
Kocha wa zamani Simba, atua Pamba Jiji
KOCHA wa zamani wa klabu za Simba na Tabora United, Goran Kopunovic ametambulishwa rasmi kuwa Kocha Mkuu wa timu iliyopanda Ligi Kuu Bara kwa msimu ujao, Pamba Jiji akipewa mkataba wa mwaka mmoja. Akizungumza na Mwanaspoti, Meneja wa Pamba, Ezekia Ntibikeha amesema timu hiyo imempa Goran mkataba wa mmoja wenye kipengele kumuongeza iwapo atafanya kweli…