RC Chalamila ampeleka mkewe Simba!

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, amewaachana mbavu watu kwa vicheko baada ya kuigawa familia yake pande mbili za Yanga na Simba. RC Chalamila katika kuliweka wazi jambo hilo amesema kwamba kuanzia leo mkewe atakuwa anaishabikia Simba wakati yeye akiendelea kusalia Yanga ambapo kauli yake hiyo iliwafanya watu kuangua kicheko. Hayo yamejiri…

Read More

Mboneke gumzo Sokoine,  Mgunda ampa tano Mwamnyeto

ACHANA na matokeo ya ushindi wa mabao 2-1 iliyopata timu Mwamnyeto dhidi ya Mbeya All Stars,  burudani ilikuwa kwa mchekeshaji, Oscar Mwanyanje  ‘Mc Mboneke’ aliyeteka mashabiki kwenye Uwanja wa Sokoine, jijini hapa, jioni ya leo Jumamosi, licha ya kwamba aligusa mpira mara tu uwanjani. MC Mboneke aliingia uwanjani hapo dakika ya 90 akichukua nafasi ya…

Read More

Yanga yamuita Mpole mezani, mchongo mzima uko hivi!

MABOSI wa Yanga wakiendelea kumfuatilia kwa ukaribu Phillipe Kinzumbi wa TP Mazembe ya DR Congo aliyedaiwa kusaini kwa mabingwa wa Morocco, Raja Casablanca, lakini wanapiga hesabu kali mpya katika kusuka safu ya ushambuliaji ikidaiwa imeanza mazungumzo kumbeba Mfungaji Bora wa zamani wa Ligi Kuu Bara, George Mpole. Ishu ya Kinzumbi bado ni tetesi tu, kwani…

Read More

Yanga kuweka kambi Ulaya | Mwanaspoti

IMEPITA misimu mitatu mfululizo Yanga ikijichimbia kambi ya maandalizi ya mpya mpya (pre season) ikiwa Avic Town, Kigamboni jijini Dar es Salaam, lakini safari hii huenda mambo yakabadilika baada ya klabu hiyo kupata mwaliko wa kwenda Ulaya kuweka kambi kujiandaa na msimu mpya. Klabu hiyo ambayo leo usiku inazindua kitabu kiitwacho Klabu Yetu, Historia Yetu, imepata…

Read More

Senzo ampa tano Mtine Yanga

ALIYEKUWA Ofisa Mtendaji Mkuu wa Yanga, Senzo Mbatha raia wa Afrika Kusini amesema mrithi wake Andre Mtine anastahili pongezi nyingi kutokana na mafanikio ya timu hiyo. Senzo aliyekuwa CEO wa Yanga kwa kipindi cha msimu mmoja wa 2021-2022, amesema Mtine raia wa Zambia amekuwa kiongozi mwenye maono makubwa ya wakati ujao, jambo ambalo linaleta matunda…

Read More

MTU WA M PIRA: Simba inataka kurudi zama za mawe!

KUNA mambo mengi yanaendelea ndani ya Simba. Ilianza na wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi kujiuzulu. Baadaye akaja Mwenyekiti Salim Abdallah Muhene ‘Try Again’. Ni historia. Ni muda mrefu hatujaona viongozi wa Klabu hizi kubwa nchini wakiwajibika baada ya mambo kwenda ndivyo sivyo. Kina Try Again na wenzake wanapaswa kupongezwa. Baada ya hapo ikaja taarifa ya…

Read More

Tangulia Chifu Ferdinand Kamuntu Ruhinda

TAIFA liko msibani. Usiku wa juzi Ijumaa, saa 3:00 usiku alifariki dunia mmoja wa Watanzania walioweka alama ya pekee katika historia ya taifa letu, Balozi Chifu Ferdinand Kamuntu Ruhinda (1938-39). Balozi Ruhinda anayetoka katika familia ya uchifu ni Mwandishi wa Habari kitaaluma na mwanadiplomasia. Alipata elimu yake ya uandishi wa habari katika Chuo Kikuu cha…

Read More

MTU WA M PIRA: | Mwanaspoti

KUNA mambo mengi yanaendelea ndani ya Simba. Ilianza na wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi kujiuzulu. Baadaye akaja Mwenyekiti Salim Abdallah Muhene ‘Try Again’. Ni historia. Ni muda mrefu hatujaona viongozi wa Klabu hizi kubwa nchini wakiwajibika baada ya mambo kwenda ndivyo sivyo. Kina Try Again na wenzake wanapaswa kupongezwa. Baada ya hapo ikaja taarifa ya…

Read More

Yanga yamuita Mpole mezani | Mwanaspoti

MABOSI wa Yanga wakiendelea kumfuatilia kwa ukaribu Phillipe Kinzumbi wa TP Mazembe ya DR Congo aliyedaiwa kusaini kwa mabingwa wa Morocco, Raja Casablanca, lakini wanapiga hesabu kali mpya katika kusuka safu ya ushambuliaji ikidaiwa imeanza mazungumzo kumbeba Mfungaji Bora wa zamani wa Ligi Kuu Bara, George Mpole. Ishu ya Kinzumbi bado ni tetesi tu, kwani…

Read More

Mbonekae gumzo Sokoine,  Mgunda ampa tano Mwamnyeto

ACHANA na matokeo ya ushindi wa mabao 2-1 iliyopata timu Mwamnyeto dhidi ya Mbeya All Stars,  burudani ilikuwa kwa mchekeshaji, Oscar Mwanyanje  ‘Mc Mboneke’ aliyeteka mashabiki kwenye Uwanja wa Sokoine, jijini hapa, jioni ya leo Jumamosi, licha ya kwamba aligusa mpira mara tu uwanjani. MC Mboneke aliingia uwanjani hapo dakika ya 90 akichukua nafasi ya…

Read More