TETESI: Biashara Utd ni wao na Nkane

BIASHARA United ina hesabu kali za kushinda mechi mbili za mtoano ‘Play Off’ dhidi ya Tabora United ili kurejea Ligi Kuu na muda huohuo imekuwa kwenye hesabu za usajili. Wakali hao kutoka Mara wanaamini msimu ujao timu yao itacheza Ligi Kuu na tayari wameanza maandalizi ambapo Winga wa Yanga, Denis Nkane ni miongoni mwa mastaa…

Read More

Hadithi za Waraibu wa Kamari, Wazazi wacharuka!

JANA katika muendelezo wa Ripoti Maalumu juu ya kadhia ya uraibu wa kamari na kubeti nchini tuliona namna michezo hiyo inavyozidi kukua, licha ya kuwa na atahri kubwa kiasi hadi viongozi wa kidini kutoa maoni yao ya kipi kifanyike kutokana na ukweli hata vitabu vitakatifu vinaeleza athari zake. Pia tuliona namna michezo hiyo inavyokuwa ngumu…

Read More

JICHO LA MWEWE: Fei Toto na Yanga wapendane ili iweje!

NDIO mpira wenyewe ulivyo. Namaanisha namna ambavyo Yanga wanachukiana na Fei Toto, au tuseme ambavyo Fei Toto anavyochukiana na Yanga. Ndio mpira wenyewe. Wapendane ili iweje? Kwani waliachanaje? Nilimsikia shabiki mmoja wa Yanga, Ray Kigosi akilalamika namna ambavyo Fei aliweka kidole mdomoni kama ishara ya kuwanyamazisha mashabiki wa Yanga baada ya kufunga penalti yake wiki…

Read More

Baada ya ndoo, Simba yataka unbeaten WPL

LICHA ya kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya Wanawake (WPL) akiwa na mechi mbili mkononi, kocha wa Simba Queens, Mussa Hassan Mgosi, amesema taji halitoshi, kwani kiu waliyonayo ni kumaliza msimu bila kupoteza mchezo wowote. Simba ilitwaa ubingwa huo juzi baada ya kuifunga Alliance Girls mabao 3-0 kwenye Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza, ikirejesha taji…

Read More

Lugalo ipo tayari kwa Gofu Moro

MAPRO ndio wataanza kucheza mashindano ya Gofu yaliyoandaliwa na klabu ya Morogoro Gymkhana, yatakayoanza Juni 14-16, huku Brigedia Jenerali Mstaafu, Michael Luongo akiweka wazi namna walivyopania mashindano hayo huku akikiri ugumu wa viwanja vya mchezo huo mkoani humo. Mapro watacheza siku moja (Juni 14), ili siku mbili zitakazofuata (15-16) iwe zamu ya wachezaji wa ridhaa…

Read More

RT yafunguka ishu kambi ya Olimpiki

BAADA ukimya wa muda mrefu kuhusu lini timu ya taifa ya Riadha itaingia kambini kuanza maandalizi ya mashindano ya Olimpiki ambazo zitafanyika Julai jijini Paris Ufaransa hatimaye Shirikisho la Riadha Tanzania (RT) limevunja ukimya na kusema kambi hiyo itaanza rasmi mapema wiki inayoanza kesho. Tanzania itawakilishwa na wanaridha wanne pekee wanaokimbia mbio ndefu kilometa 42,…

Read More

Maxime aibukia Dodoma Jiji | Mwanaspoti

UONGOZI wa Dodoma Jiji umefikia makubaliano na aliyekuwa Kocha Mkuu wa Singida Black Stars, Mecky Maxime kwa ajili ya kukinoa kikosi hicho msimu ujao. Hatua hiyo inafuatia baada ya Maxime kuachana na Singida BS (zamani Ihefu) kumpisha kocha wa zamani wa Simba na AFC Leopards, Patrick Aussems aliyetangazwa wikiendi hii kutoka katika timu hiyo. Taarifa…

Read More