Yanga yashangilia upya 7-2 za Mnyama

USHINDI wa jumla ya mabao 7-2 ambao Yanga iliupata katika michezo miwili ya Dabi dhidi ya Simba msimu uliopita wa Ligi Kuu Bara  umeshangiliwa upya katika mkutano mkuu wa mwaka wa klabu hiyo kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, Dar es Salaam. Tukio hilo limetokea wakati wa hotuba ya rais wa klabu…

Read More

Hersi: Tuliambiwa tuchague fidia, ama tujenge uwanja

RAIS wa Yanga, Injinia Hersi Said amesema kuhusu mipango ya kujenga uwanja wao wa kisasa katika eneo la Jangwani, walipewa machaguo mawili — walipwe fidia na kuhama katika eneo hilo ambalo liko katika mipango ya kuboreshwa au wajenge uwanja ulio bora kabisa.  “Serikali ilitufanya tuchague mambo mawili, kuachia uwanja ili turudishiwe fidia ama kujenga uwanja…

Read More

Try Again, Mangungu hawana mpango wa kujiuzulu Simba

MWENYEKITI wa Klabu ya Simba, Murtaza Mangungu na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi, Salim Abdallah ‘Try Again’ wamesema hawana mpango wa kujiuzulu nafasi zao sambamba na Wajumbe wa Bodi upande wa Wanachama. Hayo yamekuja siku chache baada ya Wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa Simba upande wa Mwekezaji, kuridhia uamuzi wa Rais wa Heshima wa…

Read More

Bil 20 za Mo zaibua utata Simba

MJUMBE wa Bodi ya Wakurugenzi ya Simba, CPA Issa Masoud amesema shilingi bilioni 20 zinazopaswa kuwekwa na mwekezaji wa klabu hiyo, Mohamed Dewji zimeibua matatizo baada ya mwekezaji huyo kudaiwa kuhitaji fedha alizotoa awali kama msaada zigeuzwe kuwa mtaji. Akizungumza na waandishi wa habari, Masoud amesema walipokea taarifa ambazo hazikuwa katika urasmi wake ikiwataka kama…

Read More

Kilichomuua Suleiman Mathew hiki hapa!

SAA chache baada ya kutolewa kwa taarifa kwamba nyota wa zamani wa Tukuyu Stars, Simba na Yanga, Suleiman Mathew amefariki dunia asubuhi hii, chanzo kilichomuua staa huyo aliyemudu beki ya kati kimeanikwa hadharani. Mathew alikumbwa na umauti akiwa amelazwa katika hospitali ya Amana (sio Temeke kama ilivyoelezwa mwanzoni) baada ya kuanza kuugua mara aliporudi kutoka…

Read More

Mkuchika akumbushia bao la Aziz KI CAF

MWENYEKITI wa Baraza la Wadhamini wa Klabu ya Yanga, George Mkuchika amesema kama timu hiyo isingenyimwa bao la nyota wa kikosi hicho, Stephane Aziz KI wakati wa mechi yao ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Mamelodi Sundowns wangefika mbali zaidi. Mkuchika amezungumza hayo leo wakati wa Mkutano Mkuu wa Klabu hiyo…

Read More

Msigwa: Weledi utatuweka pazuri | Mwanaspoti

KATIBU Mkuu wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo, Gerson Msigwa akimwakilisha waziri, Damas  Ndumbaro  katika mkutano mkuu wa mwaka wa Yanga 2024, amesisitiza juu ya weledi katika namna ya uendeshaji kwa  klabu za Ligi Kuu Bara. Msigwa amesema hayo kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere jijini Dar es Salaam  wakati akiwapongeza…

Read More

Beki wa zamani Simba, Yanga afariki dunia

HABARI zilizotufikia hivi punde ni kwamba beki wa zamani Tukuyu Stars, Simba na Yanga, Seleman Mathew amefariki dunia asubuhi ya leo katika Hospitali ya Amana, Ilala jijini Dar es Salaam. Beki huyo wa zamani alikuwa katika kikosi cha Tukuyu Stars ‘Wana Banyambala’ kilichotwaa ubingwa wa Ligi ya Tanzania Bara mwaka 1986 kabla ya kupita katika…

Read More

Kundemba yaizima JKU, Malindi ikizinduka ZPL

VINARA wa Ligi Kuu Zanzibar (ZPL), JKU jana ilijikita ikisimamishwa na Kundemba kwa kulimwa mabao 2-0 katika mechi za lala salama za Ligi hiyo, huku Malindi ikizinduka kwa Uhamiaji. JKU inayoongoza msimamo wa Ligi ikihitaji pointi mbili tu itangaze ubingwa mapema, ilikumbana na kipigo hicho kwenye Uwanja wa Mao A, mjini Unguja. Kipigo hicho kimeiacha…

Read More