Mourinho apewa mwaka Yanga PrIncess

MWANZONI mwa mwezi huu tuliripoti, ishu ya Kocha Mkuu wa Yanga Princess, Mzambia Charles Haalubono anatarajiwa kutimka kikosini hapo na kumpisha Edna Lema ‘Mourinho’. Sasa habari za uhakika ni kwamba baada ya mazungumzo ya muda mrefu hatimaye Mourinho amekubaliana na viongozi wa timu hiyo kuinoa kwa msimu ujao. Mmoja wa viongozi wa Yanga (jina tunalo)…

Read More

Yanga yajitosa Dar Boxing Derby

Na Winfrida Mtoi, Mtanzania Digital Uongozi wa klabu ya Yanga, umevutiwa na maandalizi ya pambano ya ngumi ya Dar Boxingi Derby na kuahidi  kutoa mchango wao katika kufanikisha jambo hilo ikiwamo kununua tiketi za VIP. Hayo yamesemwa na Ofisa Habari wa klabu hiyo, Ali Kamwe wakati mabondia watakaopanda ulingoni siku hiyo ya Juni 29,2024 kwenye…

Read More

TETESI ZA USAJILI BONGO: Mzamiru ana jambo lake Simba

KLABU ya Simba iko kwenye mazungumzo ya kumuongezea mkataba mpya wa miaka miwili kiungo nyota wa kikosi hicho, Mzamiru Yassin. Mkataba wa kiungo huyo wa zamani wa Mtibwa Sugar aliyemaliza msimu akiwa na asisti nne umefikia ukingoni na tayari wawakilishi wa Mzamiru wameanza mazungumzo ili asaini dili jipya na miamba hiyo. Klabu mbalimbali za Azam…

Read More

ZEKICK: Mpole afunguka…yule na huyu wa sasa hivi

ALIYEKUWA mshambuliaji wa Geita Gold, George Mpole amerejea hapa nchini baada ya kumaliza mkataba wake wa miaka miwili aliousaini na kikosi cha FC Lupopo cha DR Congo alichojiunga nacho Desemba mwaka 2022 baada ya kuonyesha kiwango kizuri. Mpole ambaye anakumbukwa zaidi kutokana na kuibuka mfungaji bora wa Ligi Kuu Bara msimu wa 2021-2022 baada ya…

Read More

MZEE WA KALIUA: Simba, MO ziheshimiane

Kama kuna mtu ameleta Mapinduzi makubwa kwenye Soka letu zama hizi, basi ni Mohammed Dewji. Usajili wa watu kama Jose Luís Miquissone, Clatous Chota Chama, Meddie Kagere, John Bocco, Aishi Manula, Rally Bwalya na wengine waliifanya Simba kuwa timu tishio ukanda wa Afrika ya Mashariki.

Read More

Kidunda: Ubabe mtaani ulivyompeleka ulingoni

MOJA kati ya stori kubwa ya kichekesho aliyowahi kukutana nayo bondia wa ngumi za kulipwa nchini na bingwa wa mkanda wa mabara wa World Boxing Federation ‘WBF’ katika uzani wa Super Middle ni ile aliyowahi kuandikwa na vyombo vya habari nchini kuwa ‘Kidunda adundwa’. Lakini sasa katika upande mwingine wa  kiprotokali katika Serikali ya Tanzania,…

Read More

Biashara, Tabora  mechi ya akili leo

HESABU za nani kucheza Ligi Kuu baina ya Tabora United na Biashara United zinaanza leo Jumatano pale wapinzani hao watakapokutana katika mchezo wa kwanza wa play off. Mchezo huo ambao utapigwa uwanja wa Karume mjini Musoma, Biashara United ndio watakuwa wenyeji dhidi ya wapinzani hao wa mjini Tabora. Timu hizo zinakutana baada ya wenyeji kushinda…

Read More

Mtunisia wa Yanga asepa kimya kimya

KOCHA na daktari wa viungo wa Yanga, Mtunisia Youssef Ammar aliyekuwa akielezwa kuwa ni kipenzi cha wachezaji wengi amesepa kimyakimya. Sababu kubwa ikitajwa ni mkataba wake umemalizika na uongozi haukuwa tayari kumuongezea huku ikielezwa kwamba Kocha Miguel Gamondi analeta mtu wake. Ammar aliachwa Yanga na kocha aliyeondoka, Nabi Mohammed. Moja ya sifa za hivikaribuni kwa…

Read More