Zuberi Cup yaiteka Moshi | Mwanaspoti

MASHINDANO ya soka ya Kombe la Zuberi Cup yameanza kuchanganya mjini hapa na kuwa gumzo katika vijiweni na  mitaani mbalimbali. Sio watoto,vijana wala wazee wa mitaa ya mji wa Moshi na viunga vyake ikiwemo Bomambuzi,Kaloleni,karanga, kiboriloni,Longuo,Majengo,Njoro,Pasua mpaka Soweto kote huko gumzo ni moja tu,uhondo wa Zuberi Cup msimu wa 2024. Mashindano hayo yanayoendelea  mjini hapa…

Read More

HISIA ZANGU: Kwa Fredy Michael utachukua namba au unachokiona?

FREDY Michael, rafiki yangu Ahmed Ally wakati akijitamba na vifaa ambavyo vilitua Januari alimpachika jina la ‘Fungafunga’. Wakati huo tulikuwa hatujamuona uwanjani. Jina lilitokea mazoezini. Kama sio mazoezini basi alikuwa amelichukua kutokana na mabao aliyofunga Zambia. Baada ya hapo Fredy ametuchanganya akili. Kila tulipomuona uwanjani alituchanganya akili. Mpaka nyakati hizi nikiwasikiliza Wanasimba wenyewe wanajikuta wamechanganyikiwa…

Read More

SIO ZENGWE: VAR si kipaumbele cha nchi kwa sasa

KLABU 20 zinazoshiriki Ligi Kuu ya England (EPL) zimekubaliana kuendelea na matumizi ya teknolojia ya mwamuzi msaidizi wa video (V.A.R) baada ya kupiga kura katika Mkutano Mkuu wa mwaka kuamua kuhusu hoja ya Wolves iliyotaka teknolojia hiyo iondolewe msimu ujao wa 2024/25. Wolves iliwasilisha takriban hoja tisa ambazo ilisema zinaharibu mtiririko wa mchezo, kuvuruga furaha…

Read More

Nondo za Cecafa Kagame Cup 2024

Shirikisho la Vyama vya Mpira wa Miguu Afrika Mashariki na Kati (CECAFA), limetangaza kwamba mashindano ya Cecafa Kagame Cup mwaka 2024 yatafanyika Tanzania Bara na Zanzibar kuanzia Julai 6 hadi 22 mwaka huu. Katika taarifa yao ya awali iliyotolewa na Mkurugenzi Mtendaji wa CECAFA, John Auko Gecheo, ilionyesha timu shiriki zitakuwa 16 huku tatu zikiwa…

Read More

Simba yamgeukia kiungo Mzambia, awagawa mabosi

BAADA ya kumalizana na winga Joshua Mutale (22), mabosi wa Simba wamedaiwa hawajamaliza kazi huko Zambia baada ya kuhamia kwa kiungo mkabaji wa Zesco United, Kelivin Kapumbu (28) kwa nia ya kumvuta Msimbazi kukiwasha kwa msimu ujao wa mashindano ya ndani na yale ya kimataifa. Hata hivyo, taarifa hizo kutoka ndani ya Simba zinasema kuwa…

Read More

Mkude ni mfalme wa makombe

Mwishoni mwa msimu uliopita Yanga ilifanikiwa kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Bara na Kombe la FA, huku kiungo wa timu hiyo Jonas Mkude akiendelea kuweka rekodi ya makombe kwenye soka la Tanzania. Mkude ambaye marafiki zake wanapenda kumuita Nungunungu. Huyu  ni kama damu yake ina vinasaba ‘DNA’ vya makombe kutokana na idadi ambayo ameshayatwaa kuanzia…

Read More

Yanga yamficha winga mpya Avic

YANGA bado inapiga hesabu za kusajili winga wa maana na mezani kwao kuna mawinga wawili akiwemo Philipe Kunzumbi na Basiala Agee, lakini mmoja kati ya hao wawili akawahishwa kambi ya klabu hiyo ya Jangwani iliyopo Avic Town fasta akiwekewa mtego wa maana. Yanga ilimfungia safari Agee baada ya Rais wa klabu hiyo, Injinia Hersi Said…

Read More

Simba yamgeukia kiungo Mzambia | Mwanaspoti

BAADA ya kumalizana na winga Joshua Mutale (22), mabosi wa Simba wamedaiwa hawajamaliza kazi huko Zambia baada ya kuhamia kwa kiungo mkabaji wa Zesco United, Kelivin Kapumbu (28) kwa nia ya kumvuta Msimbazi kukiwasha kwa msimu ujao wa mashindano ya ndani na yale ya kimataifa. Hata hivyo, taarifa hizo kutoka ndani ya Simba zinasema kuwa…

Read More