Stars, Zambia haina kujuana leo kazi kazi

STAA wa Taifa Stars, Mohammed Hussein ‘Tshabalala’ amewaambia mashabiki kwamba mechi ya leo jioni dhidi ya Zambia katika Uwanja wa Levy Mwanawasa nchini humu; “haina kujuana.” Amesisitiza kwamba anaamini hakutakuwapo na mabadiliko ya kutisha sana kwenye kikosi cha  Zambia na wao kama wachezaji wanajua pakuanzia na wameshaifanyia kazi kubwa mechi hiyo ya kuwania kufuzu Kombe…

Read More

Aziz KI avunja ukimya ishu yake Yanga, aanika usajili wa Dube

KIUNGO wa Yanga, Stephane Aziz KI, amevunja ukimya juu ya yeye kuendelea kusalia ndani ya kikosi hicho, huku akifichua jambo kubwa kumuhusu straika Mzimbabwe, Prince Dube aliyekuwa akiitumikia Azam. Aziz KI amesema msimu ujao atakuwa ndani ya Yanga kuhakikisha anawasaidia washambuliaji kuwania tuzo ya ufungaji bora. KI amebainisha kwamba, katika kuwasaidia washambuliaji hao, mmoja kati…

Read More

Hat trick ya 7 yapigwa Zenji, Uhamiaji ikiizamisha Kipanga

LIGI Kuu ya Zanzibar (ZPL) iliyopo ukingoni imeendelea tena jioni ya leo, ikishuhudiwa hat trick ya saba ikifungwa visiwani humo, wakati Uhamiaji ikiizamisha Kipanga kwa mabao 3-2 katika mechi kali iliyopigwa kwenye Uwanja wa Amaan A, mjini Unguja, huku Malindi ikitakata mbele ya Mafunzo kwa bao 1-0. Mchezaji aliyeingia katika orodha ya watupia hat trick…

Read More

Serikali: Fedha zinazotumika kukarabati viwanja vya CCM zitarudi kwa umma

Dodoma. Serikali ya Tanzania imewaondoa hofu Watanzania kuwa fedha zitakazotumika kukarabati viwanja vya michezo vinavyomilikiwa na Chama cha Mapinduzi (CCM) zitarejeshwa kwa umma, ili zitumike kufanya mambo mengine. Katika hotuba ya makadirio ya mapato na matumizi ya aliyekuwa Wazira ya Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mohammed Mchengerwa, aliomba Bunge kuwaidhinishia Sh10 bilioni katika mwaka 2022/23 kwa…

Read More

Mbwembwe, teknolojia ilivyotumika mijadala ya bajeti

Dodoma. Uwasilishaji wa bajeti za kisekta na uchangiaji wa wabunge wa mijadala ya kupitisha makadirio ya mapato na matumizi ya wizara kwa mwaka wa fedha 2024 /25 umekuwa na mbwembwe na ubunifu huku baadhi wakitumia teknolojia kuwabana mawaziri kwa kauli walizotoa bungeni na nje ya Bunge. Wizara mbalimbali ziliamua kufanya maonyesho katika viwanja vya Bunge…

Read More

Azim amvaa MO, Salim | Mwanaspoti

MFADHILI wa zamani wa Simba, Azim Dewji amewatuliza mashabiki huku akiwasisitiza Mohammed Dewji na Mwenyekiti wa Bodi, Salim Abdallah Mhene ‘Try Again’ kujitokeza hadharani kusema jambo. Dewji ambaye alikuwepo Simba ikicheza fainali pekee ya CAF kwa klabu hiyo amesema kwa hali ilivyo sasa MO na Try again mmoja wao anatakiwa kutoka hadharani na kutuliza upepo…

Read More

TETESI ZA USAJILI BONGO: Biashara Utd ni wao na Nkane

BIASHARA United ina hesabu kali za kushinda mechi mbili za mtoano ‘Play Off’ dhidi ya Tabora United ili kurejea Ligi Kuu na muda huohuo imekuwa kwenye hesabu za usajili. Wakali hao kutoka Mara wanaamini msimu ujao timu yao itacheza Ligi Kuu na tayari wameanza maandalizi ambapo Winga wa Yanga, Denis Nkane ni miongoni mwa mastaa…

Read More

Arsenal kwanza iishinde Juve kwa Douglas Luiz

ARSENAL itatakiwa kutoa Pauni 50 milioni kwa ajili ya kuipata saini ya kiungo wa Aston Villa, Douglas Luiz, katika dirisha hili lakini kwanza itatakiwa kuishinda Juventus ambayo inahitaji huduma yake pia. Luiz amezivutia timu nyingi barani Ulaya kutokana na kiwango bora alichoonyesha kwa msimu uliopita ambapo alifunga mabao 10 na kutoa asisti 10. Villa ambayo…

Read More