Waziri Junior mguu mmoja Ihefu

Kama mambo yakienda  sawa, mshambuliaji aliyemaliza mkataba wake KMC, Waziri Junior anaweza akasaini Ihefu muda wowote, baada ya kurejea kutoka katika majukumu ya Taifa Stars. Mmoja wa kiongozi wa Ihefu, alisema kila kitu kuhusu Junior kinakwenda vizuri, walikuwa wanamsubiri arejee kutoka katika majukumu ya Taifa Stars, ambayo ilikwenda nchini Indonesia. “Kabla ya kuitwa timu ya…

Read More

TANZANIA, INDONESIA KUSHIRIKIANA SEKTA YA UTALII

      Na Happiness Shayo Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Jamhuri ya Indonesia zinajipanga kushirikiana katika masuala ya utangazaji utalii, kubadilishana uzoefu katika masuala ya utalii na ukarimu, tafiti za utalii na kupanua wigo wa mazao ya utalii lengo ikiwa ni kukuza utalii wa nchi zote mbili. Hayo yamejiri katika kikao…

Read More

Sintofahamu mkataba wa Matampi Coastal

KIPA mye ‘clean sheet’ nyingi Ligi Kuu Tanzania Bara, Ley Matampi amezua utata juu ya mkataba wake na waajiri wake Coastal Union baada ya pande hizo mbili kutofautiana juu ya urefu wa mkataba huo. Ipo hivi; Coastal Union, imechimba mkwara kwamba kama kuna klabu inamtaka kipa wao huyo basi waifuate mezani ili wajadiliane kuwauzia kwani…

Read More

Bares atoa masharti manne Mashujaa

BAADA ya kufanikiwa kubaki salama Ligi Kuu, Kocha Mkuu wa Mashujaa, Abdalah Mohamed ’Bares’ amesema ripoti aliyowasilisha kwa uongozi iwapo itafanyiwa kazi ipasavyo, msimu ujao timu hiyo itashangaza wengi. Mashujaa ambayo ilishiriki kwa mara ya kwanza Ligi Kuu, licha ya kupitia misukosuko ya matokeo yasiyoridhisha, ilifanikiwa kubaki salama ikiwa nafasi ya tisa kwa pointi 34….

Read More

Yanga yabeba mabilioni baada ya kutwaa Ligi Kuu, FA

FEDHA ndefu! Hivyo ndiyo unaweza kusema baada ya Yanga kufanikiwa kutwaa ubingwa wa FA ambao unawafanya wakusanye kitita kikubwa cha fedha msimu huu baada ya awali kuchukua kombe la Ligi Kuu Bara. Yanga msimu huu, imeweka rekodi nzito ikikusanya jumla ya Sh6.5 bilioni kutoka kwa wadhamini, zilizotokana na makombe mawili iliyochukua huku ikifika hatua ya…

Read More

Simba yapora kiungo kimafia | Mwanaspoti

HATIMAYE sasa Simba imeanza ule umafia wake, baada ya kuingilia dili la Yanga na sasa ipo mwishoni kumalizana na kiungo wa Singida Fountaine Gate, Yusuph Kagoma. Awali gazeti hili liliripoti mpango wa Yanga kuwinda saini ya kiungo huyo kwa lengo la kuwa msaidizi wa Khalid Aucho kwenye timu hiyo itakayocheza michuano ya Ligi ya Mabingwa…

Read More