Gamondi aona ugumu kwa Rayon CAFCC

SAA chache tangu kufanyika kwa droo ya mechi za raundi za awali za michuano ya kimataifa kwa ngazi ya klabu ikiwamo Ligi ya Mabingwa na Kombe la Shirikisho Afrika kwa msimu wa 2025-2026, kocha mkuu wa Singida Black Stars, Miguel Gamondi amekiri kuna ugumu kuwakabili Rayon Sports. Singida itavaana na Rayon ya Rwanda katika mechi…

Read More

Mkenya Pamba Jiji awashtukia wachezaji

KOCHA Mkuu wa Pamba Jiji, Francis Baraza amewashtukia wachezaji wa timu hiyo akisema namba yao imekuwa ndogo katika wiki ya kwanza ya maandalizi ya msimu ujao wa mashindano, huku akiweka wazi hiyo inatokana na wengi wao kukimbia mazoezi magumu. Pamba Jiji imeingia wiki ya pili ya maandalizi tangu imeanza kujifua, huku Baraza akiliambia Mwanaspoti, hajaridhishwa…

Read More

CAF yasitisha uuzaji tiketi za CHAN Kenya

KWA mujibu wa taarifa kutoka Kenya, Shirikisho la Soka Afrika (CAF) limesitisha uuzaji wa tiketi kwa mechi zote zijazo zitakazochezwa kwenye Uwanja wa Moi International Sports Centre, Kasarani, ikiwamo ya Jumapili ijayo ya Harambee Stars dhidi ya Zambia. Sababu ya CAF kusitisha uuzaji wa tiketi ni kutokana na dosari kubwa za usalama zilizotokea kwenye mchezo…

Read More

McCarthy: Tuna hamu kubwa ya kupambana na Taifa Stars CHAN

KOCHA wa Harambee Stars, Benny McCarthy ameitaja Tanzania kuwa mojawapo ya timu zinazoshiriki dimba la CHAN 2024 ambazo zina hamu ya kuifunga Kenya. McCarthy alinukuliwa akisema: “Kazi kubwa yetu ya kumaliza mechi za makundi inayofuata ni dhidi ya Zambia. Naweza kusema kwa kujiamini kuwa timu zote kwenye michuano hii zinafanya juhudi kubwa kuifunga Kenya miongoni mwa…

Read More

Sababu Mzize kutua Esperance | Mwanaspoti

BAADA ya danadana za muda mrefu juu ya dili la mshambuliaji wa Yanga, Clement Mzize kuuzwa nje ya nchini, hatimaye mabosi wa klabu hiyo wameridhia kutua Esperance ya Tunisia na kuelezwa sababu ya kuchomolewa kwa ofa ya klabu ya Umm Salal ya Qatar. Awali mchezaji huyo alihusishwa na klabu kutoka Ubelgiji, Misri, Afrika Kusini na…

Read More

Beki Mghana kumchomoa mtu Yanga, ishu nzima ipo hivi!

KUNA pishi linapikwa pale Jangwani asikuambie mtu! Unakumbuka ile stori ya beki Mkongomani anayekipiga Sauzi ambaye Yanga inamfukuzia kuja kutimba pale kati na kina Dickson Job pamoja na Ibrahim Hamad ‘Bacca’? Basi, chama hilo unaambiwa liko katika mipango mingine kabambe ya kusika lile aeneo la ulinzi ambalo msimu uliopita kuna mechi moja lililitia aibu baada…

Read More

Kelvin John anakiwasha Denmark | Mwanaspoti

MSHAMBULIAJI wa Kitanzania, Kelvin John, anazidi kung’ara baada ya juzi kufunga mabao mawili na kuipatia ushindi timu yake AaB Fodbold ya Denmark. Msimu uliopita, timu hiyo ilimaliza mkiani mwa msimamo wa Ligi Kuu Denmark na kushushwa daraja, hivyo sasa inashiriki Ligi Daraja la Kwanza. Ligi hiyo inaendelea ikiwa tayari zimechezwa mechi nne, na mabao aliyofunga…

Read More

Kanoute asaini miwili Azam FC

ALIYEWAHI kuwa kiungo wa Simba, Sadio Kanoute muda wowote kuanzia sasa atatambulishwa kuitumikia Azam FC baada ya kusaini mkataba wa miaka miwili. Kiungo huyo anajiunga na matajiri wa Dar es Salaam akiwa mchezaji huru baada ya kuachana na JS Kabylie ya Algeria ambayo aliitumikia msimu uliopita. Kanoute tayari yupo nchini na ameshafanyiwa vipimo vya afya…

Read More

Clara Luvanga awa gumzo Hispania

MSHAMBULIAJI wa Kitanzania, Clara Luvanga ameendelea kukiwasha akiwa na Al Nassr ya Saudia ambayo imeweka kambi huko Hispania kwa maandalizi ya msimu mpya wa Ligi Kuu ya Wanawake. Huu ni msimu wa tatu wa Clara kuichezea timu hiyo na amekuwa mchezaji tegemeo kikosini akiipa ubingwa mara mbili mfululizo akifunga mabao 32. Sasa, wakati timu hiyo…

Read More