushauri ambao mara nyingi hutolewa kwa wapenzi. Tunaambiwa tusiingilie mahusiano ya watu. Tusiwe washauri sana kwenye ndoa ya Mwekazaji Mohammed Dewji ‘Mo’na Simba. Wanapendana, wamedumu miaka mingi, hivyo wanajuana mapungufu yao. Wapambe tushike jembe tukalime. Chanzo cha vuta nikuvute Simba hivi karibuni, kwa kiasi kikubwa ni mwenendo mbaya wa timu. Kushindwa kutamba ndani…

Read More

Celtics bingwa, rekodi tamu NBA

Boston Celtics ya Ukanda wa Mashariki imetwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya NBA, baada ya ushindi wa vikapu 106-88 dhidi ya Dallas Mavericks ya Magharibi, juzi Jumanne. Ushindi huo umefanya matokeo ya jumla kuwa 4-1 baada ya mechi tano za katika fainali hiyo, tofauti na wengi walioamini itafikisha mechi saba kupata bingwa. Awali Jayson Tatum…

Read More

Chama alivyotibua dili la  Farid Simba

MISIMU mitatu ya kiraka, Farid Mussa ndani ya Yanga ameitaja kuwa ni ya mafanikio kwake  baada ya kutwaa mataji matatu ya Ligi Kuu Bara, na mataji mawili ya ngao ya jamii huku akicheza hatua ya fainali Kombe la Shirikisho Afrika. Kiraka huyo amefunguka mambo mbalimbali akizungumza na Mwanaspoti, huku akitaja mchezo wa fainali Kombe la…

Read More

Dida ashangazwa na bao la Mudathir

KIPA aliyemaliza mkataba wake na Namungo FC, Deogratius Munishi ‘Dida’ amesema miongoni mwa mabao bora ya  msimu ulioisha, limo alilofungwa na kiungo mshambuliaji wa Yanga, Mudathir Yahya. Dida alilisimulia bao la Mudathir, namna lilivyomshangaza akiipa Yanga pointi tatu, mechi iliyopigwa Uwanja wa Azam Complex uliopo Chamazi jijini Dar es Salaam (Septemba 20, 2023), ambalo hakulitegemea,…

Read More

Magori awashusha presha mashabiki Simba, ‘aanza kazi’

KAZI imeanza na sasa heshima ya Simba inakwenda kurejea, ndiyo maneno ya mjumbe mpya wa Bodi ya Wakurugenzi wa klabu hiyo,Crescentius Magori baada ya kuteuliwa na mwenyekiti wa bodi, Mohammed Dewji ‘Mo’. Hajataka kupoteza muda, ameanza majukumu yake. Mo Dewji alifanya uteuzi huo juzi Jumapili ambapo aliwachagua wajumbe ambao ni Mohamed Nassor, Salim Abdallah ‘Try…

Read More

Yanga hakuna kulala,Gamondi awapa mastaa programu maalumu

KOCHA mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi, hana mchezo mchezo, kila mchezaji atakaporejea kutoka mapumziko atalazimika awe katika ufiti unaotakiwa, kutokana na programu alizowapa. Gamondi amegawa programu, kulingana na kile walichokifanya wachezaji msimu ulioisha, wapo ambao watachukua muda mrefu katika mapumziko na wale ambao watatakiwa wafanye kazi ya ziada kujiweka fiti, ili msimu mpya utakapoanza wawe…

Read More