AKILI ZA KIJIWENI: Ujasiri wa Ouma Coastal uhamie CAF

NIMEPATA stori moja ya kusisimua inayomhusu kocha wa Coastal Union ya Tanga, David Ouma ambaye ameiongoza timu hiyo kumaliza katika nafasi ya nne kwenye msimamo wa ligi. Wakati alipojiunga nayo kuchukua mikoba ya Mwinyi Zahera aliyekuwa ametimuliwa, uongozi wa Coastal Union ulimpa Ouma jukumu la kuhakikisha timu hiyo inasalia Ligi Kuu. Lakini kwa mshangao kocha…

Read More

Yanga yashtuka usajili mpya, yajitafakari

YANGA wameamua kurudi nyuma kwanza kuangalia kuna ulazima gani wa kusajili kiungo mkabaji mzawa ikiwa kuna uwezekano wa kuendelea kubaki na Jonas Mkude na Zawadi Mauya ambao watashirikiana vema na Khalid Aucho raia wa Uganda. Wakakubaliana na wazo la Kocha Mkuu, Miguel Gamondi kwamba wanaweza kusubiri dirisha kubwa lipite na kutumia kipindi hiki kutafuta mtu…

Read More

Dk Mwigulu atamani nembo ya Yanga kwenye noti ya Sh100

Waziri wa Fedha, Dk Mwigulu Nchemba amesema kwa mafanikio ambayo timu ya Yanga imeyapata anatamani kumshauri Gavana wa Benki Kuu (BoT) kuweka nembo ya klabu hiyo kama kungekuwa na noti ya Sh100 kuyaenzi mafanikio hayo. Dk Mwigulu ametumia sehemu ya hotuba yake ya uwasilishaji wa Bajeti ya Serikali 2024/25 ya Sh49.3 trilioni jana Alhamisi, Juni…

Read More

Aucho aanika mipango yake 2024/25

KIUNGO mkabaji wa Yanga, Khalid Aucho amesema anautumia muda wake wa mapumziko kuhakikisha anarejea kwenye utimamu wa mwili, ili msimu ujao awe fiti na kufanya makubwa Ligi Kuu Bara. Msimu ulioisha Aucho aliumia goti  mechi ya ugenini ya Ligi ya Mabingwa dhidi ya Al Ahly ya Misri, ambapo alifanyiwa upasuaji mdogo wa goti, kitu kulichomfanya…

Read More

Aussems kushusha vyuma Singida Black Stars

WAKATI Singida Black Stars ikiendelea kujiimarisha kwa ajili ya msimu ujao, uongozi wa timu hiyo umesema umemuachia jukumu Kocha Mkuu Patrick Aussems kuamua nani aingie au kutoka kuhakikisha anafikia malengo ya nafasi nne za juu. Timu hiyo ambayo awali ilifahamika Ihefu ikianzia makao yake Mbarali mkoani Mbeya kabla ya kuhamia mkoani Singida na tayari imebadili…

Read More

TETESI ZA USAJILI BONGO: Simba yalonga na Mohamed Camara

MABOSI wa Simba wameanza mazungumzo ya kumnasa kiungo mkabaji raia wa Guinea, Mohamed Damaro Camara. Damaro anayeichezea Hafia ya Guinea aliyojiunga nayo mwaka 2020 akitokea Milo FC, ameonyesha nia ya kujiunga na Simba jambo linalorahisisha dili la nyota (22) anayecheza pia beki wa kati. KAIMU Kocha Mkuu wa Simba, Juma Mgunda inadaiwa yupo mbioni kurejea…

Read More

Matukio haya yanaishi Euro | Mwanaspoti

MUNICH, UJERUMANI: MICHUANO ya Euro mwaka huu inaanza kesho, ambapo itapigwa Ujerumani, huku jumla ya timu 24 zikitarajiwa kushiriki. Hii inakuwa ni mara ya 17 kwa michuano hii kufanyika huku Hispania na mwenyeji Ujerumani yakiwa ndio mataifa yaliyoshinda mara nyingi zaidi (3), tangu mwaka 1958. Mara zote ambazo michuano hii inapigwa huwa kuna baadhi ya…

Read More

VAR kutumika Ligi Kuu Bara

Waziri wa Fedha, Dk Mwigulu Nchemba amesema kuanzia msimu ujao wa Ligi Kuu Bara, viwanja vitakavyotumika kwa michuano hiyo vitafungwa teknolojia inayomsaidia mwamuzi kufanya marejeo ya picha (Video Assistance Referee-VAR) kwa ajili ya kuhakikisha matokeo yanayopatikana yanakuwa ya haki. Amesema katika kuhakikisha hilo linafanikiwa, Serikali inakusudia kuwasilisha pendekezo la kuondoa kodi kwenye vifaa vinavyotumika kwenye…

Read More

AKILI ZA KIJIWENI: Simba, Mo Dewji wayamalize kiungwana

SIMBA na Mohammed Dewji hakuna anayepaswa kumnyooshea kidole mwenzake katika hili linaloendelea hivyo jambo la msingi lazima wakae chini wayamalize. Kila upande umefanya makosa ambayo kwa kiasi kikubwa yamechangia kuvuruga hali ya mambo ndani ya klabu hiyo leo hii hadi kufikia hatua ya watu kusutana hadharani. Klabu kwa upande wake imeshindwa kukamilisha mambo muhimu yanayohitajika…

Read More