Vita ya Aziz KI, Fei Toto yahamia Ligi ya wanawake

ACHANA na ubingwa Ligi Kuu ya Wanawake (WPL) uliobebwa na Simba Queens, unaambiwa ligi hiyo haijaisha kwenye vita ya kimya kimya ya kuwania kiatu cha Mfungaji Bora wa msimu huu. Kama ilivyokuwa Ligi Kuu Bara kwa Mfungaji Bora kupatikana katikae mechi za mwisho, ndivyo ilivyo kwa WPL ambayo mechi mbili zilizosalia kabla ya kufungia msimu zitaamua…

Read More

NDO HIVYO: Usajili unavyoneemesha, kutafuna wachezaji

TUNASHUHUDIA maisha ya wanasoka yakianza kubadilika mara wanaposaini mikataba ya kuchezea timu kubwa za Ligi Kuu za nchi mbalimbali kama ya Tanzania Bara, ambako timu vigogo  ni Azam, Simba na Yanga. Mchezaji aliyekuwa na maisha ya kawaida huanza kuonekana ananunua gari dogo na baadaye kununua kiwanja na mwaka mwingine anaonekana anaanza kujenga. Miaka yake mitano…

Read More

Mangungu, Mo Dewji uso kwa macho Simba

WAKATI wapenzi na mashabiki wa Simba wakikomaa wakimtaka, Mwenyekiti wa klabu hiyo, Murtaza Mangungu kuachia ngazi kama ilivyotokea kwa wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi akiwamo aliyekuwa Mwenyekiti, Salim Abdallah ‘Try Again, mwenyewe amevunja ukimya akisema hajiuzulu ng’o. Mangungu amesema wanasubiri uteuzi wa wajumbe wa bodi ya wakurugenzi wa upande wa mwekezaji ndipo wachague mwenyekiti wa…

Read More

TETESI ZA USAJILI BONGO: Thabang Sesinyi kupishana na Okrah

COASTAL Union imeanza mazungumzo ya kumsajili winga wa Jwaneng Galaxy ya Botswana, Thabang Sesinyi ili kuongeza nguvu msimu ujao hasa kwa Kombe la Shirikisho Afrika. Sesinyi ni pendekezo ya Kocha Mkuu, David Ouma anayemhitaji mchezaji anayemudu wingi zote mbili ili aweze kuwasaidia CAF. BECHEM United ya Ghana imepanga kumrejesha nyumbani winga wa Yanga, Augustine Okrah…

Read More

Yanga kwanza, Simba yamgeukia Dube

SIMBA imemuwekea Prince Dube Sh.120Mil mezani ili amwage wino wakamalizane na Azam, akawachomolea waziwazi. Mwanaspoti limeambiwa kuwa Dube amewaambia tayari ana makubaliano na klabu moja ya Tanzania ambayo anaipa kipaumbele kikubwa na hata wasimamizi wake wamekomalia kwenye hilo. Yanga inatajwa kuwa nyuma ya sakata la Dube kwani mara kadhaa ameonekana akiwa na watu wa karibu…

Read More

Mzambia alia na kina Bacca

KOCHA wa Zesco United ya Zambia,  George Lwandamina ameshangaa kuona mabeki wawili wa Taifa Stars na Yanga nahodha Bakari Mwamnyeto na Ibrahim Hamad ‘Bacca’, wakiendelea kucheza soka la ndani kutokana na ubora walionao, huku akifichua kilichomfanya aondoke uwanjani wakati wa mechi ya Zambia na Tanzania. Akizungumza kwa njia ya simu kutoka Ndola, Zambia mara baada…

Read More

Promota pambano la Mwakinyo afungiwa

Baraza la Michezo la Taifa (BMT) limemfungia promota Shomari Kimbau kujihusisha na shughuli za mchezo wa ngumi kwa kipindi cha miaka miwili. Mbali na Kimbau, BMT pia imeifungia Taasisi ya Ukuzaji wa Mchezo wa Ngumi iitwayo Promosheni Golden Boy Boxing yenye usajili namba 72 kutojihusisha na mchezo huo kutokana na kushindwa kufuata utaratibu wa Kamisheni…

Read More

SPOTI DOKTA: Stars walikuwa timamu

USIKU wa Jumanne ulikuwa mzuri kwa timu ya taifa, Taifa Stars mara baada ya kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya timu ya taifa ya Zambia ndani ya dimba la Levy Mwanawasa katika jiji la Ndola. Kwa ushindi huo wa bao la mapema dakika ya 5 lililofungwa na Waziri Junior Shentembo unaiweka Taifa Stars…

Read More

KIJIWE CHA SALIM SAID SALIM: Namba 10 Argentina yazua mzozo

MASHINDANO ya 48 ya kandanda ya Kombe la Amerika ya Kusini, Copa America, yatakayofanyika Marekani kuanzia Juni 20 hadi Julai 24 yanasubiriwa kwa mengi, mbali ya kujua nani atalibeba kombe hili litakaloshindaniwa na mataifa 16. Lakini moja lililozusha shauku kubwa ni je, mchezaji maarufu wa Argentina, Lionel Messi, ambaye sasa ana miaka 36 atastaafu kulichezea…

Read More