Kocha Yanga kutua Kaizer Chiefs

MUDA wowote kuanzia sasa huenda kocha wa zamani wa Yanga, aliyepo kwa sasa FAR Rabat ya Morocco, Nassredine Nabi akatangazwa na Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini ili kurithi mikoba ya Molefi Ntseki aliyefutwa kazi. Nabi amekabakiza mechi moja tu ya Ligi Kuu ya Morocco akiwa na FAR Rabat kabla ya kumaliza msimu na tayari inaelezwa…

Read More

Kikosi cha msimu cha Fei Toto; Yanga 7, Azam 3

KIUNGO wa Azam FC, Feisal Salum ‘Fei Toto’ ambaye amepachika mabao 19 msimu huu akisema ndio msimu wake bora licha ya kukosa mataji, ametaja kikosi bora chake cha msimu akiwajumuisha nyota saba wa Yanga, watatu wa Azam na mmoja wa KMC, ambao anaamini wakicheza mechi hakuna wa kuwazuia. Akizungumza na Mwanaspoti, Fei Toto, amesema alikuwa…

Read More

Yanga SC yapewa Tsh milioni 537.5 kwa kutwaa Ubingwa

Club ya Yanga leo imepewa Tsh milioni 537.5 na Mdhani wao wa Mkuu SportPesa kama sehemu ya zawadi (bonus) ya kufanya vizuri katika msimu wa 2023/2024. Hundi hiyo imepokelewa na Rais wa Yanga Hersi Said kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa SportPesa Abbas Tarimba, hiyo ni kama motisha kwa Yanga ya kuhakikisha wanaendelea kufanya vizuri. Yanga…

Read More

Mziki wa Ouma washtua Coastal

KUONGOZA timu hadi kufanikiwa katika nchi ya kigeni si kazi rahisi kwa kocha yeyote yule. Ndio maana wakati kocha Mkenya David Ouma alipokubali ofa ya kuwa kocha mkuu wa Coastal Union ya Ligi Kuu ya Tanzania Bara, Novemba mwaka jana, alikuwa na kibarua kikubwa cha kuondoa timu hiyo katika hatari ya kushushwa daraja. Miezi sita…

Read More

Huko Simba Mafia wamerudi kazini, safu ya usajili yapanguliwa

SIMBA imefanya maamuzi mazito. Tena kimyakimya. Imewarudisha kundini watu wanne muhimu ambao wanajua jinsi ya kufanya umafia kwenye usajili nchini Tanzania. Na ikawapa majukumu ya kusimamia shoo kuanzia sasa kurejesha hadhi ya klabu hiyo. Baada ya kukaa na kugundua kuwa kinachoikwamisha timu hiyo kwa kipindi cha misimu mitatu ni aina ya usajili ambao ilikuwa inafanya,…

Read More

Mafyatu kumkaribisha Rahis kuzindua kijiwe

Baada ya kuona kuwa inawezekana kumfyatua, sorry, kumchengua rahis hadi anazindua mangomangoma ya Hamnazoo, mafyatu tunakula mkakati kumkaribisha kuzindua kijiwe chetu cha ndumuu. Naona yule anatikisa kichwa kuwa rahis na vijiwe vya bangii, sorry, nimesema bangili wapi na wapi? Hamkumuona arap Rooter wa kwa njirani akijinoma na mchekeshaji kwa Joji Kichaka akiwatosa wake. Ama kweli…

Read More

Caf yaanza na Coastal Union, Azam

Shirikisho la Soka Afrika (Caf) limezitaka timu zinazoshiriki michuano ya kimataifa msimu ujao kukamilisha usajili wake mapema. Caf juzi ilitoa taarifa ya kuonyesha kalenda ya michuano ya kimataifa, Klabu Bingwa Afrika na Kombe la Shirikisho, huku ikionekana kuwa timu zina siku chache tu kuanzia sasa kukamilisha usajili wake. Yanga na Azam zitashiriki michuano ya Ligi…

Read More

Mafyatu kumkaribisha Rais kuzindua kijiwe

Baada ya kuona kuwa inawezekana kumfyatua, sorry, kumchengua rahis hadi anazindua mangomangoma ya Hamnazoo, mafyatu tunakula mkakati kumkaribisha kuzindua kijiwe chetu cha ndumuu. Naona yule anatikisa kichwa kuwa rahis na vijiwe vya bangii, sorry, nimesema bangili wapi na wapi? Hamkumuona arap Rooter wa kwa njirani akijinoma na mchekeshaji kwa Joji Kichaka akiwatosa wake. Ama kweli…

Read More