KMKM yapigwa tena, yatema ubingwa ZPL

MAAFANDE wa KMKM, imepoteza mchezo wa pili mfululizo katika mechi za lala za Ligi Kuu Zanziba (ZPL) na kuutema rasmi ubingwa baada ya jioni ya leo kufungwa mabao 2-1 na KVZ. Watetezi waliokuwa wanalishikilia taji kwa msimu wa tatu mfululizo, walikumbana na kipigo hicho kwenye Uwanja wa Mao A, mjini Unguja ikiwa ni wiki moja…

Read More

ADEBAYOR: Huyu Samatta apewe heshima yake

WAKATI ombi la Mbwana Samatta kutaka kustaafu kuichezea timu ya taifa, Taifa Stars likisubiri baraka za Shirikisho la Soka nchini (TFF), nyota wa zamani wa kimataifa wa Togo aliwahi kuwika na klabu za Real Madrid, Arsenal, Man City na Spurs, Emmanuel Adebayor amemkingia kifua nahodha huyo wa Tanzania. Adebayor aliyekuwa mjini Unguja, visiwani Zanzibar katika…

Read More

Simba inahitaji akili kubwa kujikwamua kwa sasa

KWA muda mrefu baadhi ya wadadisi tumekuwa tukihoji kusuasua kwa safari ya mabadiliko kwenye klabu ya Simba, lakini hoja hizo zimekuwa zikipokewa kwa matusi, dhihaka, mizaha na kejeli, kitu ambacho usingekitegemea kutoka kwa watu walioamua kwa dhati kufanya mabadiliko. Kinara wa udadisi huo alikuwa Mbunge wa Nzega (CCM), Dk. Hamisi Kigwangallah, ambaye alianzia kuhoji uteuzi…

Read More

Simba yashtuka, kuja kivingine | Mwanaspoti

KATIKA kuhakikisha Simba SC inarudi kwa kishindo, klabu hiyo imesema imejipanga kufanya usajili kwa umakini mkubwa ili kutorudia makosa ya nyuma na uongopzi wa Msimbazi umetangaza kuja na sera ya usajili. Kwa misimu mitatu mfululizo Simba imeshindwa kuwa na maajabu katika Ligi Kuu Bara na Kombe la Shirikisho, huku ikikwamia hatua ya robo fainali ya…

Read More

Straika wa mabao yupo yupo tu

BAADA ya kupandisha timu Ligi Kuu na kuibuka mfungaji bora winga wa Ken Gold, William Edgar amesema bado hajajua hatma yake kubaki au kuondoka kikosini humo msimu ujao. Nyota huyo aliandika historia ya kuwa mchezaji wa kwanza aliyefunga idadi kubwa ya mabao (21) lakini ikiwa mara ya pili kupandisha timu Ligi Kuu, akifanya hivyo 2021/22…

Read More

TETESI: Manu Lobota atajwa Yanga

YANGA inahusishwa kuhitaji huduma ya straika mkongomani, Emmanuel Bola Lobota kutoka Ihefu. Lobota aliyejiunga na Ihefu katika dirisha dogo la msimu uliopita akitokea FC Saint Eloi Lupopo ya DR Congo amekuwa kwenye mawindo ya Yanga tangu mwanzoni mwa msimu uliopita. Nyota huyo kabla ya kutua Ihefu, alishafanya mazungumzo na Yanga na Singida Fountain Gate, lakini…

Read More

FGA Talents yarudi upya ikiisaka Ligi Kuu

KLABU ya FGA Talents inaendelea na mchakato wa kubadili jina, huku uongozi wa timu hiyo umesema mkakati wao ni kuitafuta Ligi Kuu msimu ujao na kuthibitisha makazi yao rasmi kuwa mjini Songea. FGA Talent ilikuwa na makazi yake jijini Dodoma, ambapo mwishoni mwa msimu uliomalizika hivi karibuni wa Championship ilicheza mechi mbili katika uwanja wa…

Read More

Zimamoto Moro yataka timu Ligi Kuu

KAMANDA wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Morogoro, Shaaban Marugujo amesema yuko katika harakati za kusajili timu ya jeshi hilo itakayoshiriki mashindano mbalimbali hapa nchini ikiwa ni pamoja na kucheza Ligi Kuu kama ilivyo kwa timu za taasisi nyingine hapa nchini. Akizungumza na Mwanaspoti, Kamanda Marugujo amesema hadi sasa timu hiyo imeshaanzishwa na…

Read More

Mo Dewji aibua kitendawili kipya

LICHA ya sintofahamu kinachoendelea Simba SC, Rais wa Heshima na Mwekezaji mwenza wa klabu hiyo, Mohamed ‘Mo’ Dewji ameibuka na kitendawili ambacho kinawaweka njia panda mashabiki na wanachama wa klabu hiyo. Simba imekuwa katika sintofahamu kwa kipindi cha siku tatu mfululizo, huku wajumbe wa bodi upande wa wanachama wakifichua namna wanavyopata wakati mgumu wa kuafiki…

Read More

Dk Ndumbaro: Tatizo la Simba ni Yanga na Azam FC

WAZIRI wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk Damas Ndumbaro, ameipongeza Yanga kwa mafanikio makubwa, yaliyofanywa chini ya rais wa klabu hiyo, injinia Hersi Said, huku akichomekea kwamba tatizo lililopo Simba kwa sasa sio kama timu imeporomoka, ila ni kupanga kwa viwango vya Yanga na Azam FC. Ndumbaro amesema Wanayangwa wajitahidi kumlinda injinia Hersi kwa mafanikio…

Read More