Kiraka Azam huyoo anukia Al Hilal

BAADA ya kumaliza mkataba wa kuitumikia Azam FC, kiraka Edward Charles Manyama anatarajia kutimkia Al Hilal ya Sudan tayari kwa kukipiga huko msimu ujao. Manyama juzi kupitia ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa Facebook aliwaaga mashabiki, wachezaji na viongozi wa timu hiyo akithibitisha kumaliza mkataba na timu hiyo aliyoitumikia kwa mkataba wa miaka miwili….

Read More

TETESI ZA USAJILI BONGO: Azam yatua Yanga, Kipa azam …

KIPA wa Yanga, Aboutwalib Mshery amemaliza mkataba wake ndani ya kikosi hicho huku akisubiria viongozi kujua hatima yake msimu ujao, huku klabu ya Azam ikitajwa kumfukuzia. Duru za kimichezo zinasema wawakilishi wa mchezaji huyo, tayari wameanza mazungumzo na klabu kadhaa huku ikielezwa Azam ni kati ya zinazomhitaji kwa kilichoelezwa mipango ya kumrejesha Aishi Manula huenda…

Read More

JKT TANZANIA, Tabora UTD kumalizana kibabe Dar

MAAFANDE wa JKT Tanzania jioni ya leo watakuwa na kibarua cha kujihakikishia kubaki Ligi Kuu Bara kwa msimu ujao wakati watakapoikaribisha Tabora United katika pambano la marudiano la play-off huku wakiwa na hazina ya ushindi wa mabao 4-0 walioupata ugenini mwanzoni mwa wiki hii. Timu hizo zilizopanda daraja msimu huu na kujikuta zikiangukia kwenye play-offs…

Read More

Kagoma na ishu ya kusaini Yanga

BAADA ya kuzagaa kwa taarifa kwamba nyota wa Singida Fountain Gate, Yusuf Kagoma amesaini klabu mbili tofauti za Simba na Yanga, kiungo huyo amevunja ukimya kuhusu ishu hiyo akisema hajafanya jambo hilo kwani ni mchezaji anayejielewa. Ipo hivi. Yanga inatajwa kama klabu ya kwanza kuzungumza na mchezaji huyo kwa lengo la kutaka kumsajili  kabla ya…

Read More

RIPOTI MAALUM: Janga, Watoto katika uraibu wa michezo ya kamari

KATIKATI ya eneo la Mwandege Magengeni, wilayani Mkuranga mita 20 tu kutoka msikitini, kuna kituo cha michezo ya kubahatisha kinachoonekana kuwa cha kawaida. Ndani, watu wazima na watoto wanakusanyika karibu na mashine za kupangia pesa (slot machines), macho yao yakielekezwa kwenye skrini, wakiwa na matumaini ya kupata pesa za haraka kupitia mchezo wa kubahatisha. Mahali…

Read More

Msuva: Tunaitaka nafasi ya Kombe la Dunia

Mshambuliaji wa Taifa Stars, Saimon Msuva amesema wachezaji wapo tayari kwa ajili ya kupambana ili kupata matokeo yatakayowaweka kwenye nafasi nzuri kufuzu kushiriki Kombe la Dunia. Stars wataanza ugenini dhidi ya Zambia mchezo unaotarajiwa kuchezwa Juni 11 mwaka huu na wanaendelea kujiweka fiti tayari kwa mchezo huo. Akizungumzia muda mchache kabla ya kuanza mazoezi alisema…

Read More

Refa digidigi aliyemtikisa Motsepe CAF

SIKU njema huonekana asubuhi. Hii ipo kwa refa bwa’mdogo kutoka Libya, Zakaria Ibrahim Al-Ghaithy (15) ambaye alikuwa kivutio katika fainali za Shirikisho la Soka Afrika (Caf) kwa timu za Shule (ASFC 2024) zilizofanyika mjini Unguja, Zanzibar. Katika fainali hizo zilizomalizika mwishoni mwa mwezi uliopita, Al-Ghaithy alikuwa gumzo kutokana na uwezo wake wa kupuliza kipyenga kwa…

Read More

‘Uchebe’ atua Singida Black Stars

Singida Black Stars imemtambulisha kocha wa zamani wa Simba Patrick Aussems kuwa kocha wao mpya. Taarifa iliyotolewa muda mfupi uliopita kutoka Ofisi ya Afisa Mtendaji Mkuu wa timu hiyo Jonathan Kasano,imesema Aussems atakuwa kocha mkuu wa timu hiyo kuanzia msimu ujao. Aussems, ataanza kazi rasmi Julai Mosi ambapo Sasa ataendelea na majukumu ya kukijenga kikosi…

Read More