
Gamondi aona ugumu kwa Rayon CAFCC
SAA chache tangu kufanyika kwa droo ya mechi za raundi za awali za michuano ya kimataifa kwa ngazi ya klabu ikiwamo Ligi ya Mabingwa na Kombe la Shirikisho Afrika kwa msimu wa 2025-2026, kocha mkuu wa Singida Black Stars, Miguel Gamondi amekiri kuna ugumu kuwakabili Rayon Sports. Singida itavaana na Rayon ya Rwanda katika mechi…