MTU WA MPIRA: Tatizo Simba sio Try Again, ni fedha tu!

NIMEONA mitandaoni taarifa za kujiuzulu kwa viongozi wa Simba upande wa mwekezaji, Mohamed Dewji. Zipo taarifa Wajumbe wote akiwemo Mwenyekiti wa Bodi, Salim Abdallah Muhene ‘Try Again’ naye amejiuzulu. Sifahamu sana kuhusu ukweli wa hili, lakini ukweli ni kuna mabadiliko makubwa yanakuja ndani ya klabu hiyo kongwe nchini. Ubaya ni Katiba ya Simba inatoa nafasi…

Read More

Kiungo Azam atajwa Yanga, mchongo mzima upo hivi

SIKU chache baada ya sintofahamu ya kukosa saini ya kiungo, Yusuph Kagoma, mabosi wa Yanga wapo kwenye mchakato wa kuibomoa Azam FC kwa kumnasa kiungo fundi, Adolf Mtasingwa aliyebakiza mkataba wa miezi sita kuitumikia timu hiyo. Mwanaspoti linafahamu, Yanga kwa usiri mkubwa imeanza mazungumzo na kiungo huyo aliyekuzwa timu ya Vijana ya Azam aliyeng’ara katika…

Read More

Simba ilistahili ubingwa | Mwanaspoti

SIMBA Queens imebeba ubingwa huku msimu wa 2023/24 ukiwa haujamalizika baada ya kuifunga Alliance Girls mabao 3-0 kwenye Uwanja wa Nyamagana, jijini Mwanza, jana Ijumaa. Kwa ubingwa huo wa Ligi Kuu ya Wanawake, Simba imejikatia pia tiketi ya kushiriki michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwa Wanawake ikiwa ni mara ya pili kwao. Timu hiyo…

Read More

Vaibu lamrudisha Aussems | Mwanaspoti

KOCHA wa zamani wa Simba, Mbelgiji Patrick Aussems amekiri kufurahia kurejea tena nchini, huku akiweka wazi vaibu la mashabiki hasa wanaojazana Uwanja wa Benjamin Mkapa ni moja ya sababu iliyomrejesha Tanzania na kujiunga na Singida Black Stars katika mashindano mbalimbali ya msimu ujao. Akizungumza na Mwanaspoti, Aussems alisema anajisikia furaha kubwa kurudi kwa mara nyingine…

Read More

Celtics ilivyotibua rekodi ya Mavericks

FAINALI ya Ligi ya Mpira wa Kikapu Marekani (NBA) imeanza rasmi juzi Ijumaa kwenye Uwanja wa TD Garden, Boston, Ukanda wa Mashariki unaowakilishwa na Celtics na ilicheza dhidi ya Dallas Mavericks. Ikiwa na faida ya kucheza nyumbani Celtics ilianza kwa ushindi wa vikapu 107-89 ikiwa ni tofauti ya pointi 18 dhidi ya Dallas. Tofauti hiyo…

Read More

Shule Iringa zalia uhaba wa walimu wa Tehama

Iringa. Uhaba wa walimu wenye ujuzi wa kufundisha Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (Tehama),  umetajwa kuwa kikwazo cha wanafunzi wa shule za sekondari mkoani Iringa kujifunza teknolojia hiyo. Karibu shule nyingi za sekondari za Mkoa wa Iringa zimeanzisha madarasa ya Tehama kutokana na uwepo wa kompyuta. Hivi karibuni, shirika linalolenga kukuza ujuzi wa Tehama shuleni…

Read More

Kiungo Azam atajwa Yanga | Mwanaspoti

SIKU chache baada ya sintofahamu ya kukosa saini ya kiungo, Yusuph Kagoma, mabosi wa Yanga wapo kwenye mchakato wa kuibomoa Azam FC kwa kumnasa kiungo fundi, Adolf Mtasingwa aliyebakiza mkataba wa miezi sita kuitumikia timu hiyo. Mwanaspoti linafahamu, Yanga kwa usiri mkubwa imeanza mazungumzo na kiungo huyo aliyekuzwa timu ya Vijana ya Azam aliyeng’ara katika…

Read More

Farid amaliza utata, apewa miwili Yanga

LICHA ya kukosa nafasi ya kucheza mara kwa mara chini ya Kocha Miguel Gamondi, kiraka wa Yanga, Faridi Mussa bado ataendelea kukipiga Jangwani hadi mwaka 2026. Farid anayemudu kucheza kama kiungo mshambauliaji, winga na beki wa kushoto, aliyejiunga na Yanga Agosti, 2020 akitokea Tenerife ya Hispania ataendelea kukipiga kwa mabingwa hao wa Tanzania baada ya…

Read More