
Mshery arusha taulo Yanga | Mwanaspoti
BAADA ya kuitumikia Yanga kwa misimu mitatu ya mafanikio kipa namba mbili wa timu hiyo nyuma ya Diarra Djigui, kipa Abuutwalib Mshery imedaiwa ameomba kuondoka kusaka timu ambayo itampa nafasi ya kucheza ili kujihakikishia namba timu ya taifa, Taifa Stars. Mshery alijiunga na Yanga, Desemba 2021 hivyo ameitumikia timu hiyo kwa misimu mitatu yenye mafanikio…