Bacca anavyoipiga tafu KMKM | Mwanaspoti

BEKI wa Yanga SC, Ibrahim Hamad ‘Bacca’ anatajwa kuwa mmoja wa wachezaji wanaokumbukwa zaidi na KMKM ya Zanzibar kutokana na aliyowahi kuyafanya ndani ya timu hiyo sambamba na yale anayoendelea kuyafanya. Bacca ambaye alijiunga na Yanga Januari 2022 akitokea KMKM, bado moyo wake upo klabuni hapo kwani ndiyo sehemu ambayo ilikuwa kama daraja kwake la…

Read More

HISIA ZANGU: Kama Kelvin John angecheza soka kwa ajili yetu…

BAADA dakika chache kutangaza kwamba ameachana na klabu ya Genk ya Ubelgiji, Kevin John, mchezaji aliyewahi kupachikwa jina la ‘Mbappe wa Tanzania’ alijitangaza kuwa mchezaji mpya wa klabu ya Aalborg ya Denmark. Jezi yao inavutia na Kelvin ni mchezaji wao mpya kuanzia sasa. Kelvin amesogea au amerudi nyuma? Tusidanganyane. Amerudi nyuma. Nadhani hata yeye mwenyewe…

Read More

Mambo matano ya Amaan Complex

UWANJA wa New Amaan Complex uliopo Unguja, Zanzibar, wenye uwezo wa kuingiza watazamaji zaidi ya 15,000, bado upo kwenye maboresho. Uwanja huo ambao umeipa heshima Yanga kwa kutetea ubingwa wao wa Kombe la Shirikisho (FA) kwa kuifunga Azam penalti 6-5, umekuwa wa kisasa zaidi tofauti na hapo awali. Mwaka 1970 uwanja huu ndiyo ulijengwa na…

Read More

Wazir Junior atua kwenye rada za Ihefu

KAMA mambo yakienda  sawa, mshambuliaji aliyemaliza mkataba wake KMC, Waziri Junior anaweza akasaini muda wowote kuanzia leo Jumanne, baada ya kurejea kutoka katika majukumu ya Taifa Stars. Mmoja wa kiongozi wa Ihefu, alisema kila kitu kuhusu Junior kinakwenda vizuri, walikuwa wanamsubiri arejee kutoka katika majukumu ya timu ya taifa ‘Taifa Stars’, ambayo ilikwenda nchini Indonesia….

Read More

Hivi ndivyo pisi kali ya Ronaldo inavyopiga hela

RIYADH, SAUDI ARABIA: UTAJIRI wa supastaa Cristiano Ronaldo unaripotiwa kuwa Dola 600 milioni. Ni mkwanja mrefu kweli kweli. Lakini, ushawahi kujiuliza, mwanamke, ambaye Ronaldo amezama penzini kwake, atakuwa anaishi maisha matamu kiasi gani? Unadhani atakuwa anaomba na ya kutolea? Sasa ni hivi, Ronaldo baada ya kupita kwa wanawake kibao, amekwenda kunasa kwa mrembo wa Kihispaniola,…

Read More

TPC na mipango ya kuwainua wanawake gofu

KATIKA kuhakikisha usawa wa kijinsia kwenye mchezo wa gofu, klabu ya TPC Moshi imeanza rasmi mchakato wa kuongeza idadi ya wachezaji wa kike. Mzuka wa gofu, kupitia gazeti la Mwanaspoti limefanya mahojiano na nahodha wa TPC, Jafari Ali ambaye anataja mipango ya klabu hiyo. Anasema mkakati wa klabu hiyo ni kuhakikisha wanawapata wanachama wa kike…

Read More

Yanga yavunja rekodi ya Simba ikiiua Azam

KUNA lingine huko…ni swali lililokuwa likiulizwa kwa furaha na mashabiki wa Yanga baada ya timu hiyo kutetea taji la Kombe la Shirikisho kwa msimu wa tatu mfululizo baada ya kuichapa Azam kwa penalti 6-5 katika fainali kali iliyopigwa kwenye Uwanja wa New Amaan, mjini hapa. Katika fainali hiyo iliyochezeshwa na mwamuzi Ahmed Aragija lililolazimika kwenda…

Read More