Yahya Mbegu atua Mbeya City

BEKI mahiri wa zamani wa Singida Black Stars, Yahya Mbegu amedaiwa kujiunga na Mbeya City iliyorejea Ligi Kuu Bara kwa msimu ujao, akiungana na wachezaji wengine aliowahi kukipiga nao Singida na Mashujaa waliotua katika timu hiyo ya Mbeya. Beki huyo wa kushoto ambaye msimu uliopita aliitumikia Mashujaa kwa mkopo inadaiwa amesaini mkataba wa mwaka mmoja…

Read More

Kocha Tanzania Prisons azionya Simba, Yanga

KOCHA Mkuu wa Tanzania Prisons, Zedekiah Otieno amesema licha ya kuwa mara ya kwanza kufundisha soka Tanzania, lakini uwezo na uzoefu alionao katika kazi hiyo itakuwa fursa kwake kujitangaza ndani nje ya Afrika, huku akivionya vigogo, Simba, Yanga na Azam FC. Akizungumza na Mwanaspoti, kocha huyo raia wa Kenya, alisema kwa muda mrefu amekuwa akitamani…

Read More

Uganda, Niger kazi ipo Kampala

UHONDO wa fainali za Ubingwa wa Nchi za Afrika (CHAN) 2024 unaendelea leo Jumatatu kwa mechi mbili za Kundi C zitakazopigwa jijini Kampala, mapema saa 11:00 jioni Afrika Kusini itajiuliza mbele ya Guinea, ilihali saa 2:00 usiku wenyeji Uganda watakuwa na kibarua kizito mbele ya Niger. Bafana Bafana iliyoanza michuano hiyo kwa sare ya 1-1…

Read More

Hatutaki lawama | Mwanaspoti

SIMBA inaendelea kupikwa upya kule Ismailia, Misri, ikipania kutaka kufanya mapinduzi makubwa msimu ujao ikiyataka mataji, lakini watani wao wa jadi, Yanga walikuwa nchini wamejichimbia KMC Complex wakiwa na mipango ya kuwafuata Wekundu hao hukohuko ughaibuni. Ndio, Yanga imeenda Kigali, Rwanda kwa ajili ya tamasha maalumu litakaloambatana na mechi ya kirafiki ya kimataifa dhidi ya…

Read More

Angola yapindua meza kibabe, ikiizima Zambia

Angola imetoka nyuma na kutengeneza ushindi muhimu mbele ya Zambia, ikishinda kwa mabao 2-1 katika mchezo wa tatu hatua ya makundi ya Fainali za Ubingwa kwa Mataifa Afrika (CHAN) 2024. Zambia iliyokuwa ikicheza mechi ya pili, iliyokuwa ya kwanza kupata bao baada ya timu hizo kumaliza dakika 45 za kwanza zikiwa hazijafungana, mfungaji akiwa Dominic…

Read More

Kumekucha mashindano ya Gofu ya Rotary Club

MASHINDANO ya 15 ya Gofu ya Rotary Club ya Bahari yanatarajiwa kufanyika Agosti 16 kwenye viwanja vya Klabu ya Gymkhana Dar es Salaam. Mashindano hayo yatashirikisha zaidi ya wachezaji gofu 80 kutoka klabu mbalimbali kwa mujibu wa Rais wa Rotary Club ya Bahari, Dar es Salaam, Sameer Santosh. Santosh alisema mashindano hayo yana lengo la…

Read More

Mpo? Mzize ana jambo lake!

WAKATI presha ya kutafuta matokeo ikiikabili Taifa Stars, straika anayetajwa kuwa na thamani ya Sh2 bilioni, Clement Mzize aliibuka shujaa wa usiku wa Jumamosi, akiifanya Tanzania kuweka rekodi ya kibabe na kutinga robo fainali ya michuano ya CHAN 2024. Mshambuliaji huyo alifunga mabao mawili ndani ya dakika 7 na kuiwezesha Tanzania kushinda 2-1 dhidi ya…

Read More

Ishu ya kusilimu, Dida amtaja Maguri

KIPA wa zamani wa kimataifa aliyewahi kuwika na timu za Simba, Yanga, Azam pamoja na Taifa Stars, Deogratius Munishi ‘Dida’ kwa sasa akijulikana kama Yunus baada ya kusilimu, amezungumzia suala hilo huku akimtaja mchezaji mwenzake Elias Maguri kuwa ni watu waliochangia kufanya uamuzi. Kipa huyo alisema imemchukua muda mrefu kufanya uamuzi huo, baada ya Maguri…

Read More

Mokhtar afufua ndoto za Mauritania CHAN 2024

USHINDI wa Mauritania dhidi ya Jamhuri ya Afrika ya Kati katika michuano ya CHAN 2024 umeibua matumaini mapya kwa kikosi cha Mourabitounes, huku mchezaji bora wa mechi hiyo, Ahmed Mokhtar Ahmed, akitamba juu ya ushindi huo. Baada ya mechi mbili mfululizo bila kufunga dhidi ya Madagascar na Tanzania, presha ilionekana kuwa kubwa kwa washambuliaji wa…

Read More