
TETESI: Kapombe, Singida BS bado kidogo
UONGOZI wa Singida Black Stars (zamani Ihefu) inadaiwa umeanza mazungumzo ya kumpata beki wa kulia wa Simba, Shomari Kapombe kwa lengo la kuwaongezea nguvu kwa msimu ujao wa mashindano. Kapombe aliyeichezea Simba kwa misimu saba mfululizo tangu aliposajiliwa 2017-2018 akitokea Azam FC sambamba na nahodha John Bocco, Erasto Nyoni na kipa Aishi Manula, ni mmoja…