Tabora United yasaka kipa, Chilunda ndani
UONGOZI wa Tabora United umeingia sokoni kusaka kipya mpya baada ya tegemeo namba moja, Fikirini Bakari, kuvunjika taya katika mechi ya kirafiki dhidi ya Yanga iliyowafunga mabao 4-0 katika Uwanja wa Gymkhana, Dar es Salaam. Chanzo cha Mwanaspoti kimesema Bakari aliyemaliza akiwa na ‘clean sheet’ moja aliyoipata akiwa Fountain Gate kabla ya kujiunga wakati dirisha…