JIWE LA SIKU: Ukishangaa ya Simba utayaona ya Tshabalala

SIMBA kwa sasa ipo kwenye presha. Moja haikai, mbili haikai lakini kazi inaendelea. Ni kipindi ambacho kila kitu ndani ya klabu hakina jibu la kueleweka kuanzia kwenye uongozi wa juu kabisa wa bodi, benchi la ufundi, wachezaji hadi wanachama na mashabiki. Ni kipindi cha mpito. Pamoja na mambo yote yanayoendelea, kikubwa zaidi wanachotaka kujua mashabiki…

Read More

Abdallah Shaibu ‘Ninja’ agoma kurudi DR Congo

JAPOKUWA dirisha la usajili halijafunguliwa rasmi, lakini timu zinaendelea kuimarisha vikosi vyao kwa ajili ya msimu ujao, hivyo haitakuwa ajabu kusikia mchezaji anatoka sehemu moja kwenda nyingine. Hivi karibuni, Mwanaspoti limefanya mahojiano na beki Abdallah Shaibu ‘Ninja’, baada ya kuvunja mkataba na iliyokuwa klabu yake ya Lubumbashi Sport ya DR Congo na huenda msimu ujao…

Read More

MO awarudisha watu wa mpira Bodi Simba

Mwekezaji wa Simba Mohamed Dewji ‘MO’, amefanya uteuzi wa wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa upande anaousimamia, akiwarudisha watu wa mpira ndani ya klabu hiyo. Akitangaza uamuzi huo usiku huu, MO amesema kwa mujibu wa mamlaka aliyopewa katika makubaliano na Simba ibara ya 40, amewateua Salim Abdallah ‘Try again’, Mohamed Nassoro, Crescentius Magori, Hussein Kita,…

Read More

Nyota Simba aangua kilio uwanjani

NAHODHA wa timu ya vijana ya Simba chini ya miaka 17, Abdul Salum ‘Camavinga’ ameangua kilio  baada ya timu yake kupoteza mchezo wa kwanza katika ligi hiyo dhidi ya Yanga kwa mabao 2-1 kwenye Uwanja wa Azam Complex, Chamazi. Camavinga ambaye alionyesha kiwango bora katika mchezo huo, ilibidi abembelezwe na wachezaji wenzake pamoja na benchi…

Read More

Ukata waitoa Mbeya Taifa Cup

WAKATI Ligi ya mchezo wa kikapu Taifa ‘Taifa Cup’ ikitarajia kuanza Juni 19, timu ya Wanaume mkoani Mbeya imejitoa kushiriki michuano hiyo ikidai kukabiliwa na ukata. Akizungumza na Mwanasspoti Makamu wa Chama cha mchezo humo Mkoa wa Mbeya (MBA), Joseph Fyondi alikiri timu hiyo kujitoa kwenye mashindano hayo akieleza kuwa ukata ndio sababu. Alisema licha…

Read More

Balozi Ruhinda kuzikwa kesho Ununio, kuagwa KKKT Masaki

Dar es Salaam. Mmoja wa waasisi wa Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL), Balozi Ferdinand Ruhinda (86) aliyefariki dunia juzi Juni 14, 2024 jijini Dar es Salaam, anatarajiwa kuzikwa kesho Jumatatu katika makaburi ya Kondo yaliyopo Ununio. Akizungumza leo Jumapili, Juni 16, 2024 Msemaji wa familia, ambaye ni mdogo wa marehemu, Edward Ruhinda amesema kabla…

Read More

Mabosi wapya soka la wanawake waahidi neema

CHAMA cha soka la Wanawake Mkoa wa Mbeya (MWFA) kimeahidi kusimamia vyema soka hilo kuhakikisha kinaibua na kuendeleza vipaji vya wanawake mkoani humo na kufikia kiwango cha ushindani. Mbeya licha ya kusifika kwa soka, lakini haijawahi kuwa na timu ya Ligi Kuu kwa Wanawake, huku daraja la Kwanza napo ikiwa ni kusuasua kwa timu zake…

Read More

Tabora United yabaki Ligi Kuu, yaizima Biashara kibabe

KAZI imeisha! Baada ya Tabora United jioni ya leo Jumapili kufanya kweli ikiwa nyumbani kwenye Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi, mjini Tabora kwa kuinyoosha Biashara United kwa mabao 2-0 na kujihakikisha kusalia katika Ligi Kuu Bara kwa msimu ujao. Tabora ilipata ushindi huo unaoifanya iizuie Biashara Utd kurejea Ligi Kuu katika pambano la marudiano ya…

Read More

Prisons Queens waipania WRCL | Mwanaspoti

LIGI ya Mabingwa wa Mikoa kwa Soka la Wanawake (WRCL) inatrajiwa kuanza Jumatano jijini Dodoma, huku Tanzania Prisons Queens imesema wapo tayari kupambania nafasi ya kupanda daraja la kwanza. Ligi hiyo inashirikisha timu 19 kutoka baadhi ya Mikoa, ambapo timu mbili za juu zitapanda Daraja la Kwanza kwa ajili ya msimu ujao kutafuta nafasi ya…

Read More

Mdhamini aitoa hofu Tanzania Prisons

MKURUGENZI wa kampuni ya Bens Agro Star, Patrick Mwalunenge amewatoa hofu Tanzania Prisons kuwa ahadi alizotoa kwenye mkataba wa kuidhamini timu hiyo atazitekeleza na kuongeza mkataba mpya msimu ujao. Oktoba 29 mwaka jana, Prisons ilisaini mkataba wa udhamini wa kampuni hiyo kwa thamani ya Sh 150 milioni, ambapo Mwalunenge akiahidi bonasi na ofa mbalimbali. Bonasi…

Read More